>

YANGA YAIPIGIA HESABU COASTAL UNION

OFISA Habari wa Yanga, Haji Manara ameweka wazi kuwa mchezo wao wa kesho dhidi ya Coastal Union waanaamini utakuwa mgumu lakini wanahitaji pointi tatu kwenye mchezo huo wa ligi. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi inaongoza ligi ina pointi 29, Januari 16 inatarajiwa kusaka pointi tatu mbele ya Coastal Union iliyo nafasi ya nne…

Read More

KMC KAMILI KUIVAA TANZANIA PRISONS

TANZANIA One,kipa bora wa muda wote Juma Kaseja kuhusu mchezo wa kesho Januari 16 dhidi ya Tanzania Prisons ameweka wazi kwamba wanahitaji pointi tatu. Kaseja ni nahodha wa KMC kesho anatarajia kuwaongoza wachezaji wenzake katika mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa Nelson Mandela. Kwenye msimamo KMC ipo nafasi ya 13 na pointi 11…

Read More

RASMI CHAMA NI MALI YA SIMBA

RASMI sasa Clatous Chama ni mali ya Simba akitokea Klabu ya RS Berkane ambapo alikuwa huko akikipiga. Aliibuka msimu wa 2021/22 akitokea Simba lakini kwenye mkataba wake mpya kulikuwa na suala la kurejea ndani ya timu hiyo ikiwa kutakuwa na makubaliano ya pande zote mbili. Unakuwa ni usajili wa kwanza kutangazwa rasmi na Simba katika…

Read More

YANGA YAMALIZANA NA JEMBE HILI LA KAZI

KLABU ya Yanga imemtambulisha rasmi nyota Ibrahim Bacca kuwa ni njano na kijani kwa ajili ya kuitumikia timu hiyo msimu wa 2021/22. Nyota huyo wa zamani wa KMKM,Malindi na Taifa Jang’ombe sasa atakuwa ndani ya Ligi Kuu Bara chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Anaungana na Salim Aboubakhari, ‘Sure Boy’,Dennis Nkane,Aboutwalib Mshery ambao ni nyota…

Read More

GEITA GOLD KAMILI KUIVAA DODOMA JIJI

KIKOSI cha Geita Gold kimeshatia timu makao makuu ya nchi Dodoma kwa ajili ya maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kesho Januari 15 Uwanja wa Jamhuri Dodoma. Geita Gold ni miongoni mwa timu ambazo zimepanda ligi msimu huu na imeweza kufanya usajili wa nyota…

Read More

FAINALI DUME,DAKIKA 45 AZAM FC 0-0 SIMBA

NGOMA kwa sasa ni mapumziko mchezo wa fainali ya Kombe la Mapinduzi kati ya Azam FC dhidi ya Simba, Uwanja wa Amaan. Dakika 45 zimekamilika kwa timu zote kukamilisha ngwe ya kwanza bila kuweza kufungana. Ni bonge moja ya mchezo umechezwa Uwanja wa Amaan ambapo timu zote zinaonesha kwamba zinasaka Kombe la Mapinduzi. Hakuna kadi…

Read More

KITAWAKA MAPINDUZI CUP LEO, SIMBA NA AZAM

MADOA MADOA yote yaliyojificha yatajulikana leo kutokana na balaa ambalo linakwenda kufanywa na nyota hawa ambao wanapewa nafasi ya kukinukisha katika fainali ya Kombe la Mapinduzi. Hapa Spoti Xtra linakuletea nyota wa Simba na Azam FC ambao wanatarajiwa kusaka mbabe atakayesepa na taji hilokatika fainali itakayochezwa kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar. SIMBA SCAishi ManulaNi kipa…

Read More