MIKATABA YA MASTAA MSIMBAZI KUVUNJWA KISA WAKIZINGUA
UONGOZI wa Simba umeweka kuwa umetenga fedha kwa ajili ya kuvunja mikataba ya wachezaji wa timu hiyo ikiwa watashindwa kuendana na kasi ya benchi la ufundi la timu hiyo kwenye kutimiza majukumu yao ndani ya uwanja kitaifa na kimataifa