SportsAZAM YAPOTEZA MBELE YA DODOMA JIJI Saleh3 years ago3 years ago01 mins DODOMA Jiji wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Jamhuri,Dodoma. Bao pekee la Azam FC limefungwa na Ayoub Lyanga ambaye alipachika bao hilo dakika ya 60 na kumfanya afikishe mabao mawili kwenye ligi. Ni Muhsain alipachika bao dakika ya 27 na Collins Opare alipachika bao dakika ya 30 kwenye mchezo huo. Ni Idrisu Abdulai kipa mpya wa Azam FC ameokota nyavuni mabao mawili na kushuhudia timu hiyo ikipoteza pointi tatu ugenini. Post navigation Previous: YANGA YAWEKA REKODI MATATA IKIWATUNGUA NAMUNGONext: ROBERTINHO ACHUNGULIA MKATABA WA BRUNO,YANGA YACHIMBA MKWARA
Soccer Football - International Friendly - Spain v Brazil - Santiago Bernabeu, Madrid, Spain - March 26, 2024 Spain's Rodri scores their third goal from the penalty spot REUTERS/Violeta Santos Moura Je Fainali ya Kombe la Dunia 2026 Itakuwa Brazil vs Hispania? Saleh1 day ago 0