
VIDEO:MPANGO WA UJENZI WA UWANJA YANGA UMECHORWA HIVI
INJINIA Hersi Said mgombea nafasi ya Urasi ndani ya Yanga amebainisha namna mpango wa ujenzi wa uwanja ulivyo pamoja na mgombea wa nafasi ya makamu wa Rais,Arafat Haji naye akibainisha uwezo wake pamoja na muda ambao Yanga iliwahi kuvaa jezi aina 9