SABABU YA PROGRAM MAALUM KWA FEI

KIUNGO wa Yanga na timu ya Taifa, Taifa Stars, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amepewa mazoezi maalumu kwa ajili ya kumuongezea fitinesi kuelekea kwenye mchezo wa leo dhidi ya Uganda. Stars leo itakuwa mgeni wa Uganda kwenye Uwanja wa Suez Canal, mjini Ismailia nchini Misri ukiwa ni mchezo wa kuwania kufuzu Afcon. Kumbuka Desemba mwaka jana…

Read More

MKWANJA WA SIMBA KUTUMIKA KWA UMAKINI

MWENYEKITI wa Bodi ya Simba, Salim Muhene amesema kuwa  udhamini ambao wamepata kwa timu ya vijana wenye thamani ya milioni 500 ni mkubwa na watatumia fedha hizo kwa umakini mkubwa. Machi 23Klabu ya Simba iliingia mkataba wenye thamani hiyo na Kampuni ya Mobiad Afrika katika Hotel ya Serena na viongozi wa pande zote mbili walikuwepo….

Read More

STARS IMEANDALIWA VILIVYO, MTIHANI NI LEO

Na Saleh Ally, Ismailia TANGU siku ya kwanza ya kambi ya timu taifa hapa jijini Ismailia nchini Misri nimekuwa hapa nikishuhudia. Timu ya taifa ambayo ni mara ya kwanza kocha mpya anaanza kazi lakini inakwenda katika mechi muhimu sana dhidi ya Uganda, leo. Mechi ya kuwania kufuzu kuwania kucheza Afcon, itakuwa ni ngumu kwa kuwa…

Read More

KOCHA MAN U ANAMKUBALI MARTIAL

TEN Hag, Kocha Mkuu wa Manchester United ameweka wazi kuwa ana imani na mshambuliaji wake Anthony Martial. Mshambuliaji huyo hajawa kwenye mwendo bora ndani ya timu hiyo lakini kocha amekubali kazi yake. Nyota huyo mwenye miaka 27 amekuwa na msimu mbaya chini ya Ten Hag ambapo amekuwa na majeraha ya mara kwa mara akiwa amekosa…

Read More

STARS KAZINI LEO FEI APEWA PROGRAM MAALUM

KIUNGO wa Yanga na timu ya Taifa ya Tanzania Feisal Salum, Fei Toto amepewa program maalumu nchini Misri ili kurejea kwenye ubora wake. Mazoezi hayo ni maalumu kwa ajili ya kumuongezea fitinesi kuelekea kwenye mchezo wa leo Machi 24 dhidi ya Uganda. Stars ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo dhidi ya Uganda Uwanja wa…

Read More

BAO LA MAYELE LASEPA NA TUZO CAF

BAO alilopachika mwamba Fiston Mayele kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya US Monastir limechaguliwa kuwa bao bora kwa mzunguko wa tano. Nyota huyo mtambo wa mabao alipachika bao hilo kwenye mchezo uliochezwa Machi 19,2023 Uwanja wa Mkapa. Pasi ya mshikaji wake Kennedy Musonda ilikutana na Mayele aliyekuwa nje kidog ya 18 akaachia…

Read More

KMC WAIVUTIA KASI GEITA GOLD

WATOTO wa Kinondoni, KMC wameanza mazoezi kwa ajili ya mechi zijazo za Ligi Kuu Bara mzunguko wa pili 2022/23. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Hitimana Thiery kituo chake kinachofuata ni dhidi ya Geita Gold. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Aprili 11 ambapo awali ulitarajiwa kuchezwa Aprili 17ambapo KMC itakuwa nyumbani. Miongoni mwa nyota wa KMC…

Read More

TENGENEZA MKWANJA NA KASINO YA MTANDAONI

Mtu wangu wa nguvu nataka kusema na wewe kuhusu mchongo wa kupiga hela tu, na kila siku huwa nakuja na machimbo na mbinu kibao za kutengeneza mtonyo wako na kujiinua kiuchumi. Fuatilia story hii nzuri yenye mbinu za kutengeneza pesa haswa kwa njia ya kasino ya mtandaoni. Moja ya sehemu unayoweza kutengeneza mkwanja mrefu ni…

Read More

AUBA KAZI HAKUNA TENA

IMERIPOTIWA kuwa Chelsea wapo kwenye mpango wa kuvunja mkataba na staa wao Pierre Emerick Aubameyang mwishoni mwa msimu huu. Auba amekuwa hana nafasi kikosi cha kwanza ndani ya Chlesea chini ya Kocha Mkuu, Graham Potter. Tangu ametua hapo msimu huu mambo yanaonekana kuwa magumu kwa staa huyo. Ilikuwa dakikasaba tu alitumia nyota huyo kwenye mchezo…

Read More

STARS KAMILI KUIKABILI UGANDA

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars Adel Amrouche amesema kuwa wachezaji wapo tayari kwa mchezo dhidi ya Uganda. Huo ni mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda utakaochezwa Machi 24, 2023 Uwanja wa Suez Canal, Ismailia, Misri. Kocha huyo amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo huo wakiwa wapo imara…

Read More

BAO LA CHAMA LASEPA NA TUZO CAF

BAO la Clatous Chama alilofunga kwa mpira wa pigo huru dhidi ya Horoya AC limechaguliwa kuwa Bao Bora la Wiki la Ligi ya Mabingwa Afrika kwa michezo ya mzunguko wa tano. Katika mchezo huo uliochezwa Machi 18,2023 ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 7-0 Horoya. Ilikuwa ni bao la mapema zaidi dakika ya 10…

Read More

AZAM FC KIBARUANI LEO

KIKOSI cha Azam FC chini ya Kocha Mkuu, Kali Ongala leo Machi 22 kinatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya JKU ya Zanzibar. Huu ni mchezo maalumu kwa ajili ya maandalizi ya mechi zijazo za mashindano ambapo Azam FC inacheza Ligi Kuu Bara pamoja na Kombe la Azam Sports Federation ikiwa imetinga hatua ya robo…

Read More

MAYELE ANATUPIA KIMATAIFA MUSONDA NAYE YUMO

KWENYE hatua ya makundi akiwa amecheza mechi tano Fiston Mayele kajaza kimiani mabao matatu akiwa amewatungua Real Bamako mabao mawili na US Monastir bao moja. Weka kando suala la uchoyo ambao ni asili ya washambuliaji wengi duniani Mayele ana pasi moja ya bao alitoa mchezo dhidi ya TP Mazembe Kwa mshikaji wake Tuisila Kisinda. Mkali…

Read More

FULL SHANGWE LINAHAMIA UGENINI KIMATAIFA

BAADA ya kutinga hatua ya robo fainali Yanga imeanza hesabu za mchezo wao ujao wa kimataifa dhidi ya TP Mazembe. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Aprili 2 DR Congo. Ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Mkapa ubao ulisoma Yanga 3-1 TP Mazembe. Kwenye mchezo huo ni Kennedy Musonda, Mudhathir Yahya na Tuisila Kisinda ambaye…

Read More