
KLOPP ANAAMINI WAPINZANI WATASHANGILIA SARE UEFA CHAMPIONS LEAGUE
JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool amesema kuwa anajua kwamba wapinzani wake watakuwa wanasherehekea sare waliyopata katika mchezo wa UEFA Champions League. Ilikuwa ni hatua ya robo fainali ya pili na ubao wa Uwanja wa Anfield ulisoma Liverpool 3-3 Benfica na sare hiyo iliwapa nafasi ya kutinga hatua ya nusu fainali kwa jumla ya mabao…