MWAMBA LUSAJO ANASEPA NAMUNGO

NYOTA Reliants Lusajo ameandika ujumbe kwenye ukurasa wake wa Instagram wa kuiaga familia yake ya Namungo alikokuwa akipambania majukumu yake. Namungo inashiriki Ligi Kuu Bara inatumia Uwanja wa Majaliwa kwa mechi za nyumbani. Dirisha dogo la usajili tayari limefunguliwa tangu Desemba 16 na wachezaji wanatoka na kuingia kwenye klabu tofauti ambapo ameweka wazi kwamba anakwenda…

Read More

UGOMVI UWEKWE KANDO, LIGI IENDELEE

USHINDANI ambao unaendelea kwenye Ligi Kuu Bara unazidi kuonyesha namna ukomavu wa soka letu linavyozidi kukua kila iitwapo leo. Kuna mengi ya kuendelea kuyaboresha ili ligi izidi kuwa imara zaidi. Kwa upande wa wachezaji pamoja na sehemu ambayo inaamua matokeo yenyewe ikiwa ni uwanja. Ubora wa uwanja ni daraja kubwa kwa kuendeleza kutoa burudani ambapo…

Read More

SINGIDA FOUNTAIN GATE: USHINDANI NI MKUBWA

KOCHA msaidizi wa  Singida Fountain Gate Thabo Senong ameweka wazi kuwa ushindani ndani ya ligi ni mkubwa kutokana na kila timu kuhitaji ushindi ndani ya uwanja. Timu hiyo baada ya kucheza mechi 14 kibindoni ina pointi 20 huku safu yake ya ushambuliaji ikiwa imetupia jumla ya mabao 17. Desemba 21 ilikuwa siku mbaya kazini kwa…

Read More

YANGA WANA BALAA HAO, AZIZI KI HASHIKIKI

NDANI ya Ligi Kuu Bara Yanga wana balaa kwenye msako wa pointi tatu huku nyota wao Aziz KI akiwa hashikiki kwenye kucheka na nyavu. Kasi yake imekuwa katika ubora ambapo alitoka kufunga mabao mawili kwenye mchezo uliopita dhidi ya Mtibwa Sugar na Desemba 23 alifunga tena bao moja pekee ambalo liliipa pointi tatu muhimu Yanga….

Read More

SIMBA YATUMA UJUMBE HUU KMC

BENCHI la ufundi la Simba limeweka wazi kuwa litaingia kwa tahadhari kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex. Simba ilitoka kupata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Kagera Sugar kwenye mchezo wao uliopita wa ligi ambapo mabao yalifungwa na Saido Ntibanozkia, Sadio anoute na John Bocco. Leo…

Read More

MWENDELEZO WA LIGI KUU BARA UMAKINI UNAHITAJIKA

MWENDELEZO wa Ligi Kuu Bara ikiwa ni mzunguko wa kwanza unapaswa kuendelea kwa hesabu kubwa kwa timu ambazo zinashuka uwanjani kwa wakati huu. Kila timu mpango kazi wake ni kupata matokeo hivyo kwa wale ambao hawajawa kwenye mwendo mzuri ni muda wa kufanya maboresho kwenye makosa yaliyopita. Ipo wazi kwamba kila timu inahitaji kupata matokeo…

Read More

SIMBA YAPOTEZA KARIAKOO DABI

KATIKA mchezo wa Kariakoo Dabi uliochezwa Desemba 22 ubao ulisoma Simba 0-4 Yanga kwenye NBC Premier League. Simba wakiwa wenyeji walishuhudia wakifungwa dakika ya 16 kupitia kwa Willyson Christopher, Shaban Ibrahim dakika 23, Ahmed Denis dakika ya 45 kwa mkwaju wa penalti, Hemed dakika ya 58. Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed…

Read More

AMEACHA BALAA HUKO CAF PACOME/MUDA

MWAMBA Pacome katika Ligi ya Mabingwa Afrika ameacha balaa huku wapinzani wao Medeama wakiwa wamefungwa mabao mawili na nyota huyo kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika.Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel kibindoni ina pointi tano ikiwa nafasi ya pili kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika katika kundi D

Read More

SIMBA KAMILI KUIKABILI KMC

ABDELHAK Benchikha, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kuna ari kubwa kwa wachezaji wa timu hiyo katika kutimiza majukumu jambo ambalo linaongeza nguvu katika kutafuta matokeo uwanjani. Simba inatarajiwa kukaribishwa na KMC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Azam Complex, Desemba 23 ikiwa ni mzunguko wa kwanza. Mchezo wa ligi uliopita ubao wa…

Read More

SAMSUNG A32 KUTOLEWA KWENYE PROMOSHENI YA SIKUKUU YA MERIDIANBET

Mabingwa wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet msimu huu wa sikukuu wamejitokeza na Promosheni ya kibabe kabisa ambapo imewaangukia wachezaji wa michezo ya Sloti ambayo ipo ndani ya Kasino ya Mitandaoni. Promosheni hii kama ilivyoelezwa itakua inahusisha wateja wanaocheza Sloti ambayo ni sehemu ya michezo ya Kasino Mitandaoni, Huku mshindi akijishindia Samsug A32, mshindi…

Read More