VIDEO: YANGA WATOA TAMKO ZITO ISHU YA BAO LA AZIZ KI/MAKOMBE YANAFUATA
MZEE wa Utopolo shabiki wa Yanga ameweka wazi kuwa mwanzo mwisho watafanya makubwa wakati ujao kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika huku bao ambalo lilifungwa na Aziz KI kuwa ni bao halali hivyo wanauhakika kwamba watarejea kwenye ubora.