>

JURGEN ANAONDOKA LIVERPOOL

JURGEN Klopp Kocha Mkuu wa Liverpool ameweka wazi kuwa hatakuwa ndani ya timu hiyo msimu ujao ikiwa ni maamuzi yake mwenyewe. Taarifa iliyotolewa na Liverpool imeweka wazi kwamba Klopp mwenyewe amesema hataendelea kuwa na timu hiyo baada ya msimu kuisha. Kocha huyo amesema:”Baada ya msimu kuisha sitaendelea kuwa katika nafasi ambayo nipo sasa ndani ya…

Read More

TAIFA STARS MAUMIVU INATOSHA

INATOSHA kwa maumivu ambayo mashabiki wameyapata pamoja na wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ambayo ilikuwa ikipambana kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika, (AFCON). Kwenye mechi tatu ilizocheza ilikuwa ni ngumu kupata tabasamu kutokana na mechi zote kutoapa ushindi hivyo Watanzania wapo kwenye huzuni ya kuona kwamba kwa mara nyingine tena tunakuwa…

Read More

SINGIDA FOUNTAIN GATE NA SABABU ZA KUUZA WACHEZAJI

UONGOZI wa Singida Fountain Gate umeweka wazi kuwa sababu kubwa ya kufanya biashara ya kuwauza wachezaji wao waliokuwa na uhakika wa namba kikosi cha kwanza ni kupata fedha za kulipa madeni. Timu hiyo ipo ndani ya tano bora na imekuwa ikileta ushindani mkubwa kwa timu zinazoshiriki Ligi Kuu Bara kutokana na mipango makini kwenye kusaka…

Read More

NYOTA YANGA HESABU ZAKE ZIPO HIVI

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Clement Mzize amesema watapambana kufanya vizuri kwenye mechi zao kwa kuwa wapo tayari kuwapa furaha mashabiki na wao kutimiza malengo yao. Mzize ni miongoni mwa washambuliaji wazawa ambao wamekuwa ni maji kupwa na kujaa ndani ya Yanga licha ya kutopewa nafasi mara kwa mara akiwa kwenye ubora wake hufanya kazi yake kwa…

Read More

VIDEO: JEMBE AMEZUNGUMZIA ISHU YA MAFANIKIO YA SIMBA NA KUACHWA BALEKE NA PHIRI

LEGEND kwenye masuala ya uandishi wa Habari wa habari katika masuala ya michezo Jembe ameweka wazi kuwa dunia inabadilika haraka sana huku mafanikio yakiwa kwenye sehemu tofautitofauti akibainisha kuhusu Kibegi kama kiliwasaidiai kuwaongezea kitu inawezekana kuwa sehemu ya mafanikio. Amebainisha kuwa ni muhimu wa kubadili mawazo kwa sasa kwa kuangalia kwamba kama ni waati uliopita…

Read More

SIMBA KUREJEA KAZINI

KIKOSI cha Simba leo Januari 25 kinatarajiwa kurejea mazoezini kwa ajili ya maandalizi ya mechi zijazo za kitaifa na kimataifa. Timu hiyo inanolewa na Kocha Mkuu,Abdelhak Benchikha ilitoka kushiriki Mapinduzi 2024. Kwenye mashindano hayo iliishia nafasi ya pili na bingwa akiwa ni Mlandege. Januari 13 2024 ilikuwa ni fainali na ubao ulisoma Mlandege 1-0 Simba….

Read More

YANGA NI MWENDO WA KAZIKAZI

UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa watafanya kazi kubwa kwenye mechi za kitaifa na kimataifa malengo ikiwa ni kufanya vizuri kutokana na uimara wa wachezaji wao. Yanga kwenye dirisha dogo la usajili ilitambulisha wachezaji wapya watatu ambao ni Agustino Okra, Shekhan Ibrahim na Joseph Guede.  Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kwenye kila mashindano ambayo…

Read More

KOCHA STARS: TUMEJIFUNZA MENGI AFCON

JUMA Mgunda, kocha msaidizi wa timu ya taifa ya Tanzania amesema kuwa wamejifunza mengi baada ya kugotea hatua ya makundi katika Kombe la Mataifa Afrika, (AFCON). Katika mechi tatu Stars ilipoteza mchezo mmoja dhidi ya Morocco inayoongoza kundi F ikiambulia Sare mbili dhidi ya Zambia 1-1 Tanzania na Tanzania 0-0 DR Congo mchezo uliochezwa usiku…

Read More

KILA LA KHERI TAIFA STARS

USHINDANI ni mkubwa na kila timu inafanya kweli kupata ushindi ndani ya uwanja hivyo muhimu ni kujituma na kupata matokeo chanya. Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars leo ina kibarua kingine kigumu kusaka ushindi dhidi ya DR Congo hautakuwa mchezo mwepesi hata kidogo. Kila timu inatafuta pointi tatu hivyo ni muhimu kwa wachezaji kujituma…

Read More