Home Sports KAKOLANYA NI SHUJAA DK 540 Sports KAKOLANYA NI SHUJAA DK 540 July 5, 2022 FacebookTwitterPinterestWhatsApp KIPA namba mbili wa Simba, Beno Kakolanya kwa msimu wa 2021/22 amekaa langoni kwenye mechi 9 za ligi ambapo aliweza kufungwa kwenye mechi tatu. Tupo naye kwenye mwendo wa data kuangalia kile ambacho alikifanya katika kutimiza majukumu yake namna hii:- Dk 540 za ushujaa Kwenye mechi 6,Kakolanya alikuwa shujaa kwa kuweka lango salama ambapo hakuweza kutunguliwa ilikuwa:- Biashara United Dodoma Jiji Polisi Tanzania Mbeya City Mtibwa Sugar Mbeya Kwanza Dk 270 za joto ya jiwe Mechi tatu, Kakolanya aliweza kuonja joto ya jiwe namna hii na ilikuwa ni bao mojamoja:- Geita Gold Tanzania Prisons KMC Bao la kufungwa kwa penalti 0 Kadi nyekundu 0