LIVERPOOL WAPINDUA MEZA NYUMBANI

WAKIWA Anflield wamebakiza pointi tatu mazima kwa USHINDI dhidi ya Luton Town mchezo wa Premier League. Wababe hao walipindua meza kibabe wakiwa nyumbani na kukomba pointi tatu mazima. Ni Chiedozie Ogbene alianza kufunga dakika ya 12 lilidumu mpaka wanakwenda mapumziko. Dakika ya 56 beki Virgil van Dijk aliweka usawa, Cody Gakpo aliongeza bao la pili…

Read More

SIMBA, MAKUSU MAMBO SAFI

TAARIFA kutoka DR Congo zinaeleza kuwa Klabu ya Simba ipo katika hatua nzuri za kukamilisha usajili wa mshambuliaji Jean Marc Makusu Mundele. Simba kwa sasa ipo nchini Dubai ambapo inaendelea na kambi yake kwa ajili ya maandalizi ya mzunguko wa pili na mechi za kimataifa. Wakala wa mchezaji huyo, Faustino Mukandila ameweka wazi kuwa mchezaji…

Read More

SALAH ATAJA HATMA YAKE LIVERPOOL

MOHAMED Salah mshambuliaji namba moja kwa kucheka na nyavu ndani ya Ligi Kuu England akiwa ametupia mabao 16 amesema kuwa hatma yake kubaki ndani ya kikosi cha Liverpool ipo mikononi mwa bodi ya klabu hiyo. Suala la Salah kusaini mkataba mpya ndani ya Liverpool limekuwa likizungumzwa tangu mwaka jana 2021 ila mpaka sasa hakuna muafaka…

Read More

SIMBA YAWATUNGUA YANGA KWA MKAPA

SIMBA imepata ushindi mbele ya Yanga kwenye mchezo wa Kariakoo ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara. Mabao ya Simba yamefungwa na Henock Inonga dakika ya kwanza na lile la pili Kibu Dennis dakika ya 33. Yanga wanapiga pasi nyingi kuliskama lango la Simba huku wakifanya majaribio kupitia kwa Fiston Mayele. Kipindi cha pili Yanga…

Read More

KIMATAIFA:SIMBA 1-0 RS BERKANE

UWANJA wa Mkapa, mchezo wa kimataifa kati ya Simba v RS Berkane dakika 45 za awali zimemeguka. Ubao unasoma Simba 1-0,RS Berkane hivyo dakika 45 za kipindi cha pili zitaamua. Mtupiaji wa bao la kuongoza ni Pape Sakho ilikuwa dk ya 44 kwa shuti la mguu wa kulia akiwa ndani ya 18. Kutokana na kucheza…

Read More

SIMBA V AL AHLY, HISTORIA NYINGINE INAKWENDA KUANDIKWA

HISTORIA inakwenda kuandikwa kwa Simba kuwa wafunguzi wa African Football League ambapo leo Oktoba 20, 2023 mchezo wa ufunguzi unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira Simba itakuwa na kazi ya kusaka ushindi kwenye mchezo dhidi ya Al Ahly kutoka Misri ambao nao pia wanahitaji ushindi kwenye mchezo wa leo. Ahmed…

Read More

FEI TOTO: BADO NINA NAFASI YA KUFANYA VIZURI YANGA

KIUNGO wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amefunguka kuwa bado anaiona nafasi yake katika kikosi cha timu hiyo kutokana na malengo aliyojiwekea kwamba anahitaji kufanya vizuri zaidi ya sasa ikiwa ni msimu mpya wa 2021/22 umeanza kwa kasi kubwa. Fei Toto anayefundishwa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ameanza msimu huu vizuri huku akiwa kinara wa…

Read More

NABI:MARUMO SIO TIMU MBAYA TUPO TAYARI KUWAKABILI

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ameweka wazi kuwa wapinzani wao Marumo Gallants atakaokutana nao kwenye hatua ya nusu fainali sio wabaya ni timu nzuri. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa na tayari wapinzani wao Gallants wamewasili Bongo alfajiri ya leo. Nabi amesema kuwa wanatambua umuhimu wa mchezo huo wa kesho na mahitaji makubwa…

Read More

RIVERS UNITED 0-0 YANGA

UBAO wa Uwanja wa Godswill Akpabio huko Nigeria unasoma Rivers United 0-0 Yanga ikiwa ni dakika 45 za awali. Yanga inaliandama lango la wapinzani wao katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika wakimtumia Fisto Mayele na Aziz KI. Mashuti 6 Yanga wamepiga matatu yamelenga lango huku Rivers wakiwa wamepiga mashuti 7 hakuna hata moja lililolenga…

Read More