WAKIWA ni vinara wa Ligi Kuu Bara ndani ya msimu wa 2023/24 uongozi wa Yanga umeweka wazi kuwa malengo makubwa ni kuwa kwenye mwendelezo mzuri wa kazi ndani ya uwanja huku akiwaambia mashabiki kuwa wale ambao wamechagua timu hiyo wamechagua furaha.
Soccer Football - International Friendly - Spain v Brazil - Santiago Bernabeu, Madrid, Spain - March 26, 2024 Spain's Rodri scores their third goal from the penalty spot REUTERS/Violeta Santos Moura