KAKOLANYA NI SHUJAA DK 540

KIPA namba mbili wa Simba, Beno Kakolanya kwa msimu wa 2021/22 amekaa langoni kwenye mechi 9 za ligi ambapo aliweza kufungwa kwenye mechi tatu. Tupo naye kwenye mwendo wa data kuangalia kile ambacho alikifanya katika kutimiza majukumu yake namna hii:- Dk 540 za ushujaa Kwenye mechi 6,Kakolanya alikuwa shujaa kwa kuweka lango salama ambapo hakuweza…

Read More

KWA KUITUNGUA UNITED,DAKA APEWA TANO NA RAIS

HAKAINDE Hichilema, rais wa Zambia amempongeza kijana wake anayekipiga ndani ya Leicester City, Patson Daka kwa kuwatungua Manchester United kwenye ushindi wa mabao 4-2 katika mchezo wa Ligi Kuu England.   Hichilema ameweka wazi kuwa kazi ambayo imefanywa na Mzambia huyo ni nzuri na wanajivunia kuwa na kijana ambaye anatimiza majukumu yake kwa umakini jambo…

Read More

YANGA WATAJA SABABU YA KUMPA MKATABA AZIZ KI

BAADA ya kukamilisha utambulisho wa kiungo wa Yanga, Aziz KI uongozi wa Yanga umetaja sababu ya kumsajili kiungo huyo kuwa ni uwezo wake. Inaelezwa kuwa usajili wa kiungo huyo aliyekuwa anakipiga ndani ya ASEC Mimosas umewatoa Yanga milioni 700 akiwa amepewa kandarasi ya miaka miwili kuwatumikia mabingwa mara 28 wa Ligi Kuu Bara. Ofisa Habari…

Read More

UFAHAMU USIKU WA MAAJABU MERIDIANBET KASINO

Karibu tena kwenye jukwaa la kasino ya mtandaoni, ambapo Meridianbet inakupa fursa ya kufurahia mchezo wa kubashiri wenye utamaduni wa Wahindi wekundu ambao baadae walikuwa ni Wamarekani (Red Indians). Kaa mkao wa shangwe kukutana na Mlimbwende wao ambaye anaweza kukupatia bonasi za kasino za kipekee. “Goddess Of The Night” ni mchezo wa sloti wa kasino…

Read More

YANGA YAJIVUNIA JEMBE HILI LA KAZI

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa una kila sababu za kujivunia uwepo wa wachezaji wao wote wanaofanya kazi kwa ushirikiano ikiwa ni pamoja na kiungo Aziz KI. Ikumbukwe kwamba Aziz KI ni namba moja kwenye utupiaji ndani ya ligi akiwa na mabao 10 kibindoni sawa na namba ya jezi yake pendwa mgongoni akiwa uwanjani kutimiza…

Read More

BRIGHTON YAICHAPA CHELSEA 4G

UWANJA wa Falmer Brighton wamebaki na pointi tatu zote mazima kwa ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Chelsea mchezo wa Ligi Kuu England. Bao la ufunguzi lilijazwa kimiani na Leandro Trossad dakika ya 5, Ruben Loftur-cheek alijifunga dakika ya 14 na Trevoh Chabobah alijifunga dakika ya 42 na kufanya mapumziko Brighton kuwa wanaongoza. Kipindi cha…

Read More

IHEFU HAWANA JAMBO DOGO

UONGOZI wa Ihefu umeweka wazi kuwa mechi tatu zilizobaki watacheza kwa umakini kupata pointi tatu. Timu hiyo ipo nafasi ya 8 ikiwa imekusanya pointi 33 huku vinara wa ligi wakiwa ni Yanga wenye pointi 71. Zote zimebakiza mechi tatu mechi ijayo kwa Yanga ni dhidi ya Dodoma Jiji na kwa Ihefu ni dhidi ya Coastal…

Read More

DAKIKA 45, PRISONS 1-2 YANGA

DAKIKA 45 za mwanzo Uwanja wa Nelson Mandela timu zote mbili zimekwenda mapumziko huku Yanga wakiwa mbele. Ni bao la Samson Mbangula wa Tanzania Prisons lilikuwa la kwanza kuwekwa kati dakika ya 9 kisha Salum Feisal alisawazisha dakika ya 23. Dakika ya 43, kiungo Khalid Aucho alifunga bao la pili la kuipa uongozi timu hiyo…

Read More

MSELELEKO WALIOUPATA AZAM FC KUMNASA MR HAT TRICK HUU HAPA

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa mseleleko ambao waliopata kuinasa saini ya kiungo kutoka Coastal Union Abdul Hamis Suleiman,’Sopu’ umetokana na kuwa na marafiki ndani ya Azam FC ambao ni wachezaji pia. Sopu alikuwa kwenye hesabu za Coastal Union wenyewe ambao walikuwa kwenye mazungumzo ya kumuongezea mkataba,Simba na Yanga nao wanatajwa kuwa walikuwa wanahitaji…

Read More

ISHU YA CHAMA KUFUNGIWA SIMBA YAJA NA JAMBO HILI

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo dhidi ya Singida Big Stars huku akiwakosa nyota mbalimbali kutokana na sababu kadhaa. Miongoni mwa nyota hao ni pamoja na kiungo chaguo namba moja la Mgunda, Clatous Chama ambaye amefungiwa kucheza mechi tatu kutokana na kosa la kushindwa kusalimiana…

Read More

PIGA MKWANJA KUPITIA UEFA CHAMPIONS LEAGUE NA EPL LEO

Ligi ya mabingwa barani ulaya kama kawaida imekua ni michezo ya neema kwa wapenzi wa ubashiri, Kwani watu wamekua wakinyakua mikwanja ya kutosha kupitia michezo hii lakini utapigwa mchezo mmoja mkali wa ligi kuu ya Uingereza leo. Michezo ambayo inakwenda kuchezwa leo ina asilimia kubwa kukuacha milionea kwani michezo ya ligi ya mabingwa barani ulaya…

Read More

SIMBA WANAPIGIA HESABU NAFASI HII ANGA LA KIMATAIFA

FADLU Davids, mpanga ramani wa kikosi cha Simba ambaye ni Kocha Mkuu amesema kuwa baada ya kufanikisha malengo ya kutinga hatua ya robo fainali kwenye Kombe la Shirikisho Afrika, sasa hesabu ni kuona wanashinda mchezo ujao Uwanja wa Mkapa. Simba imefikisha pointi 10 kwenye kundi A baada ya kucheza mechi 5 mchezo wake uliopita ilipata…

Read More