
KMC YAKIRI KUFANYA MAKOSA MENGI UWANJANI
BENCHI la ufundi la KMC limebainisha kuwa kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa KMC, Mwenge baada ya dakika 90 wakapoteza pointi tatu. Ilikuwa KMC 0-4 Azam FC ambao walipata ushindi wa kwanza ndani ya ligi baada ya kucheza mechi mbili mfululizo bila kupata ushindi. Mechi…