
BOSI YANGA ASIMULIA NAMNA AMBAVYO WALIMPA MKATABA SURE BOY
ZAWADI ya Krismasi kwa mashabiki wa Yanga ni saini ya kiungo wa mpira Salum Aboubhakari ambaye alikuwa anakipiga ndani ya Azam FC. Jana, Desemba 24 Sure Boy alitambulishwa Yanga kwa dili la miaka miwili ambao dau lake linatajwa kuwa milioni 80. Ikumbukwe kwamba Sure Boy alisimamishwa kwenye timu yake ya zamani ambayo ameitumikia kwa muda…