MASTA GAMONDI AJA NA HILI BAADA YA KUTOSHANA NGUVU NA MAMELODI
MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa amefurahishwa na utendaji wa kazi wa wachezaji wake kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns. Kitendo hicho ni sawa na kuwapa tano wachezaji wake huku wakipiga hesabu za kupata ushindi kwenye mchezo wa mkondo wa pili ugenini utakaoamua nani ni nani atakeyetinga…