
AZIZ KI, MORRISON WAIPA JEURI YANGA
SI unauona moto walionao mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu Yanga SC? Sasa unaambiwa uongozi wa timu hiyo umetamba kuwa kwa usajili ambao wanaendelea kuufanya, basi watu wanapaswa kufahamu wanachokiona kwa sasa ni robo tu ya ubora ambao kikosi chao kitakuwa nao msimu ujao. Kuelekea msimu ujao wa 2022/23, Yanga wameanza kufanya maboresho ya…