
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATANO
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano
WINGA wa kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu,Nasreddine Nabi emeanza kurejea mdogomdogo katika ubora wake. Ni Jesus Moloko ambaye alikuwa chaguo la kwanza la Nabi kabla hajapata maumivu hivi karibuni. Mchezo wake wa mwisho kuonekana uwanjani ilikuwa ni dhidi ya Mbeya City uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Ilikuwa ni Februari 23,2022 na ubao ulisoma Yanga…
KASI ya ufungaji mabao aliyonayo mshambuliaji Mkongomani wa Yanga, Fiston Mayele kwenye Ligi Kuu Bara msimu huu imemuibua Ofisa Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, Senzo Mbatha ambaye ameweka wazi kuwa wapinzani wao katika michezo ijayo wakiwemo Simba wajipange kwani Mayele ataendelea kutetema. Mayele kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC alipiga shuti lililosababisha…
MSAFARA wa viongozi wa Simba pamoja na wachezaji leo Machi 22,2022 wamewasili salama Dar wakitokea Benin walipokuwa na kazi ya kusaka ushindi mbele ya ASEC Mimosas. Simba chini ya Kocha Mkuu, Pablo Franco ilipoteza mchezo huo kwa kufungwa mabao 3-0 na kupoteza pointi tatu muhimu. Wakiwa ni wawakilishi pekee kwenye Kombe la Shirikisho wanabaki na…
THOMAS Tuchel, Kocha Mkuu wa Chelsea amesema kuwa nyota wake Reece James hapaswi kujiunga na timu ya Taifa ya England kwa kuwa bado hajawa fiti hivyo akiumia tena nani ataziba pengo lake? Beki huyo wa Chelsea hakuwa sehemu ya kikosi cha Chelsea ambacho kilishinda kwa mabao 2-0 dhidi ya Middlesbrough Jumamosi katika mchezo wa FA….
UONGOZI wa KMC umeweka wazi kuwa bado malengo yao ni kuweza kupata matokeo kwenye mechi zjazo licha ya kupoteza mbele ya Yanga. Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari wa KMC, Christina Mwagala amesema kuwa walipoteza mchezo wao uliopita kutokana na kushindwa kutumia nafasi hivyo makosa watayafanyia kazi. “Tulikuwa na mechi muhimu dhidi ya Yanga na…
KATIKA kuhakikisha wanautetea ubingwa wa Ligi Kuu Bara, Simba wametamba kurejesha makali yao ya Kombe la Shirikisho Afrika katika Ligi Kuu Bara. Kwenye ligi vinara ni Yanga wakiwa na pointi 48 baada ya kucheza mechi 18 msimu wa 2021/22. Simba ipo nafasi ya pili kwenye msimamo ikiwa na pointi 37 na imecheza mechi 17. Meneja…
WAKATI mwingine sasa kuweza kuangalia yale makosa ambayo yalifanyika mzunguko wa kwanza kabla ya kuweza kuboresha mambo zaidi mzunguko wa pili. Kwa mzunguko wa kwanza tumeshuhudia namna ambavyo kila timu ilikuwa inapambana kusaka ushindi na kupata kile ambacho kilikuwa kinapatikana baada ya dakika 90. Ilikuwa ni muda bora kwa wachezaji kusaka ushindi kwenye mechi ambazo…
HIZI hapa mechi za kirafiki zitapigwa Uwanja wa Mkapa zipo kwenye kalenda ya FIFA Tanzania v Central Africa Republic, Machi 23,2022 saa 1:00 usiku. Central Africa Republic v Sudan, Machi 26,2022 saa 10:00 jioni. Tanzania v Botswana, Machi 26,2022 saa 1:00 usiku. Tanzania v Sudan,Machi 29,saa 1:00 usiku. Kwa sasa wachezaji wa Timu ya Taifa…
TIMU ya Taifa ya Wasichana U 17,’Serengeti Girls ‘ usiku wa kuamkia leo wamewasili salama Dar wakitokea Botswana. Serengeti Girls ilikuwa na kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Botswana mchezo uliochezwa Machi 20,2022. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Obeid Itan Chilume wa Botswana ulisoma Botswana 0-4 Tanzania na kufanya Tanzania ishinde kwa…
STAA wa Klabu ya Barcelona, Pierre-Emerick Aubameyang amezidi kuwa moto ndani ya maisha yake mapya ambayo ameyeanza kuishi kwa sasa. Jumapili nyota huyo alikuwa mchezaji aliyefanya vizuri kwenye El Clasico wakati Barcelona iliposhinda mabao 4-0 dhidi ya Real Madrid wakiwa ugenini. Alifunga mabao mawili na kutoa pasi moja jambo ambalo ni kubwa kwake tangu alipojiunga…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumanne
Katika kuendeleza utamaduni wa kuishirikisha jamii inayotuzunguka, Meridianbet kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, iliandaa shughuli maalumu ya kusafisha fukwe ya Coco Beach. Coco Beach ni miongoni mwa fukwe pendwa na maarufu jijini Dar es Salaam, kwa msingi huo, ni muhimu eneo la fukwe hii kuwa safi na salama…
KIUNGO wa Yanga, Feisal Salum alikiona cha moto juzi wakati timu yake ikishinda kwa mabao 2-0 dhidi ya KMC kutokana na kuchezewa faulo za kutosha. Rekodi zinaonyesha kwamba Fei alichezewa jumla ya faulo 4 zote ilikuwa ni kipindi cha kwanza jambo lililofanya ashindwe kuwa kwenye mwendo ambao alikuwa ameuzoea. Alikuwa kwenye vita kali na nyota…
WAWAKILISHI wa kimataifa Simba, jana Machi 20 walipoteza kwa kufungwa mabao 3-0 dhidi ya ASEC Mimosas kwenye mchezo uliochezwa nchini Benin mrembo wa Simba amebainisha kuwa wamefungwa kibingwa huku akimpa pongezi kipa namba moja wa Simba Aishi Manula ambaye aliokoa penalti mbili.
ILITOKEA hali ambayo ilisababisha mchezo kati ya Ajax v Feyenoord kuchelewa kuanza kwa muda kutokana na tukio la moto kutokea upande mmoja katibu na lango la timu moja. Ajax ilipoteza katika mchezo huo uliochezwa Jumapili katika Uwanja wa Johan Cruyff Arena. Baada ya mchezo huo kuanza na kuchezwa ubao ulisoma Ajax 3-2 Feyenoord na ni…
STRAIKA wa Azam FC, Prince Dube, amesema kwa sasa anahitaji kufunga mfululizo ili kuisaidia timu yake kumaliza ligi kwenye nafasi nzuri na kuwania Tuzo ya Ufungaji Bora msimu huu. Dube aliyasema hayo baada ya kufanikiwa kufunga bao lake la kwanza msimu huu wakati Azam FC ikiibuka na ushindi wa mabao 1-2 dhidi ya Namungo kwenye…