COASTAL UNION YASEPA NA POINTI TATU NA MBUZI MNYAMA

TAWI la Coastal Union la ‘Obama Camp’ la Mabokweni Tanga, limetoa zawadi ya mbuzi mmoja kuwapongeza vijana wao kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar. Ushindi huo waliupata Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Bao la ushindi lilifungwa kiufundi na Gustava Simon kwa pigo…

Read More

MAYELE ANA BALAA NA NYAVU HUYO

FISTON Mayele amefikisha jumla ya mabao 50 katika mashindano yote akiwa na kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Timu hiyo yenye maskani yake pale Jangwani inadhamiwa na kampuni ya SportPesa ambayo imeleta mapinduzi makubwa kwenye suala la michezo Bongo kwa kufungua njia kwa wadhamini wengine kuingia kuwekeza kwenye michezo. Ikumbukwe kwamba Mayele…

Read More

Shangwe Kubwa La Bodaboda Lasababishwa Na Meridianbet

Shangwe shangwe shangwe tu katika baadhi ya mitaa ya jiji la Dar es salaam baada ya bodaboda kufikiwa na Meridianbet na kupatiwa reflectors ambazo zitawasaidia wanapoendesha pikipiki nyakati zote lakini pia kwa kushirikiana na Polisi wa usalama barabarani wameweza kufanikisha zoezi hilo. Zoezi hilo limekuja kwa kusindikizwa na kampeni ya kuvutia kabisa inayoitwa “Mtaa kwa mtaa” inayolenga…

Read More

JASHO LILIWAVUJA SIMBA DHIDI YA WYDAD

ILIKUWA roho ya mnyama kwenye ardhi ya Bongo wakati wakipambana na mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Wydad Casablanca. Weka kando kutokuwepo kwa kipa namba moja Aishi Manula kutokana na kutokuwa fiti bado ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 1-0 Wydad Casablanca. Kazi haijaisha ugenini hatma ya Simba itajulikana ila hapa tunakudondoshea namna…

Read More

BEKI YANGA AWEKA REKODI YAKE KIMATAIFA

BEKI mzawa Bakari Mwamnyeto kwenye anga la kimataifa ana pasi mbili kàtika Kombe la Shirikisho Afrika. Pasi zote mbili alitoa akitumia mguu wa kulia nchini Nigeria ubao ulisoma Rivers United 0-2 Yanga. Pasi zote alitoa kipindi cha pili ambapo moja ilikuwa nje ya 18 na moja ndani ya 18. Pasi hizo mbili mtupiaji alikuwa ni…

Read More

KIMATAIFA KAZI BADO HAIJAGOTA MWISHO

SIO utani kwenye kusaka ushindi kimataifa kazi ni ngumu ndani ya dakika zote 180 licha ya kuwa kila timu kufanya maandalizi mazuri. Uwanja wa Mkapa, Simba walianza kazi yao kwa kupata ushindi dhidi ya Wydad Casablanca kisha mchezo unaofuata utakuwa ugenini. Hakika kwa ushindi wa mchezo wa kwanza Simba mnapaswa pongezi huku mkitambua kuwa mna…

Read More

RIVERS UNITED 0-0 YANGA

UBAO wa Uwanja wa Godswill Akpabio huko Nigeria unasoma Rivers United 0-0 Yanga ikiwa ni dakika 45 za awali. Yanga inaliandama lango la wapinzani wao katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika wakimtumia Fisto Mayele na Aziz KI. Mashuti 6 Yanga wamepiga matatu yamelenga lango huku Rivers wakiwa wamepiga mashuti 7 hakuna hata moja lililolenga…

Read More

AZAM FC YAISHUSHA SINGIDA BIG STARS

USHINDI waliopata dhidi ya Ruvu Shooting unawapeleka nafasi ya tatu kwenye msimamo 53. Ubao wa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro ulisoma Ruvu Shooting 1-3 Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara, Aprili 22,2023. Ruvu wanagotea nafasi ya 16 wana pointi zao 20 wamecheza wote mechi 27. Azam FC wanaishusha Singida Big Stars kwenye nafasi ya…

Read More

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA RIVERS UNITED

UWANJA wa Godswill Akpabio nchini Nigeria, wawakilishi wa Tanzania, Yanga kwenye Kombe la Shirikisho Afrika watakuwa na kibarua cha kusaka ushindi mchezo wa robo fainali Kombe la Shirikisho Afrika. Kikosi cha Yanga kitakachoanza kipo namna hii:- Diarra Djigui Djuma Shaban Lomalisa Bakari Mwamnyeto Dickson Job Bacca Bangala Farid Mussa Fiston Mayele Mudhathir Yahya Aziz KI

Read More

SALIM PONGEZI SAWA LAKINI TIMU INAZIDI KUIMARIKA

ANGALAU kwenye ukuta wa Simba kuna makosa yanazidi kufanyia kazi hasa eneo la ulinzi ambalo limekuwa lifanya makosa mengi makubwa yanayoigharimu timu. Ukimpongeza Ally Salim kwenye mechi tatu ambazo amekaa langoni ukamuweka kando nahodha Mohamed Hussein bado utakuwa hujatenda haki. Ipo wazi kwamba kwenye mchezo dhidi ya Yanga, Mohamed alifanya makosa mengi ambayo yalimpa mtihani…

Read More

KAZI YA KWANZA KIMATAIFA HAIKAMILISHI HESABU BADO

MATOKEO ya mchezo wa kwanza hayana maana kwamba safari imegota mwisho kwa kila timu bali ni mwendelezo kwenye mchezo unaofuata. Hakika kwenye mechi za kimataifa wawakilishi wana kazi kubwa kusaka ushindi ili kupata matokeo mazuri ambayo yatawapa furaha mashabiki na Tanzania kiujumla. Kwa wakati huu kwenye hatua ya robo fainali ni mechi mbilimbili zinachezwa kwa…

Read More