KIUNGO WA KAZI YANGA AIPIGIA HESABU SIMBA

SALUM Abubakar Salum, ‘Sure Boy’ kiungo wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga ameweka wazi kwamba anaufikiria mchezo wao dhidi ya Simba unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa Aprili 30. Sure Boy aliweza kuwaka mbele ya waajiri zake wa zamani Azam FC kwenye mchezo wa ligi walipokutana Aprili 6,2022 wakati ubao wa Azam Complex uliposoma Azam…

Read More

YANGA V NAMUNGO,KAZI IPO LEO KWA MKAPA

KUMEKUCHA sasa leo ni Yanga v Namungo, Uwanja wa Mkapa ngoma inatarajiwa kupigwa ikiwa ni Aprili 23,2022. Kazi kubwa ni kwa vinara Yanga wenye pointi 51 watakapokuwa wakimenyana na Namungo FC iliyo na pointi 29 ndani ya ligi. Ugumu wao huwa unakuwa namna hii:- Wakali wa nyavu Kwa Yanga wao wanaye mzee wa kutetema, Fiston…

Read More

SIKU YA 62 BILA KUFUNGWA KWA LUSAJO

NYOTA wa Namungo, Relliats Lusajo leo anafikisha siku ya 62 bila kufunga bao ndani ya mechi za Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2021/22. Nyota huyo mzawa alianza kwa kasi matata na aliweza kuwa namba moja kwa muda kwa watupiaji wa ligi alipofikisha mabao 10 kibindoni. Mara ya mwisho Lusajo kufunga ilikuwa ni Februari 21,2022…

Read More

JULIO:MAYELE NI POMBE,ATATUFUNGAJE SASA AKISHALEWA

IKIWA leo wanatarajiwa kukutana Uwanja wa Mkapa kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga v Namungo, Kocha Msaidizi wa Namungo, Jamhuri Kihwelo,’Julio’ amesema watapambana kufanya vizuri. Julio amebaainisha kwamba haoni sababu ya kuhofia mchezaji mmoja ama timu kiujumla kwa kuwa wamejipanga kufunga na kupata pointi tatu. Amemtaja Mayele kwamba hawezi kuwafunga leo kutokana…

Read More

BURUDANI YA SOKA INANOGA, MAN UTD vs ARSENAL, BAYERN vs BORUSSIA DORTMUND KITAWAKA WIKIENDI HII

Burudani ya soka inanoga zaidi wakati huu ambao msimu unaelekea ukingoni. Timu zinapambana kumaliza msimu kwenye nafasi za juu, nani atatusua na nani atavurunda? Mchongo wa wiki upo hivi; Ile burudani ya kuisaka Top 4 kwenye EPL ndio inapamba moto Jumamosi hii. Arsenal kuwaalika Manchester United ndani ya Emirates Stadium. Ni muendelezo wa big match…

Read More

MSHAMBULIAJI MANZOKI MIKONONI MWA MABOSI YANGA

INAELEZWA mabosi wa Yanga wanamfuatilia kwa karibu mshambuliaji hatari wa Vipers ya Uganda, Cesar Manzoki, kwa lengo la kuongeza nguvu katika eneo la ushambuliaji kwa ajili ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao. Mshambuliaji huyo mwenye asili ya DR Congo lakini kwa sasa ana uraia wa Afrika ya Kati, amekuwa gumzo katika Ligi…

Read More

SIMBA WAAMUA KUKODI ULINZI AFRIKA KUSINI

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kwamba umeamua kufanya jambo la kitofauti kwa kukodi gari la ulinzi kwenye misafara yao wanapokuwa nchini Afrika Kusini baada ya wageni wao Orlando Pirates kugoma kuwapa huduma hiyo. Jana Aprili 22, wawakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya kimataifa ambao ni Simba waliweza kuwasili nchini Afrika Kusini kwa ajili ya maandalizi…

Read More

YANGA KUMALIZANA NA KIUNGO WA BURKINA FASO

IMEELEZWA kuwa mabosi wa Yanga wapo katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji wa Asec Mimosas, Stephane Aziz Ki, raia wa Burkina Faso. Hiyo ni katika kukiboresha kikosi chao ambacho msimu ujao kitacheza Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa kitatwaa taji la Ligi Kuu Bara ama kuchukua Kombe la Shirikisho. Yanga inadaiwa hadi…

Read More

SIMBA YALIA NA MAPOKEZI YA ORLANDO PIRATES

MSAFARA wa viongozi pamoja na wachezaji wa Simba leo wamewasili salama nchini Afrika Kusini kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo wao dhidi ya Orlando Pirates ila wamebainisha kwamba mapokezi yalikuwa ni mabaya. Ikiwa inanolewa na Kocha Mkuu,Pablo Franco ina kazi ya kusaka ushindi Aprili 24 kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali ya…

Read More

NTIBANZOKIZA KUIKOSA NAMUNGO KESHO KWA MKAPA

KOCHA Msaidizi wa Yanga Cedric Kaze amethibitisha kiungo mshambuliaji wa klabu hiyo Saido Ntibazonkiza atakosekana kwenye pambano la kesho dhidi ya Namungo kutokana na majeraha. Akiongea na Waandishi wa Habari kuelekea pambano la kesho Kaze amesema Saido Nitbazonkiza hawezi kuwa sehemu ya kikosi hicho japo viungo wengine waliokuwa majeruhi kama Khalid Aucho na Feisal Salum…

Read More

KIUNGO RWANDA ATAMANI KUCHEZA NA FEI TOTO YANGA

KIUNGO mkabaji wa Kiyovu ya Rwanda, Mrundi, Ismail Nshimiyimana ‘Pitchou’, amefunguka kuwa, haitakuwa shida kwake kama ikitokea anapata nafasi ya kucheza sambamba na kiungo mshambuliaji wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei ToTo’ kutokana na uwezo mkubwa alionao licha ya kuheshimu uwepo wa Mganda, Khalid Aucho. Pitchou ametoa kauli hiyo kufuatia wiki iliyopita kufuatwa na Makamu Mwenyekiti…

Read More

KOCHA KAIZER CHIEFS AFUKUZWA KAZI

KLABU ya Kaizer Chiefs na Kocha Stuart Baxter wamefikia makubaliano ya pamoja ya kuvunja mkataba wa kocha huyo aliyerudi kuifundisha klabu hiyo kwa mara ya pili mara baada ya kuhudumu mwanzo kwenye klabu hiyo. Akiwa na Kaizer Chief amefanikiwa kushinda michezo 9 ametoka sare michezo 6 na kufungwa michezo 8 na katika kipindi hicho klabu…

Read More