KWA NINI TEN HAG ANAHUKUMIWA?

ILIKUWA  April 14, 2012, miaka 11 nyuma. Kwenye mechi kati ya Pescara dhidi ya Livorno. Mchezaji Piermario Morosin, alipatwa na mshtuko wa moyo na kuanguka uwanjani. Baada ya juhudi kubwa za madaktari kuokoa uhai wake, saa moja na nusu mbele, aliaga dunia. Wanasema ni jukumu la daktari kutibu, kuponya ni kazi ya maulana. Unajua kilichotokea…

Read More

SIMBA WAMESHINDA ILA CHA MOTO WAMEKIONA

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara Simba leo wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Geita Godld baada ya dakika 90 kukamilika lakini cha moto wamekiona. Mchezo wa leo haukuwa mwepesi kwa Simba wala Geita Gold kwa kuwa timu zote mbili zilikuwa zinaupiga ule mpira wa darasani huku Geita Gold wakicheza kwa kujiamini wakati…

Read More

MASTAA HAWA YANGA NI DABI YAO YA KWANZA

AGOSTI 13 Uwanja wa Mkapa unatarajiwa kuchezwa mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Yanga v Simba. Ni saa 1:00 usiku mchezo huo unatarajiwa huku kila timu ikiwea wazi kwamba inahitaji kupata ushindi. Kwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi kuna mastaa wapya ambao itakuwa ni mara yao ya kwanza kucheza mchezo wa Kariakoo…

Read More

MSANII ROSE NDAUKA ANUSURIKA AJALI YA GARI, AMSHUKURU MUNGU!

Msanii wa filamu na muziki, Rose Ndauka, amenusurika katika ajali ya gari na kumshukuru Mungu kwa ulinzi wake. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Rose alishiriki picha za gari lililopata ajali huku akiandika ujumbe mfupi uliojaa shukrani: “Ahsante sana Mungu kwa kutuonekania siku zote 🙏🙏🙏.” Ujumbe huo uliwagusa mashabiki wengi ambao walimiminika kwenye ukurasa wake kumpongeza…

Read More

SIMBA HAIJAPOTEZA MATUMAINI

UONGOZI wa Simba licha ya Machi 29 2024 mambo kuwa magumu kwao kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Simba 0-1 Al Ahlyumebainisha kuwa matumaini bado yapo kufanikisha malengo yao. Ipo wazi kwamba malengo ya Simba kwenye anga la kimataifa ni kufika hatua ya nusu fainali jambo ambalo wanalipambania kwa sasa. Katika mchezo huo…

Read More

RONALDO ANAKIWASHA TU HUKO

CRISTIANO Ronaldo nyota wa Manchester United mbele ya mashabiki 14,443 katika Uwanja wa Gewiss aliibuka kuwa mchezaji bora wa mchezo huo jambo linalomaanisha kwamba hana jambo dogo.   Kwenye sare ya kufungana mabao 2-2 dhidi ya Atalanta, Ronaldo alipachika mabao mawili dakika ya 45 na 90. Mabao ya Atalanta yalipachikwa na Josip Ilicic dakika ya…

Read More

MCHEZO WA KIRAFIKI, YANGA 0-0 MBUNI FC

MCHEZO wa kirafiki kati ya Yanga v Mbuni kwa sasa ni mapumziko Uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Mchezaji wa Mbuni Hussein Idd ameonyeshwa kadi nyekundu kipindi cha kwanza baada ya kumchezea faulo mchezaji wa Yanga David Bryson. Kiungo mshambuliaji Dickosn Ambundo alifanya jaribio la kwanza na matata kwa upande wa Yanga lakini liliokolewa na kipa…

Read More

🔴#BREAKING: KARIAKOO -GHOROFA LILILOANGUKA NA KUUA WATU TAZAMA KINACHOENDELEA MUDA HUU

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema zoezi la uokoaji kufuatia ajali ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa katika eneo la Soko la Kimataifa la Kariakoo linaendelea tangu kutokea kwa ajali hiyo na halikusitishwa kama baadhi ya taarifa zilivyoenea mitandaoni. Akizungumza akiwa Kariakoo Chalamila amesema kuna watu bado wapo chinii, hivyo waokoaji…

Read More

AZAM FC WAJIKITA NAMBA MOJA, NADO AFANYA YAKE

MATAJIRI wa Dar, Azam FC wameendelea kujikita kuwa namba moja kwenye msimamo baada ya kukomba ponti tatu mbele ya JKT Tanzania. Kwenye mchezo uliochezwa Desemba 11 2023 Uwanja wa Azam Complex unakuwa ni ushindi  wa tano mfululizo ndani ya Ligi Kuu Bara Mabao ya Azam FC yalifungwa na Sospeter Bajana dakika ya kwanza likawekwa usawa…

Read More

WANAJESHI HAWA WA AZAM KWENYE MAJUKUMU YA TAIFA

 WANAJESHI sita ndani ya kikosi cha Azam FC wameitwa kwenye timu zao za taifa. Kwa sasa Ligi Kuu Bara ipo kwenye mapumziko kupisha mashindano ya kimataifa ambapo timu zitakuwa kwenye mechi za  kufuzu Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2026. Mastaa hao walioitwa kwenye timu za taifa ni wanne wapo kambini timu ya taifa ya…

Read More