RAIS SAMIA AWAPA VIWANJA WACHEZAJI WA TWIGA STARS

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan amewapatia viwanja jijini Dodoma wachezaji wa timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania Twiga Stars kwa kuibuka mabingwa wa COSAFA 2021. Rais Samia (katikati) akiwa na baadhi ya wachezaji wa Twiga Stars na viongozi mbalimbali. Rais Samia ametoa zawadi hiyo leo Oktoba…

Read More

TRY AGAIN USO KWA USO NA RAIS FIFA

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), Gianni Infantino akiwa na Mwenyekiti wa Bodi, Salim Muhene baada ya kushiriki moja ya vipindi vinavyoendelea kwenye kozi ya Diploma katika Uongozi wa Klabu inayotolewa na FIFA (Diploma in Club Management). Kozi hiyo inafanyika mjini Tangier, Morocco. Try Again ni mmoja wa wajumbe watatu kutoka Afrika…

Read More

KIUNGO NUNES APIGIWA HESABU CHELSEA

KLABU ya Chelsea inajiandaa kutuma ofa ya kuinasa saini ya kinda wa Ureno anayekipiga katika Klabu ya Sporting Lisbon ya Ureno Matheus Nunes mwenye umri wa miaka 23 anayecheza nafasi ya kiungo mshambuliaji. Inakadiriwa Chelsea wanajiandaa kutuma ofa ya paundi milioni 45 ikiwa na nyongeza ya paundi milioni 5 ambayo itatokana na vipengele vya mkataba….

Read More

Hiki hapa kikosi cha Yanga SC dhidi ya Simba SC

MABINGWA watetezi wa taji ya Ngao ya Jamii wapo Uwanja wa Mkapa kwenye msako wa ushindi ndani ya uwanja. Dakika 45 zimekamilika ubao wa Uwanja wa Mkapa ukiwa unasoma Yanga SC 0-0 Simba SC, Septemba 16 2025 huku mashabiki wakiwa wamejitokeza kwa wingi. Katika mchezo wa leo mwamuzi wa kati ni Ahmed Arajiga ambaye anasimamia…

Read More

MRC Kigamboni Yaishukuru Meridianbet

Kituo cha watu ambao wameathirika na madawa ya kulevya, MRC Muungano, Recovery Community leo hii wameishukuru meridianbet kwa kuwatembelea na kuwapelekea msaada wa chakula na vifaa vya usafi kama vile sabuni.   Baada ya kimya kingi sasa meridianbet wamekuja na kishindo kikubwa cha kurejesha kwenye jamii kama ambavyo huwa wanafanya ambapo leo hii zamu ilikuwa kwa…

Read More

YANGA HAWANA JAMBO DOGO BALAA LAO LINAENDELEA

NYOTA kutoka ASEC Mimosas ya Ivory Coast, Pacome Zouzoua ni mali ya Yanga. Nyota huyo ametambulishwa kuwa ni njano na kijani Julai 19,2023. NI miongoni mwa nyota wa Yanga wanaotarajiwa kuonyesha makeke kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Kaizer Chiefs. Itakuwa Wiki ya Mwananchi Julai 22 2023 Uwanja wa Mkapa ikiwa ni siku…

Read More

AZAM YAACHANA NA MSHAMBULIAJI IDRIS MBOMBO

Klabu ya Azam FC imetangaza kuachana na mshambuliaji Idris Mbombo (27) raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Taarifa ya Azam FC kwenye mitandao ya kijamii imesema “Thank You Idris Mbombo”. Mbombo alijiunga na Azam FC mnamo Julai 31 2021 akitokea El Gouna FC ya Misri. Tetesi zinadai Mkongomani huyo amejiunga na klabu ya Nkana…

Read More

KUMBE GEITA GOLD WALIPANGIWA KOSI LA CAF MECHI YA LIGI

BAADA ya Geita Gold kuambulia kipigo cha mabao 3-1  kutoka kwa Yanga ,Mkurugenzi wa  Geita Gold Zahar  Michuzi  amefunguka na kusema kuwa Yanga  waliwapangia kikosi cha CAF. Mchezo huo ulipigwa  wikiendi hii Jumapili  kwenye Uwanja wa Chamazi ambapo Geita Gold ilianza kufunga kisha ikakwama kushinda mchezo huo. Mwenyeketi wa Geita Gold Zahar amesema “Kitendo cha…

Read More

BADO MUDA WA KUPAMBANA KUFIKIA MALENGO

MUDA wa kukamilisha kazi kwenye Ligi Kuu Bara ambayo ilianza kwa kasi unazidi kusogea kutokana na kila timu kubakiwa na mechi chache mkononi. Kila mmoja kwa sasa anapambana kuona namna gani atafikia yale malengo ambayo alikuwa ameanza nayo kwa msimu wa 2022/23 ambao unazidi kwenda kwa kasi. Hakuna ambaye anapenda kuona kwamba matokeo anayopaa yanakuwa…

Read More

Kwa Lucky Loser, Ukianguka Bado Unashinda Zaidi

Kuna wakati unapocheza Win&Go na namba zako zote 6 hazifanikiwi kukupa ushindi. Hapo unahisi bahati haipo upande wako. Meridianbet inakuambia sahau mawazo hayo. Kwa Lucky Loser, hata unaposhindwa, bado unashinda. Tiketi yako ikishindwa kabisa, inabadilika mara moja kuwa ushindi wa mara 30 ya dau lako, ikikuonyesha kwamba hata kupoteza kuna furaha ndani yake. Lucky Loser…

Read More