
PILATO WA MZIZIMA DABI WEKA MBALI NA WATOTO
WAKATI ikiwa ni saa chache zimesalia kabla ya ulimwengu wa mpira kushuhudia Mzizima Dabi Uwanja wa New Amaan Complex, pilato wa mchezo huo weka mbali na watoto kutokana na misimamo yake akiwa kwenye majukumu yake. Azam FC itawakaribisha Simba kwenye mchezo wa kwanza msimu wa 2024/25 ambao unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar….