FT:DODOMA JIJI 0-2 YANGA,UWANJA WA JAMHURI,DODOMA

WAKIWA Uwanja wa Jamhuri,Dodoma leo Yanga wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 Dodoma Jiji na kufanya waweze kusepa na pointi tatu. Ni mabao ya Dickosn Ambundo dk ya 11 na bao la pili lilifungwa na kipa wa Dodoma Jiji,Mohamed Yusuph dk ya 35 katika harakati za kuokoa mpira uliopigwa na Zawad Mauya jamo lililomfanya ajifunge….

Read More

DODOMA JIJI 0-2 YANGA,LIGI

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga wamekamilisha dk 45 za mwanzo wakiwa mbele kwa mabao 2-0 dhidi ya Dodoma Jiji, kwenye mchezo wa mzunguko wa pili. Kasi ilianza ndani ya dakika 10 za mwanzo ambapo presha ilikuwa kubwa na Yanga ikapachika bao la kuongoza dk ya 11 kupitia kwa Dickosn Ambundo. Winga huyo ambaye…

Read More

MASTAA YANGA WAFUNGUKIA KUTOPENDA SARE

BAADA ya msoto wa kuambulia sare kwenye mechi tatu mfululizo,wachezaji wa kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi wameweka wazi kwamba hawajapenda kupata sare. Yanga ilianza kuambulia sare mbele ya Simba ilikuwa Aprili 30 kisha ngoma ikawa Ruvu Shooting 0-0 Yanga na kigogo cha tatu ilikuwa ni Yanga 0-0 Tanzania Prisons. Aboutwalib Mshery,kipa…

Read More

SAUTI:MAYELE ATANGAZA HALI NYINGINE,APANIA KUFUNGA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kwamba mshambuliaji wao Fiston Mayele kwa sasa hesabu zake ni kuweza kufunga mabao zaidi baada ya kukosa penalti mbele ya Tanzania Prisons. Ilikuwa Mei 9,2022 Uwanja wa Mkapa Mayele aliweza kukosa penalti hiyo kwenye mchezo wa ligi na ni penalti ya kwanza kwa Yanga kukosa. Fredrick Mwakalebela, Makamu Mwenyekiti wa…

Read More

HII HAPA RATIBA YA LIGI KUU BARA

MOTO wa Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea leo kwa timu kusaka ushindi ndani ya uwanja ikiwa ni mzunguko wa pili. Mbeya City watakuwa na kazi ya kuikabili Polisi Tanzania, Uwanja wa Sokoine. Mtibwa Sugar watakuwa na kibarua mbele ya Coastal Union, Uwanja wa Manungu. Dodoma Jiji itamenyana na Yanga, Uwanja wa Jamhuri

Read More

DODOMA JIJI KAZINI LEO KUWAKABILI VINARA WA LIGI

LIGI Kuu Tanzania Bara leo Mei 15,2022 inaendelea ambapo vinara Yanga wanatarajiwa kumenyana na Dodoma Jiji. Wakiwa na pointi 57, Yanga watamenyana na Dodoma Jiji iliyo nafasi ya 8 na pointi 28. Timu zote zimecheza mechi 23 hivyo utakuwa ni mchezo wao wa 24 ndani ya msimu wa 2021/22. Kocha Mkuu wa Yanga,Nasreddine Nabi amesema…

Read More

CHEKI NYOTA WALIOKOSA PENALTI BONGO

LIKIWEKWA tuta,asilimia 98 wengi wanahesabu ngoma lazima ijae wavuni lakini kuna mastaa wengi ambao wamekwama kufanya hivyo kwenye uwanja. Kitete cha kutetema hakikuwa kwa Fiston Mayele tu msimu huu hata Meddie Kagere wa Simba alipata kitete cha kufunga. Rekodi zinaonyesha kwamba kitete cha penalti kipo kwa mastaa wa Simba ambao wamekosa penalti nyingi,hapa tunakuletea baadhi…

Read More

TEN HAG ATUMIWA UJUMBE NA RONALDO

STAA wa kikosi cha Manchester United, Cristiano Ronaldo amesema kuwa kocha wao mpya, Eric ten Hag anahitaji muda na kuona anaacha alama ndani ya kikosi hicho. Ten Hag anatarajiwa kutua United msimu ujao baada ya kumaliza majukumu yake ndani ya Ajax ambayo imetwaa ubigwa wa Ligi Kuu ya Uholanzi msimu huu wa 2021/22. Wengi kwa…

Read More

MAPITO YA GEORGE MPOLE NA GUMZO LAKE KWA SASA

KWA sasa gumzo kubwa kwenye Ligi Kuu Bara ni mshambuliaji George Mpole anayekipiga pale Geita Gold FC akiwa mzawa mwenye mabao mengi kwenye ligi msimu huu huku nafasi ya kutwaa kiatu cha ufungaji bora kwa upande wake ipo kwa asilimia 60 hadi sasa. Mpole amehusika kwenye mabao 15 ya Geita Gold ambapo hadi sasa amefunga…

Read More