>

SIMBA: KUCHEZA NA YANGA KAMA TIMU YA DARAJA LA KWANZA

KUELEKEA katika mchezo wa Derby ya Kariakoo, Mwenyekiti wa Simba, Murtaza Mangungu, amefunguka kuwa kwa namna alivyowatazama Yanga, anaamini Simba itaibuka na ushindi wa mapema. Kesho Desemba 11,2021 Simba itakuwamwenyeji wa Yanga, kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara katika Uwanja wa Mkapa, Dar.  Mangungu alisema kwenye mchezo wa kesho timu hiyoinaingia uwanjani kucheza mchezo wa ligi bila hofu kwani hawaitambui Yanga tena kama wapinzani wao hivyo wanaenda kucheza na timu kama zile za daraja la…

Read More

YANGA:SIMBA WEPESI TU

MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga, Yusuph Athuman, amesema kuwa kama watafanikiwa kujitoa kwa moyo wote katika mchezo dhidi ya Simba, basi anaona wakipata ushindi katika mchezo huo. Yanga kesho Jumamosi wanatarajiwa kupambana na Simba kwenye mchezo wa ligi kuu katika Uwanja wa Mkapa.  Mshambuliaji huyo amesema kuwa anaiona mechi dhidi ya Simba ikiwa nyepesi kwao kama…

Read More

MUGALU NA LWANGA WAONDOLEWA KWENYE MIPANGO YA PABLO

RASMI Kocha Mkuu wa Simba, Mhispania, Franco Pablo, amemuondoa mshambuliaji Chris Mugalu na kiungomkabaji, Taddeo Lwanga katika mfumo wake kuelekea Kariakoo Dabi itakayowakutanisha Simba dhidi Yangakesho Jumamosi kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar. Nyota hao wote wapo nje ya uwanja kwa muda mrefu wakiuguza majeraha ya goti wote wawili. Mmoja wa mabosi kutoka ndani ya benchi la ufundi la timu hiyo, ameliambia Championi Ijumaa kuwa wachezaji…

Read More

SENZO:HATUNA PRESHA NA SIMBA

SENZO Mbatha, Mtendaji Mkuu wa Yanga amebainisha kwamba hawana presha na watani zao wa jadi Simba kuelekea kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Desemba 11. Kesho mchezo huo ambao unasubiriwa kwa shauku kubwa unatarajiwa kuchezwa. Mbatha amesema kuwa wanatambua kuhusu mchezo huo kwa kuwa upo kwenye ratiba hivyo watafanya maandalizi mazuri ili…

Read More

MKWANJA WAWEKWA WA KUTOSHA KWA SIMBA KISA YANGA

SIMBA inatajwa kutangaza bonasi ya Sh 1Bil kuwapa wachezaji wao kama wakifanikiwa kuwafunga watani wao, Yanga katika Kariakoo Dabi. Hiyo ikiwa ni siku chache tangu mabosi wa Yanga watangaze bonasi ya Sh 1Bil kama wakifanikiwa kuwafunga Simba katika dabi hiyo inayotarajiwa kupigwa Jumamosi hii saa 11:00 jioni kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam katika mchezo wa Ligi Kuu Bara. Taarifa zimeeleza kuwa Wadhamini wa timu…

Read More

HUYU HAPA ATAJWA KUWA MBADALA WA DIARRA YANGA

INASEMEKANA Yanga imemfuata rasmi kipa namba moja wa Mtibwa Sugar, Abuutwalib Mshery kwa ajili ya kumsajili katika dirisha dogo msimu huu kuwa mbadala sahihi wa Djigui Diarra. Wakati Yanga ikimfuata Mshery, ina mpango wa kuachana na kipa wake, Ramadhani Kabwili ambaye msimu huu amekuwa hana nafasi. Mmoja wa mabosi wa Yanga, ameliambia Spoti Xtra kuwa, Yanga imepanga kumsajili kipa mzawa mwenye uwezo na uzoefu wa ligi atakayekuwa mbadala wa Diarra anayetarajiwa…

Read More

AZAM YAFUNGUKIA USAJILI WA SURE BOY YANGA

UONGOZI wa Azam FC umetoa kauli kuhusu tetesi za Kiungo wa klabu hiyo Salum Abubakar ‘Suare Boy’ kuhusishwa na mpango wa kuwa mbioni kusajiliwa ndani ya kikosi cha Yanga. ‘Sure Boy’ anayetumikia adhabu ya kusimamishwa kwa muda usiojulikana huko Azam Complex, anatajwa kuwa kwenye mpango wa kusajiliwa na Yanga wakati wa dirisha dogo la usajili,…

Read More

NYOTA HAWA WATAPEWA MAJUKUMU YA MIPIRA ILIYOKUFA

FUKUTO kwenye vichwa vya mashabiki wa soka Bongo linahesabu saa tu kwa sasa kabla ya Desemba 11,2021 kuwadia na kushuhudia Kariakoo Dabi. Itakuwa ni Simba v Yanga, Uwanja wa Mkapa ambapo utakuwa ni mchezo wa kwanza kwenye ligi kwa msimu huu na kuna wachezaji ambao wao wanasubiri kutimiza majukumu yao ya kutumia mipira ile iliyokufa…

Read More