
RAIS SAMIA ANUNUA MABAO YA BALEKE NA MAYELE CAF
RAIS Samia anunua mabao ya Baleke, Mayele CAF, Matajiri wapanda dau Yanga ndani ya Championi Jumatano
RAIS Samia anunua mabao ya Baleke, Mayele CAF, Matajiri wapanda dau Yanga ndani ya Championi Jumatano
Meridianbet wameongeza gemu mpya na rahisi kushinda inayokupa mizunguko kibao na bonasi nyingi kutoka Kasino ya mtandaoni kutoka Meridianbet ni sloti ya Pia Premium ambayo husafirisha wachezaji kwenye tamaduni ya Wenyeji wa Amerika moja kwa moja kwa michoro ya kupendeza na ya kusisimua. Binti wa kifalme wa India huleta chaguo za kuvutia ya 98% na…
Anaandika Jembe SIMBA na Yanga zimepoteza mechi za kwanza za ugenini kimataifa. Tukubali timu zetu zilijiandaa lakini Caf CL na Caf CC si lelemama, si sehemu ya maneno mengi na kupeana moyo tu…NI MAPAMABO HALISI… Simba wamefungwa na Horoya wanayoizidi kwenye ubora wa Rank za Caf, hali kadhalika Yanga kwa Monastir. Sasa nyumbani wanakwenda kukutana…
BAADA ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan kuweka wazi kuwa atanunua bao la timu za Tanzania zinazoshiriki mashindano ya kimataifa kwa milioni 5, uongozi wa Simba umetoa shukrani za dhati kwa jambo hilo. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema kuwa jambo hilo ni kubwa…
KOCHA Mkuu wa Simba, Mbrazil, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amewaondoa hofu mashabiki wa timu hiyo, kwa kuwaambia kuwa hataingia kivingine kimbinu watakapovaana dhidi ya Raja Casablanca ya nchini Morocco. Hiyo ni baada ya kuanza vibaya hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika wakiwa ugenini dhidi ya Horoya AC ya nchini Guinea wakifungwa bao 1-0. Jumamosi…
Tarehe 13 siku ya Redio duniani kampuni ya michezo ya ubashiri Tanzania Meridianbet imetoa vifaa vya kutendea kazi kwa kituo cha Habari cha Radio 1, Hii ni katika kuendeleza taratibu wa kurejesha kwa jamii ambapo ni utaratibu kampuni hiyo. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet. Katika zoezi hilo Mkurugenzi Mtendaji wa Radio One na ITV,…
Rais Samia Suluhu ametangaza kununua kwa Sh5 milioni kila bao litakalofungwa na Simba na Yanga katika michezo yao ya kimataifa ya mwisho wa wiki hii. Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema hayo leo huku timu hizo zikiwa na kibarua kwa mechi ya pili hatua ya makundi baada za kwanza kufungwa ugenini. Simba itacheza Jumamosi…
KOCHA Mkuu wa Singida Big Stars Hans Pluijm amesema kuwa makosa ambayo wamefanya kwenye mchezo dhidi ya Ihefu watafanyia kazi kwa mechi zijazo. Februari 12 2023 Singida Big Stars ilitoshana nguvu kwa kufungana bao 1-1 dhidi ya Ihefu kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Highland Estate. Pluijm amesema kuwa walikuwa wanahitaji pointi tatu kwenye mchezo huo…
Mfalme mpya wa kubeti kutoka Meridianbet amepatikana. Mfalme huyo anayetokea mkoani Mbeya alijipatia kitita cha Milioni Ishirini na laki moja, elfu nne na mia mbili tu. (20,104,200/=). Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet. Mshindi huyo ambaye alibeti na Meridianbet na kuweka dau la shilingi 5,000/= (elfu tano tu) na kuweka mechi 15 tu, ambazo alichanganya…
AHMED aichambua Yanga/nafasi ya Fei,Morrison
MSAFARA wa kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi leo Februari 14 unatarajiwa kuwasili Dar. Wawakilishi hao wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika walikuwa nchini Tunisia kwa ajili ya dakika 90 dhidi ya US Monastir. Ubao ulisoma US Monastir 2-0 Yanga hivyo wanarejea wakiwa na hasira kuelekea kwenye mchezo ujao dhidi ya…
NABI awachomoa mastaa kikosini Yanga, Chama, Baleke wakabidhiwa Waarabu ndani ya Spoti Xtra Jumanne
MSAFARA wa Simba umewasili salama Dar ukitokea nchini Guinea ulipokuwa kwa ajili ya kazi ya kuiwakilisha nchi kimataifa. Chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira kikosi hicho kilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Horoya kwenye mchezo wa kwanza hatua ya makundi na kuyeyusha pointi tatu. Kazi kubwa kwa sasa ni kuelekea mchezo wao ujao ambao…
Ligi ya Mabingwa barani Ulaya (UEFA Champions League) inaendelea tena leo na kesho, ni muda muafaka wa kuzijua ni timu gani zitasonga mbele hatua ya 8 bora au robo fainali, Meridianbet kama kawaida wamejipanga kwa kutoa Odds kubwa na machaguo Zaidi ya 1000+ kwenye mechi zote za hatua ya 16 bora UEFA Champions League. Mechi…
BAADA ya kete ya kwanza kukamilika huku wakipoteza mchezo wao kikosi cha Yanga kimeanza safari kurejea Dar. Wawakilishi hao kwenye Kombe la Shirikisho Afrika walikamilisha dakika 90 na ubao ukasoma US Monastir 2-0 Yanga. Msafara wa wachezaji na benchi la ufundi unatarajiwa kuwasili nchini kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao ujao dhidi ya TP…
BALAA zito kwenye benchi la ufundi la Simba wakitoka kuyeyusha pointi tatu katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika watakosa huduma ya kiungo wao mgumu Sadio Kanoute. Kazi kubwa itakuwa kwa benchi la ufundi kupasua kichwa kuamua wataanza na yupi kati ya Ismail Sawadogo, Mzamiru Yassin ama Jonas Mkude ikiwa atakuwa fiti. Kanoute alionyeshwa kadi…
IMEKUWA ni mwanzo mbaya kwa wawakilishi wa Tanzania kwenye anga za kimataifa katika Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo mchezo wa kwanza imepoteza dhidi ya Horoya. Simba ambao wapo kundi C walikuwa wana kazi ugenini dhidi ya Horoya ambao nao walikuwa wanahitaji matokeo na tumeona namna ilivyokuwa hasa kwenye matumizi ya nafasi. Katika anga la kimataifa…