SIMBA BADO HAWAIFIKIRII MECHI YAO DHIDI YA YANGA

UONGOZI wa Simba umesema kuwa kwa sasa bado haufikirii mchezo wao dhidi ya Yanga kwa kuwa wametoka kucheza mechi kubwa ya hatua ya robo fainali dhidi ya Orlando Pirates. Aprili 24 Uwanja wa Orlando, ubao ulisoma Orlando Pirates 1-0 Simba ikiwa ni mchezo wa hatua ya robo fainali ya pili na kufanya wawe wamefungana bao…

Read More

KIUNGO YANGA AINGIA ANGA ZA AZAM FC

IMEELEZWA kuwa kiungo wa kazi aliyewahi kucheza ndani ya Yanga, Mukoko Tonombe yupo kwenye rada za mabosi Azam FC ili kuweza kuinasa saini yake. Nyota huyo ni miongoni mwa wachezaji ambao waliweza kufanya vizuri ndani ya Yanga msimu uliopia wakati timu hiyo ilipomaliza ikiwa nafasi ya pili. Pia alikuwa kwenye kikosi ambacho kiliweza kutinga hatua…

Read More

SIMBA NDANI YA DAR,KANOUTE,INONGA,MANULA NDANI

WACHEZAJI wa Simba pamoja na viongozi usiku wa kuamkia leo Aprili 26 wameweza kurejea salama Tanzania wakitokea nchini Afrika Kusini ambapo walikuwa na mchezo wa hatua ya robo fainali. Ilikuwa ni robo fainali ya pili na ya maamuzi ambapo Simba iliweza kuambulia kichapo cha bao 1-0 ugenini. Kwa kuwa walikuwa wameshinda nao pia bao 1-0…

Read More

NAMNA REKODI DUME ILIVYOTIBULIWA UWANJA WA MKAPA

ZILE ngome za ubishi kati ya vinara wa Ligi Kuu Bara,Yanga dhidi ya wakali kutoka kusini Namungo zimevunjwavunjwa na hatimaye mbabe ameweza kupatikana kwenye mchezo wa sita. Dakika 450 za machozi na jasho zimevunjwa Yanga imeibuka na ushindi baada ya kuweza kucheza mechi tano ambazo ni dk 450 bila kuambulia ushindi na badala yake wote…

Read More

MANARA:TUNA WAHESHIMU SIMBA,ILA TUNATAKA POINTI TATU

Haji Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wamewazidi wapinzani wao Simba pointi 13 ambazo ni nyingi. Manara amesema kuwa hilo haliwafanyi waamini kwamba watashinda mchezo wao badala yake wanawaheshimu Simba. “Tumewazidi pointi 13 na tunajua kwamba tuna uwiano mzuri kwa mabao ya kufungwa na kufungwa lakini haina maana kwamba tutawadharau wapinzani wetu hapa. “Ambacho…

Read More

SIMBA KUTUA BONGO LEO WAKITOKEA AFRIKA KUSINI

BAADA ya kupoteza mbele ya Orlando Pirates wawakilishi wa Tanzania katika Kombe la Shirikisho Afrika leo Aprili 25 wanarejea. Ni jana Aprili 24 ulipigwa mpira wa kazi na dk 45 Simba walikuwa imara katika eneo la ulinzi huku lile la ushambuliaji ikiwa ni hafifu kwa kuwa walikuwa wakitengeneza mashambulizi ya kushtukiza. Dakika ya 58 alipoonyeshwa…

Read More

PRICE DUBE NI WA MWISHO KUIFUNGA YANGA

NYOTA Prince Dube mshambuliaji wa mwisho kuifunga Yanga na ikayeyusha pointi tatu mazima kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara ilikuwa Uwanja wa Mkapa,Aprili 25,2021. Leo Aprili 25, 2022 ni mwaka mmoja umemeguka tangu Dube kuitungua Yanga na msimu huu wa 2021/22 katupia bao 1. Kwenye ligi,Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Nasreddine Nabi imecheza jumla ya…

Read More

KIMATAIFA:ORLANDO 0-0 SIMBA

MCHEZO wa Kombe la Shirikisho kwa sasa hatua ya robo fainali ambapo wawakilishi wa Tanzania Simba wapo kazini ni mapumziko. Dakika 45 za mwanzo zimekamilika huku ubao ukisoma Orlando Pirates 0-0 Simba. Licha ya Simba kutokufungwa bado wapo kwenye ugumu mkubwa wa kushambuliwa kwa kasi na wapinzani wao. Chris Mugalu yupo kwenye ulinzi mkubwa na…

Read More

MABOSI HAWA WATAKA KUWA WAMILIKI WA CHELSEA

BINGWA wa Dunia mara 7 katika mashindano ya uendeshaji wa magari ya Langalanga maarufu kama Formula 1 Sir Lewis Hamilton pamoja na Bingwa namba moja katika mchezo wa tenesi kwa wanawake Serena Williams kwa pamoja wameweka kitita cha Paundi milioni 20 ili kuwa wamiliki wapya wa Klabu ya Chelsea. Wanamichezo hao maarufu wameingia ubia kwa…

Read More

SIMBA:TUTAJARIBU KUSHINDA LEO KIMATAIFA

PABLO Franco,Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa leo watajaribu kushinda mbele ya Orlando Pirates kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho. Saa 1:00 usiku, wawakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya kimataifa ambao ni Simba wana kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Orlando Pirates. Huu ni mchezo wa hatua ya robo fainali ukiwa ni wa pili baada…

Read More

BEACH SOCCER LIGI KINAWAKA TENA LEO

LIGI ya Beach Soccer inayodhaminiwa na Global Radio na Global TV Online jana April 23 imeendelea katika Viwanja vya Coco Beach kulikuwa na michezo mitatu ya kundi A na leo tena inatarajiwa kuendelea. Mchezo wa kwanza ulikamilika na Savanah Boys iliibuka na ushindi wa mabao 6-4 Ilala FC. Mchezo wa pili Kundi A ulikuwa na…

Read More