STAA HUYU KUTOKA LEEDS UNITED MALI YA MAN CITY

KLABU ya Manchester City, imefanikiwa kukamilisha dili la kumsajili kiungo wa Leeds United, Kalvin Phillips kwa pauni 45m.  Kiungo huyo mwenye miaka 26, katika hela yake hiyo ya usajili, pauni 42m ndiyo fedha iliyolipwa, huku pauni 3m itakuwa kwa ajili ya bonasi. Mabingwa hao wa Premier League, wamemsajili Phillips kama mbadala wa Fernandinho ambaye alidumu…

Read More

MO SALAH KUUZWA LIVERPOOL

IMERIPOTIWA  kuwa, Klabu ya Liverpool ipo tayari kumuachia, Mohamed Salah kama wakipata ofa nzuri kuanzia pauni 60m.  Salah amesaliwa na mwaka mmoja katika mkataba wake ndani ya Liverpool, huku kwa muda mrefu wakivutana kwenye ishu ya mkataba mpya.  Baada ya Sadio Mane kuondoka Liverpool hivi karibuni na kutua Bayern Munich, huenda pia wakampoteza na Salah….

Read More

KIPA SIMBA AONGEZA MIAKA MIWILI

KIPA namba moja wa kikosi cha Simba ambacho kwa sasa kipo chini ya Kaimu Kocha Mkuu, Seleman Matola Aishi Manula ameongezewa mkataba wake wa kuendelea kuitumikia timu hiyo. Nyota huyo mkataba wake ulikuwa unakaribia kufikia ukingoni na kuna timu ambazo zilikuwa zimeanza mazungumzo naye kwa ajili ya kuinsa saini yake. Manula ambaye ni chaguo la kwanza…

Read More

KICHUYA AWEKA REKODI YAKE BONGO

SHIZA Ramadhan Kichuya staa wa Namungo jana amefunga mabao matatu kwenye mchezo wa ligi na kufanya aweze kufunga hat trick kwenye mchezo huo ikiwa ni ya pili ndani ya ligi. Kichuya alifunga mabao hayo ilikuwa dk ya 23,50 kwa mkwaju wa penalti na lile la tatu ilikuwa dk ya 66 kwenye ushindi wa mabao 4-2…

Read More

SAUTI:KMC WAPANIA KUFUNGA MSIMU NA REKODI

CHRISTINA Mwagala, Ofisa Habari wa KMC amebainisha kwamba wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa kufunga ligi ambao watacheza ugenini dhidi ya Dodoma Jiji huku mpango mkubwa ikiwa ni kuweza kuweka rekodi msimu wa 2021/22. Kuelekea kwenye mchezo huo ni wachezaji wawili wanatarajiwa kuukosa mchezo huo ikiwa ni pamoja na Awesu Awesu na Mvuyekule ambao…

Read More

AZAM FC WATASAJILI NAMNA HII

KATIKA kuhakikisha wanakuwa na kikosi imara kuelekea msimu ujao wa 2022/23, uongozi wa Azam FC umejipanga kufanya maboresho makubwa kwenye kikosi chao ili wajiweke kwenye nafasi nzuri ya kutwaa ubingwa baada ya kuukosa msimu huu.  Azam FC imekuwa na mwenendo wa kupanda na kushuka kwenye Ligi Kuu Bara huku pia kikosi hicho kikitupwa nje kwenye…

Read More

KOCHA WA MANULA APATA DILI AFRIKA KUSINI

SIMBA ipo kwenye mchakato wa kusaka kocha mpya wa makipa baada ya Tyron Damons kupata dili jipya nchini Afrika Kusini. Taarifa rasmi kutoka Simba imeeleza kuwa kwa hatua ambayo wamefikia wanamshukuru kocha huyo hivyo watasaka mbadala wake kwa ajili ya kuwa kwenye kikosi hicho.  “Klabu ya Simba inamtakia kila la heri kocha wa magoli kipa…

Read More

KUMBE YANGA WALIPANIA KITAMBO KWELI

YANGA jana Jumapili waliweza kulisimamisha Jiji la Dar wakiwa wanalitembeza kombe lao la Ligi Kuu Bara walilolitwaa msimu huu wa 2021/22.  Ubingwa huo ni wa 28 kwa Yanga ambapo jana Jumamosi walikabidhiwa kombe lao baada ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mbeya City uliochezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya.  Msemaji wa Yanga, Haji Manara,…

Read More

KIUNGO WA KAZI SIMBA APEWA MKATABA

KIUNGO wa kazi ngumu ndani ya kikosi cha Simba SC, Mzamiru Yassin, amejifunga miaka miwili kuendelea kuvaa uzi mwekundu. Mzamiru ni chaguo la kwanza la Kaimu Kocha Mkuu wa Simba, Seleman Matola ambaye amempa jukumu la kuichezesha timu na kusambaza mipira mirefu kama alivyofanya kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Mbeya City. Mzamiru ambaye alijiunga…

Read More

HUYU HAPA MRITHI WA MIKOBA YA PABLO SIMBA

IMEELEZWA kuwa suala la kocha mpya ndani ya Simba limeisha, baada ya kuwa kwenye mchakato mrefu ambao mwisho wa siku ni Tarik Sektioui atapewa mikoba hiyo.  Sektioui ni raia wa Morocco, ambaye amefundisha klabu nyingi nchini humo ikiwemo RS Berkane ambayo aliinoa msimu wa 2019/2020 na kuiwezesha kutwaa Kombe la Shirikisho la CAF.  Chanzo chetu…

Read More

NYOTA KAIZER CHIEFS KAKOMBA MKWANJA MREFU JANGWANI

IMEFAHAMIKA kwamba, mshambuliaji mpya wa Yanga, Mzambia, Lazarous Kambole, ndani ya kikosi hicho alichosaini mkataba wa miaka miwili, atakuwa analipwa zaidi ya shilingi milioni 278. Kambole amejiunga na Yanga akitokea Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini akiwa ni mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake.  Mchezaji huyo ni wa kwanza kutambulishwa ndani ya Yanga kuelekea msimu…

Read More

SIMBA YANYOOSHWA KIDUDE KIMOJA NA PRISONS

WAKIWA Uwanja wa Sokoine, Mbeya leo Simba wamechezeshwa pira gwaride kwa kunyooshwa bao 1-0 dhidi ya Tanzania Prisons. Ni Benjamin Asukile ambaye alipachika bao la ushindi kwa Prisons ilikuwa dk ya 59 na kuwafanya Simba kuambulia maumivu ugenini. Tanzania Prisons wameweza kulipa kisasi cha kupoteza mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Mkapa ambapo walifungwa bao…

Read More