
NABI AWAKWEPA WAARABU BONGO, SAIDO,CHAMA WAMPA JEURI
NABI awakwepa Waarabu Bongo, Saido, Chama wampa jeuri Robertinho CAF ndani ya Championi Jumatatu.
NABI awakwepa Waarabu Bongo, Saido, Chama wampa jeuri Robertinho CAF ndani ya Championi Jumatatu.
MTOKO wa kifamilia kwa Simba ikiwa ni mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya Al Hilal wametoshana nguvu Uwanja wa Mkapa. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Simba 1-1 Al Hilal ambapo dakika 45 za mwanzo zilikuwa mali ya Al Hilal kisha Simba wakafanya kazi kubwa kipindi cha pili. Bao la Al Hilal limefungwa kwa…
NA SALEH ALLY, AGADIR KAMA Morocco ingepata nafasi ya kuandaa Kombe la Dunia mwaka 2010, Uwanja wa Adrar ulipangwa kutumika kwenye moja ya michezo muhimu ya mtoano ya hatua ya robo fainali. Bahati mbaya kwa Morocco, nafasi hiyo ikaenda kwa Afrika Kusini na baada ya hapo, wakaamua kuendeleza taratibu ujenzi wa uwanja huo hadi ulipokamilika…
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kwenye mchezo wao dhidi ya Namungo hawakucheza vizuri lakini walipata matokeo mazuri kutokana na kuwapa muda wachezaji wengine ambao walikuwa wanasumbuliwa na majeruhi
EVERTON yaivuta shati Arsenal ndani ya Ligi Kuu England baada ya kuwatungua kwenye mchezo wao walipokutana. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Goodison Park ulisoma Everton 1-0 Arsenal ambao ni vinara wa ligi. Bao pekee la ushindi kwenye mchezo huo lilipachikwa kimiani na James Tarkowski dakika ya 60. Huo ulikuwa ni ushindi wa…
ROBERTINHO achungulia mkataba wa Bruno, Yanga yachimchimba mkwara mzito ndani ya Spoti Xtra Jumapili
DODOMA Jiji wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Jamhuri,Dodoma. Bao pekee la Azam FC limefungwa na Ayoub Lyanga ambaye alipachika bao hilo dakika ya 60 na kumfanya afikishe mabao mawili kwenye ligi. Ni Muhsain alipachika bao dakika ya 27 na Collins Opare…
YANGA imesepa na pointi tatu mazima mbele ya Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa umesoma Yanga 2-0 Namungo FC. Kila kipindi Yanga walitupia bao moja dakika ya 43 ni Dickson Job na kipindi cha pili ni Aziz KI alitupia bao kwenye mchezo huo. Ilikuwa…
BAADA ya ushindi wa mabao 3-1 waliopata dhidi ya Singida Big Stars kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara, kesho Simba wanatarajia kumenyana na Al Hilal. Mchezo huo ambao Simba watajitupa kesho Uwanja wa Mkapa ni wa kimataifa wa kirafiki ikiwa ni maandalizi ya mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya…
MATHEO Anthony, nyota wa KMC kesho anatarajiwa kuukosa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Jamhuri,Morogoro saa 10:00 jioni. Sababu za nyota huyo kuukosa mchezo huo ni kutokuwa fiti baada ya kupata maumivu. Ofisa Habari wa KMC, Christina Mwagala amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo…
TUNDA awachambua Chama, Sakho, Baleke, apewa jezi na Saido
ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wanaamini kwamba Namungo ni moja ya timu ngumu ambapo inafanya vizuri kwenye mechi za ugenini
HAWA hapa wapya ambao wameanza kukiamsha ndani ya Bongo
Anaandika Saleh Ally, Morocco UNAWEZA kusema upepo umebadilika na huenda ndio kilikuwa kitu kilichowashangaza watu wengi baada ya mashabiki wa Morocco kuamua kuishangilia Al Ahly katika mechi yake ya kwanza ya Kombe la Dunia la Klabu. Mechi hiyo kwenye Uwanja wa Tengue ilihudhuriwa na watu wengi sana. Kwanza ilionekana kama ni kitu cha kushangaza kwa…
KWENYE mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Majaliwa, Namungo ilipoteza pointi tatu mazima hivyo leo ina kazi nyingine ya kujiuliza mbele ya Yanga. Aziz KI kiungo mshambuliaji wa Yanga ambaye ni mtaalamu kwenye mapigo huru alikuwa sababu kwenye bao la kwanza lililowavuruga Namungo. Pigo lake la faulo akiwa nje kidogo ya 18 lilimshinda…
KIUNGO wa Simba Pape Sakho amefunga bonge moja ya bao dhidi ya Singida Big Stars dakika ya 63. Bao hilo linafanya ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 3-1 Singida Big Stars. Mabao mawili ya awali kwa Simba ni mali ya Jean Baleke aliyepachika bao mapema dakika ya 8 na lile la pili ni mali…
MSAFARA wa Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Kali Ongala umefika salama makao makuu ya Tanzania, Dodoma kwa walima Zabibu. Azam FC kesho Januari ina kazi ya kusaka pointi tatu dhidi ya Dodoma Jiji unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Jamhuri Dodoma. Ni msafara wa wachezaji 24 ambao wamejumuishwa kwenye kikosi hicho ikiwa ni pamoja na Prince…