BIASHARA UNITED WANAHITAJI MAOMBI

UONGOZI wa Biashara United umewaomba mashabiki waweze kuiombea timu hiyo ili iweze kupata ushindi kwenye mchezo dhidi ya Azam FC ili iweze kufufua matumaini ya kubaki ndani ya ligi.  Ofisa Habari wa Biashara United,Salma Thabit amesema kuwa nafasi ambayo wapo ni mbaya na wanahitaji ushindi mbele ya Azam FC leo. Mchezo wa leo ni wa…

Read More

MRITHI MIKOBA YA JOHN BOCCO KUJULIKANA

ILE vita ya nani atasepa na kiatu cha ufungaji bora kilicho mikononi mwa John Bocco nahodha wa Simba itajulikana rasmi leo Juni 29,2022 kwenye mechi za mwisho wa msimu wa ligi. Mpaka sasa hakuna mwenye uhakika wa kusepa na kiatu hicho kati ya washambuliaji wawili ambao ni mzawa Geogrge Mpole wa Geita Gold pamoja na…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO

 JUNI 29,2022 Ligi Kuu Tanzania Bara ngwe ya mwisho inatarajiwa kuchezwa leo kwa kila timu kusaka pointi tatu muhimu. Ni Mbeya Kwanza pekee ambaye ameshajua kwamba msimu jao atacheza Championship huku timu nyingine zikiwa na kazi ya kusaka ushindi kupata kile wanachopambania. Hii hapa ratiba ya kukamilisha msimu wa 2021/22 ambapo bingwa ni Yanga amecheza…

Read More

BAYERN MUNICH WANAKUJA NA JAMBO LINGINE

MSIMU wa 2021/22 haukuwa bora kwa Bayern Munich kama wengi ambavyo walitarajia licha ya kutwaa taji la Bundesliga kwa mara ya kumi mfululizo.  Bayern Munich katika msimu wa 2021/22, walitolewa DFB Pokal dhidi ya Borussia Monchengladbach kwa mabao 5-0, huku Ligi ya Mabingwa Ulaya wakiishia robo fainali wakiondoshwa na Villarreal.  Licha ya Kocha Julian Nagelsmann…

Read More

RASMI:KOCHA MPYA SIMBA NI MSERBIA

RASMI leo Juni 28,2022 Klabu ya Simba imemtangaza,Zoran Manojlovic kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo akichukua mikoba ya Pablo Franco ambaye alichimbishwa Mei 31,2022. Kocha huyo raia wa Serbia aliwahi kufundisha ndani ya kikosi cha Al Hilal ya Sudan hivyo ana uzoefu na soka la Afrika. Ana umri wa miaka 59 hivyo anakuja Tanzania kuendeleza…

Read More

KOCHA HUYU ATAJWA KUINGIA ANGA ZA SIMBA

AMES Kwasi raia wa Ghana na nyota wa zamani wa Asante Kotoko anatajwa kuwa kwenye hesabu za mabosi wa Simba kurithi mikoba ya Pablo Franco. Kwasi yeye zama za uchezaji wake alikuwa anacheza nafasi ya ulinzi ambapo alikuwa ni beki wa kushoto. Taarifa zinaeleza kwamba Simba wapo kwenye mazungumzo na kocha huyo raia wa Ghana…

Read More

HIZI HAPA TIMU ZITAKAZOSHIRIKI KIMATAIFA BONGO

MTENDAJI Mkuu wa Bodi ya Ligi Tanzania, Almas Kasongo amesema kuwa ni timu nne ambazo zitaiwakilisha Tanzania katika anga la kimataifa.  Ni katika michuano ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho barani Afrika ambapo ni nafasi nne zipo kwa timu za Tanzania. Kasongo amesema Yanga na Simba tayari wameshapatikana kuwakilisha michuano ya Ligi ya…

Read More

NAMNA LIVERPOOL WANAMVYOMKUMBUKA MANE

STORI ya kusisimua mchana wa Agosti 14, 2016, ugenini Emirates dhidi ya Arsenal, Liverpool tunaongoza 3-1 mbele ya wenyeji. Philippe Coutinho akiwa amefunga mabao mawili, Adam Lallana moja. Ndani ya uwanja jezi namba 19 ya Liverpool imevaliwa na mchezaji mpya kikosini, Sadio Mane. Mechi ya kwanza ya msimu, mechi ya kwanza kwa Sadio ndani ya…

Read More

WINGA WA CHELSEA ZIYECH KUUZWA

MABOSI wa Chelsea, wamekubaliana kumuuza winga wa timu hiyo, Hakim Ziyech ambaye alitua kikosini hapo mwaka 2020 kwa pauni 33.3m. Winga huyo alifanya vizuri wakati akiwa Ajax ambako alidumu kwa misimu minne, akifunga mabao 49 akicheza mechi 165, huku akishinda taji la Ligi ya Uholanzi chini ya Kocha Erik ten Hag. Kocha Thomas Tuchel na…

Read More

GABRIEL JESUS KUIBUKIA ARSENAL

KAMA mambo yakienda sawa, basi wiki ijayo, Arsenal itamtabulisha Gabriel Jesus ambaye wamemnasa kwa pauni 50m akitokea Manchester City.  Arsenal kumpata straika huyo ni baada ya kuzipiku Tottenham na Chelsea ambazo nazo zilionekana kumuhitaji.  Inatajwa kwamba, tayari Arsenal imekamilisha dili hilo na vimesalia vitu vichache tu kumaliza kila kitu na wakati wowote atafanyiwa vipimo vya…

Read More