KIEPE NYANI, TANZANIA ONE ASIYEIMBWA

FADHILI Majiha (Kiepe Nyani) bondia wa ngumi za kulipwa nchini ambaye kwa sasa anashikilia rekodi ya kuwa bondia namba moja (Tanzania One) akiwa na hadhi ya nyota nne. Majiha ambaye ni bingwa wa WBC Afrika na UBO alianza kucheza ngumi za kulipwa mwaka 2008 ambapo pambano lake la kwanza alipanda ulingoni dhidi ya Ramadhan Kumbele…

Read More

WANAJESHI HAWA WA AZAM KWENYE MAJUKUMU YA TAIFA

 WANAJESHI sita ndani ya kikosi cha Azam FC wameitwa kwenye timu zao za taifa. Kwa sasa Ligi Kuu Bara ipo kwenye mapumziko kupisha mashindano ya kimataifa ambapo timu zitakuwa kwenye mechi za  kufuzu Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2026. Mastaa hao walioitwa kwenye timu za taifa ni wanne wapo kambini timu ya taifa ya…

Read More

KISA MGHANA HUYU SINGIDA FOUNTAIN GATE YAPIGWA PINI

IKIWA ni muda wa mapumziko kwa sasa ndani ya Ligi Kuu Bara, Klabu ya Singida Fountain Gate inayotumia Uwanja wa Liti imepigwa pini kwenye suala la usajili. Timu hiyo ya Singida Fountain Gate inayoshiriki Ligi Kuu ya NBC ya Singida Fountain Gate FC zamani ilikuwa ikiitwa Singida Big Stars FC imefungiwa kusajili mpaka itakapomlipa mchezaji…

Read More

SIMBA SC YATAMBA KUWA WA KWANZA KATIKA HILI

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa umefanikiwa kuwa timu ya kwanza Afrika Mashariki kuzindua Simba SC WhatsApp Channel. Rasmi leo Novemba 14 Simba imetambulisha chanel hiyo ikiwa ni chanzo cha kutoa taarifa kwa mashabiki na dunia nzima kiujumla. Imani Kujula, Mtendaji Mkuu wa Simba amesema: “Leo tunazindua Simba Sports Club WhatsApp channel. WhatsApp imepakuliwa na…

Read More

KAZI KUBWA NI KUSAKA USHINDI NYUMBANI AMA UGENINI

KILA timu inaposhuka uwanjani mpango kazi mkubwa ni kupata ushindi. Iwe ni kwenye mchezo wa kirafiki hata ule wa ushindani malengo bado yanabaki palepale kwa kila timu kuhitaji kuwa kwenye mwendo mzuri. Kwa sasa timu nyingi zipo kwenye maandalizi kwa ajili ya mechi za kitaifa na kimataifa hilo lipo wazi. Zipo ambazo malengo makubwa ni…

Read More

AZAM FC HAWATAKI UTANI HUKO

MATAJIRI wa Dar, Azam FC hawataki utani kwenye mechi zao za ligi kwa kuweka wazi kuwa watendelea kasi yao ileile waliyoanza nayo kwenye mechi za ugenini. Ipo wazi kuwa kwenye mechi mbili za ugenini Azam FC inayonolewa na Yusuph Dabo ilikomba pointi sita mazima ndani ya dakika 180. Ilianza kushuhudia ubao wa Uwanja wa Lake…

Read More

MWAMBA PHIRI ANAKUJA

MOSES Phiri, nyota wa Simba mdogomdogo anazidi kurejea kwenye ubora wake kutokana na kasi yake kwenye kufunga na kutoa pasi za mabao kuanza kuimarika. Ipo wazi kwamba zama za kocha Roberto Oliveira hakuwa chaguo la kwanza katika kikosi hicho na mechi nyingi alianza kusugua benchi licha ya uwezo alionao. Ni mabao matatu katupia ndani ya…

