
YANGA YASHUSHA MAJEMBE MAWILI KWA MPIGO
IMEFICHUKA kuwa, mabingwa wa Ligi Kuu Bara 2021/22, Yanga SC, imewashusha kimyakimya jijini Dar es Salaam mastaa wao wawili wapya ambao ni mlinzi wa kimataifa wa DR Congo, Joyce Lomalisa na mshambuliaji wa kimataifa wa Angola, Adriano Belmiro Duarte Nicolau ‘Yano’ kwa ajili ya kukamilisha usajili wao. Taarifa kutoka chanzo chetu cha kuaminika ndani ya…