BAJETI YA YANGA MSIMU UJAO NI BILIONI 24.5

Mapato ya Yanga Msimu 2023/2024 Udhamini na haki za matangazao bilioni 10.19 Mapato mlangoni bilioni 1 Ada za Wanachama milioni 613 Zawadi za ushindi bilioni 3.9 Mapato mengine bilioni 5 Jumla ya mapato ni Bilioni 21 Bajeti ya Msimu ujao ni Bilioni 24.5 ambapo imeongezeka asilimia kumi tofauti na Msimu uliopita ambayo ni Bilioni 22.

Read More

AZAM FC: TUPO KAMILI GADO

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa upo kamili gado utapambana kufanya vizuri kitaifa na kimataifa msimu wa 2024/25 ndani ya uwanja kwa kufanya maandalizi mazuri. Timu hiyo inanolewa na Kocha Mkuu, Yusuph Dabo imemaliza ligi ikiwa nafasi ya pili na pointi 69 sawa na Simba iliyo nafasi ya tatu baada ya ushindani mkubwa kwa…

Read More

MWAMBA SAIDO ATAJWA COASTAL UNION

MKALI wa mabao ndani ya kikosi cha Simba msimu wa 2023/24 Saido Ntibanzokiza anatajwa kuwa kwenye hesabu za mabosi wa Coastal Union ya Tanga. Nyota huyo akiwa na kikosi cha Simba msimu wa 2023/24 ni mabao 11 alifunga akiwa namba moja kwenye chati ya wafungaji wa Simba ambapo kinara ni Aziz Ki wa Yanga mwenye…

Read More

LEO NI LEO KWA MABINGWA YANGA

SIKU iliyokuwa inasubiriwa na Wanachama pamoja na viongozi wa Yanga imewadia ambayo ni leo Juni 9 2024 ambapo kutakuwa na mkutano mkuu. Yanga  watafanya Mkutano Mkuu wa Mwaka katika ukumbi wa kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam kuanzia saa 4:00 asubuhi. Maandalizi yamekamilika kwa asilimia kubwa kuelekea kwenye mkutano huo ambao utakuwa wa kipekee…

Read More

KIBWANA SHOMARI TRANSFER UPDATES

Kibwana Shomari bado hajafanikiwa kupewa mkataba mpya na Yanga licha ya mkataba wake kumalizika. Mazungumzo ya mkataba mpya hayajawa kwa kiwango kikubwa kama ambavyo yapo kwa mastaa wengine kama Azizi Ki Kibwana Shomari malengo yake ni kusalia Yanga na kupata nafasi ya kucheza katika kikosi cha Kwanzaa. Lakini yupo tayari kuondoka endapo kuna timu itafikia…

Read More

YANGA WANA JAMBO LAO KUBWA

MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga wana jambo lao kubwa Juni 9 2024 ambapo ni Mkutano Mkuu wa Wanachama, (Annual General Meeting-AGM). Ni wazi kwamba chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi Yanga imetwaa taji la Ligi Kuu Bara ikiwa na pointi 80 na ilitwaa taji la CRDB Federation Cup kwa ushindi dhidi ya Azam…

Read More

AZIZ KI UJANJA WAKE UPO HAPA BONGO

AZIZ Ki kiungo mshambuliaji wa Yanga ujanja wake ndani ya uwanja ni mguu wa kushoto ambao ametumia kufunga mabao mengi zaidi. Ipo wazi kuwa msimu wa 2023/24 nyota huyo ni namba moja kwa utupiaji akiwa katupia mabao 21 baada ya msimu kugota mwisho akiwa ni mfungaji bora. Ujanja wake akiwa uwanjani ni kwenye mguu wa…

Read More

SHINDA TSH 4,750,000/= UNAPOCHEZA MICHEZO YA EXPANSE KASINO MTANDAONI

Promosheni Baabu Kubwa! Shindano la Expanse kila siku washindi wapya wanaibuka na kuzawadiwa bonasi za kasino, kitita cha maana Tsh 4,750,000/= kinakusubiri mwishoni mwa shindano, Jisajili Meridianbet na cheza michezo ya Expanse iliyopo Meridianbet kasino ya Mtandaoni. Shindano la Expanse ndani ya Meridianbet litatoa zawadi na bonasi za kasino kwa washindi 40 pekee, ambao watakuwa…

Read More

Piga Pesa na Mechi za Kirafiki leo Junamosi

Je unajiuliza unaanzaje Jumamosi yako?. Ni rahisi sana ukiwa na akaunti ya Meridianbet kwani hapa unaweza kutengeneza jamvi lako na kuweka mechi uzitakazo na baadae kuibuka mshindi. Beti sasa leo. Portugal atakiwasha dhidi ya Croatia saa 1:45 usiku ambapo timu zote zimetoka kushinda mechi zao zilizopita za kirafiki. Mchezo huo utachezwa kule Ujreumani huku takwimu…

Read More

NIGERIA YALAZIMISHWA SARE NYUMBANI DHIDI YA AFRIKA KUSINI, ZAMBIA YACHAPWA

Nigeria imelazimishwa sare ya 1-1 nyumbani dhidi ya Afrika Kusini katika dimba la Godswill Akpabio, Uyo Nigeria kwenye mchezo wa kuwania kufuzu kombe la Dunia 2026. FT: Nigeria 🇳🇬 1️⃣ ➖1️⃣ 🇿🇦 Afrika Kusini ⚽ Dele-Bashiru 46’ ⚽ Themba Zwane 29’ FT: Morocco 🇲🇦 2️⃣➖1️⃣ 🇿🇲 Zambia ⚽ Ziyech 6’ ⚽ Ben Seghir 67’ ⚽…

Read More

UCHEBE WA SIMBA AULA SINGIDA BLACK STARS

Aliyewahi kuwa kocha mkuu wa klabu ya Simba SC Patrick Aussems ametambulishwa ndani ya kikosi cha Singida Black Stars SC kwa mkataba wa mwaka mmoja wa kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo msimu wa 2024/25. Patrick Aussems alifahamika kwa utani jina la (UCHEBE) wakati anaitumikia klabu ya Simba na aliitumikia klabu ya Simba SC kuanzia…

Read More