KIKOMBE CHA UBINGWA KILIACHWA MAPEMA,MIPANGO MUHIMU
LIGI Kuu Tanzania Bara kwa sasa zimebaki mechi tatu kwa baadhi ya timu na nyingine zikiwa zimebakiwa na mechi mbili kukamilisha mzunguko wa pili. Inaonekana kwamba ilikuwa ligi ngumu na yenye ushindani mkubwa ambapo kila timu ilikuwa inapambana kufanya vizuri tangu mwanzo wa msimu. Hapa kuna picha nzuri ambayo imeweza kutengenezwa hasa kwenye upande wa…