SIMBA 1-0 DODOMA JIJI, UWANJA WA UHURU WANAPATA TABU

LINAPIGWA pira Uturuki v Pira Zabibu Uwanja wa Uhuru huku ukuta wa Dodoma Jiji ukiwa imara kuwakabili wapinzani wao. Licha ya nguvu walizonazo Dodoma Jiji kuwazuia washambuliaji wa Simba wakiongozwa na Jean Baleke ni mashuhuda ubao ukisoma Simba 1-0 Dodoma Jiji. Jean Baleke ametupia bao dakika ya 43 kwenye Uwanja wa Uhuru ambao timu zote…

Read More

MASTAA SIMBA WATATU MAJANGA

MASTAA watatu wa Simba wameanza kwa majanga msimu wa 2023/24 kutokana na kupata maumivu wakiwa kwenye majukumu yao. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2022/23 Simba ilishuhudia bingwa wa ligi akiwa ni Yanga chini ya kocha Nasreddine Nabi ambaye hatakuwa ndani ya kikosi cha Yanga kwa msimu wa 2023/24. Yanga kwa sasa ipo chini ya Kocha Mkuu,…

Read More

HIVI NDIVYO MPANGO KAZI WA GAMONDI KIMATAIFA

UPO uwezekano mkubwa wa kiungo mshambuliaji mpya wa Yanga, Muivory Coast Pacome Zouzoua kuanza katika kikosi cha timu hiyo, kitakachovaana dhidi ya ASAS FC ya nchini Djibouti. Yanga itavaana dhidi ya ASAS katika mchezo wa hatua ya Awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika utakaopigwa leo Agosti 20 Jumapili kwenye Uwanja wa Azam Complex, Mbagala Jijini…

Read More

SIMBA MASTAA WAKE WASUKWA UPYA

MASTAA wa Simba ikiwa ni pamoja na Luis Miquissone, Fabrince Ngoma, Jean Baleke na John Bocco wameanza kusukwa upya ili kurejea kwenye makali yao. Nyota hao wameandika rekodi mbovu ya kukomba dakika 180 katika mechi za Ngao ya Jamii 2023 bila kufuga bao lolote licha ya kutwaa taji hilo. Simba ilitwaa Ngao ya Jamii kwa…

Read More

CR 7 KUTOKA UARABUNI KUCHEZA UEFA

CHAMA cha Soka Saudi Arabia kipo kwenye mazungumzo na UEFA kuhusu uwezekano wa bingwa wa Ligi Kuu ya Saudi Arabia kushiriki michuano hiyo msimu wa 2024/25. Hii inakuja baada ya Saudi Arabia Pro League kusajili wachezaji wakubwa na waliokuwa vipenzi vya mashabiki wengi huko Ulaya. Kwa sasa ligi ya Saudia imekuwa ikifuatiliwa tangu, Cristiano Ronaldo…

Read More

YANGA KUMEKUCHA, KIKOSI KUFUMULIWA

HUKO Yanga unapikwa mfumo mpya wa kuhakikisha kocha, Miguel Gamondi anatumia namba 10 wawili katika kikosi chake ili kuongeza ubunifu katika kufunga mabao yatakayoisaidia Yanga kuwa bora msimu huu. Gamondi tayari ameshawafurahisha mashabiki wa timu hiyo licha ya kupoteza mechi yao dhidi ya Simba kwenye fainali ya Ngao ya Jamii ambapo kikosi chake kilionyesha kiwango…

Read More

YANGA YAJA NA HESABU NYINGINE

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ameweka wazi kuwa mchezo wa mpira unahitaji mabao jambo ambalo wamelifanyia kazi. Kesho Agosti 20, Yanga itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya ASAS Djibouti katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex ambapo hata ule wa pili utachezwa pia Jumapili…

Read More

CHAMA NA LUIS NA JAMBO LINGINE

MASTAA wa Simba inayonolewa na Kocha Mkuu Robert Oliveira, Clatous Chama na Luis Miquissone wamekuja na jambo lingine katika kufunga na kutoa pasi za mabao. Simba msimu wa 2022/23 walipishana na ubingwa ambao ulikwenda kwa watani zao wa jadi Yanga. Pia hata taji la Ngao ya Jamii lilibebwa na Yanga na lile la Azam Sports…

Read More

YANGA YAIPIGA MKWARA MWINGINE SIMBA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kushindwa kupata ushindi dhidi ya watani zao wa jadi ni mwanzo wa kulipa kisasi wakikutana kwenye mchezo wa ligi. Chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi Agosti 13 ilishuhudia ikivuliwa taji la Ngao ya Jamii na watani wa Jadi Simba waliopata ushindi wa penalti 3-1 kwenye fainali iliyochezwa Uwanja wa…

Read More

MTIBWA SUGAR WAPOTEZA POINTI MBELE YA SIMBA

IKIWA Uwanja wa Manungu, Morogoro katika safu za milima ya Uluguru, Mtibwa Sugar imeyeyusha pointi tatu. Ubao umesoma Mtibwa Sugar 2-4 Simba ukiwa ni mchezo wa ufunguzi Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24. Katika mchezo wa Agosti 17 Uwanja wa Manungu, Mtibwa Sugar walikuwa imara kwenye mashambulizi ya kushtukiza pamoja na kujilinda kwa tahadhari huku…

Read More

MBABE WA KARIAKOO AMEFUNGUA AKAUNTI YA MABAO

PRINCE Dube nyota wa Azam FC amefungua akaunti ya mabao dakika ya tano kwa kufunga bao dhidi ya Kitayosce. Nyota huyo anayekipiga kwa matajiri wa Dar ni mbabe wa Simba kwa msimu wa 2022/23 kwa kuwatungua kwenye mechi za ligi zote mbili walipokutana. Katika dakika 180 msimu wa 2022/23 Dube alikuwa akiwapa tabu Simba yenye…

Read More

MTIBWA SUGAR 2-3 SIMBA

MCHEZO wa ufunguzi wenye ushindani mkubwa unachezwa Agosti 17, Uwanja wa Manungu. Mtibwa Sugar wakiwa ugenini ni mchezo wa Ligi Kuu Bara inashuhudia dakika 45 ikiwa mbele kwa mabao matatu. Ikumbukwe kwamba mabingwa watetezi wa ligi ni Yanga chini ya Miguel Gamond. Ubao wa Uwanja wa Manungu unasoma Mtibwa Sugar 2-3 Simba. Mabao mawili ya…

Read More

MKALI WA MANUNGU KAMILI KUIKABILI MTIBWA SUGAR

MKALI wa Uwanja wa Manungu kwa msimu wa 2022/23 Jean Baleke yupo kamili kuikabili timu hiyo akiwa na kazi ya kuvunja rekodi yake aliyoandika kwenye uwanja huo. Ni Feisal Salum huyu aliyekuwa ndani ya Yanga msimu wa 2022/23 na sasa ndani ya Azam FC ameandika rekodi ya kuwa nyota wa kwanza kufunga hat trick kwenye…

Read More