KMC KAMILI KUIKABILI KAGERA SUGAR

UOGOZI wa KMC umeweka wazi kuwa upo tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kesho Machi 9,2023 Uwanja wa Uhuru. Ni mchezo wa mzunguko wa pili kwa wababe hao kumenyana uwanjani kusaka pointi tatu muhimu. Rekodi mbaya kwa timu zote mbili zimetoka kufungashiwa virago kwenye Azam Sports…

Read More

ZAWADI YA PASAKA KUTOLEWA LEO NAMNA HII

ZAWADI ya Pasaka kwa Wanaruagwa inatarajiwa kutolewa saa 3:00 usiku Uwanja wa Majaliwa. Msako wa pointi tatu kati ya Namungo dhidi ya Mbeya City hatma yake ni zawadi kwa mashabiki wao. Wakati Namungo ikishuka kusaka pointi tatu dhidi ya Mbeya City itakuwa imeshajua ilichotokea kwa mashabiki wa timu nyingine kipi watakuwa wamepewa. Ipo wazi kwamba…

Read More

TIZI LA MWISHO LA SIMBA LILIKUWA NOMA

KIKOSI cha Simba jana Machi 6,2023 kilifanya mazoezi ya mwisho Kwa ajili ya kuikabili Vipers mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa ni hatua ya makundi. Simba ambayo ipo kundi C ikiwa na pointi tatu nafasi ya tatu Leo ina kibarua cha kusaka pointi nyingine Uwanja wa Mkapa Saa 1:00 usiku. Katika mazoezi hayo wachezaji…

Read More

VIDEO:SHABIKI SIMBA ALITAJA BENCHI LA UFUNDI,YANGA

SHABIKI wa Simba,Issa Azam amesema kuwa ushindi walioupata ni furaha kwao kwa kuwa walikuwa wanahesabu mabao tu mbele ya USGN huku wakirejesha shukrani kwa benchi la ufundi,wachezaji ambao waliweza kupata ushindi wa mabao 4-0. Ameongeza kwa kusema Watanzania wote wanastahili shukrani kwa jambo ambalo walifanya usiku wa kuamkia leo Aprili 4,2022.

Read More

MWAMBA GUEDE NA OKRA WATAKATA MBELE YA POLISI TANZANIA

NYOTA wa Yanga, Joseph Guede na Okra Magic wametaka kwenye mchezo wa Azam Sports Federation dhidi ya Polisi Tanzania kwa kupiga kazi kubwa mwanzo mwisho. Ni Februari 20 ubao wa Uwanja wa Azam Complex baada ya dakika 90 ulisoma Yanga 5-0 Polisi Tanzania ambao wanafungashiwa virago kwenye mashindano hayo . Katika mchezo huo mabao yalifungwa…

Read More

SIKU MBAYA KAZINI KWA IHEFU

SIKU mbaya kazini kwa mastaa wote wa Ihefu pamoja na benchi la ufundi baada ya mbinu zao zote kufeli mbele ya Yanga ndani ya dakika 90. Benchi la ufundi likiwa limewaanzisha washambuliaji wake Obrey Chirwa na Adam Adam ambaye ni ingizo jipya kutoka Mtibwa Sugar walishuhudia dakika 90 zikayeyuka bila shuti lililolenga lango. Kipa Diarra…

Read More

AZAM FC WATAMBA KUENDELEA NA KASI

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa utaendelea na kasi yao kwenye mechi zijazo za ushindani ndani ya msimu wa 2024/25 kutokana na ubora walionao. Ipo wazi kwamba Azam FC ni timu ya kwanza kukomba pointi tatu mazima dhidi ya Yanga ambao ni mabingwa watetezi walipokutana mzunguko wa kwanza Uwanja wa Azam Complex Novemba 2…

Read More

IHEFU KAMILI KUIKABILI AZAM FC

KOCHA wa Ihefu Temy Felix amesema kuwa wanatambua mchezo wa kesho dhidi ya Azam FC utakuwa mgumu lakini wanahitaji matokeo mazuri. Katika mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Azam Complex ubao ulisoma Azam FC 1-0 Ihefu na kuwafanya wayeyushe pointi tatu. “Mchezo muhimu kwetu na tunatambua utakuwa na upinzani mkubwa mashabiki wajitokeze kwa…

Read More

MUONEKANO WA KOMBE JIPYA LA NBC

HILI hapa kombe jipya la NBC Premier League ambalo watakabidhiwa mabingwa wa Ligi Kuu Bara Yanga. Leo Juni 7,2023 limezinduliwa kombe hilo mbele ya Waandishi wa Habari makao makuu ya benki hiyo, Posta. Yanga imetwaa taji hilo mara ya pili mfululizo ikiwa ni msimu wa 2021/22 na msimu huu pia wa 2022/23 lipo mikononi mwa…

Read More