Read More

MBAPPE LICHA YA USHUJAA KOCHA HANA TABASAMU

LICHA ya Kylian Mbappe kuibuka shujaa kwa kuifungia timu yake ya Paris Saint-Germain (PSG) mabao matatu, kocha wa straika huyo, Luis Enrique ameibuka na kuweka wazi kuwa hana furaha na nyota huyo. Enrique ameongeza kuwa hana furaha na Mbappe kwa kuwa anataka kumuona nyota huyo akifanya mambo makubwa zaidi katika kikosi cha timu hiyo. Mbappe…

Read More

DARAJANI KILIPIGWA KINOMANOMA

MOJA kati ya mechi zilizokuwa na ushindani mkubwa ndani ya uwanja pale darajani hii itaingia kwenye orodha pia. Ndani ya Stamford Bridge baada ya dakika 90 ubao ulisoma Chelsea 4-4 Man City. Mabao ya Cole Palmer dakika ya Thiago Silva dakika ya 29, Raheem Sterling dakika ya 37, Nicolas Jackson dakika ya 67 huku msumari…

Read More

WALIOPO MKIANI MUHIMU KUPAMBANIA KOMBE

MUDA wa kufanya kazi kubwa ya kujitoa kwenye nafasi zile za mwisho wengi hupenda kuita mkiani inatosha kwa kuanza kuleta ushindani wa kweli. Ipo wazi kwamba kila timu inahitaji kupata matokeo mazuri lakini inakwama kutokana na kukutana na ushindani mkubwa zaidi. Muda uliopo kwa sasa ni kufanya malipo stahiki kwa muda ili kuwa kwenye ubora…

Read More

SIMBA WAIREJESHA TUZO KWA MASHABIKI

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa tuzo ya mashabiki bora ambayo wamepata kutokana na kushiriki michuano ya African Football League ni heshima kubwa kwao. Ikumbukwe kwamba Simba iligotea hatua ya robo fainali kwa kuondolewa na Al Ahly ya Misri. Baada ya kutwaa tuzo hiyo walibainisha kuwa ni ya kila shabiki wa Simba. Novemba 11 Simba…

Read More

HAWA HAPA MABINGWA WA AFL

Mabingwa wa African Football League ñi Mamelod Sundown ya Afrika Kusini mbele ya Wydad Casablanca. Katika fainali ya leo ubao umesoma Mamelod 2-0 Wydad na kuwafanya watwae ubingwa kwa jumla ya mabao 3-1. Bao la Peter Shalulile dakika ya 45 liliwaongezea nguvu vijana hao ambao walipachika bao ka pili dakika ya 53 kupitia kwa Modiba….

Read More

YANGA YARIPOTIWA KUMSAJILI KIUNGO MKATA UMEME WA IVORY COAST

Klabu ya Yanga imeripotiwa kuwa ukingoni kukamilisha dili la kumsajili kiungo mkata umeme kutoka Ivory Coast, Djire Abdoulaye kutoka klabu ya Racing Club Abidjan. Young Africans SC inahitaji kiungo mwingine mkabaji haraka iwezekanavyo ikiwa ni pendekezo la kocha Miguel Gamondim Abdoulaye (17) anatazamiwa kukubaliana pia masharti ya kibinafsi na Young Africans licha ya msururu wa…

Read More

DEREVA WA CHINO AFARIKI

DEREVA aliyekuwa akiendesha gari alilokuwa akisafiria msanii na dansa maarudu, Chino Kid aitwaye Nabeel, amefariki dunia akiwa anapatiwa matibabu, kutokana na majeraha aliyoyapata kwenye ajali hiyo. Mmoja wa watu wa karibu wa Chino Kid, Prodyuza Abbah Process kupitia akaunti zake za mitandao ya kijamii, ameandika: ‘Rest in Peace Brother, tumepoteza mwanafamilia mmoja aliyekuwa kwenye ajali…

Read More