SANAMU la NYERERE LAVUNJA MBAVU WATU IKULU – ”MADARAKA NYERERE AMESEMA YULE ni BABA YAKE”…
Serikali ya Tanzania kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Said Shaibu Mussa, imesema ilifuata maelekezo ya Kitaalamu wakati wa uandaaji wa Sanamu ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius K. #Nyerere Balozi Shaibu amesema vigezo vilivyotumika ni kumlenga Nyerere wa Miaka 60 hadi 80 wakati…