UWANJA wa Mkapa dakika 90 zimekamilika kwa timu zote kugawana pointi mojamoja kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara.
Ubao umesoma Yanga 0-0 Mbeya City na kufanya Mbeya City wachezaji wa timu hiyo kushangilia.
Yanga inafikisha pointi 36 kibindoni huku wakiwa hawajapoteza mchezo kwa msimu wa 2021/22.
Related News
Team Canada forward Jonathan David (#7) watches as his shot is saved by the Iceland goalkeeper during an international friendly match between Canada and Iceland at BMO Field in Toronto, Ontario, Canada, on March 28, 2026. (Photo by Indrawan Kumala/NurPhoto) (Photo by Indrawan Kumala / NurPhoto via AFP)