
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI
YANGA yamfanyia kufuru Aziz KI ndani ya Championi Jumamosi
YANGA yamfanyia kufuru Aziz KI ndani ya Championi Jumamosi
KOCHA Mkuu wa kikosi cha Geita Gold, Fred Felix Minziro, ameweka wazi kuwa ni kweli kuna uwezekano mkubwa wakampoteza straika na nahodha wa kikosi chao, George Mpole ambaye anatajwa kupokea ofa kutoka klabu za Simba na Yanga. Mpole amekuwa miongoni mwa wachezaji ambao wako kwenye nafasi kubwa ya kuondoka ndani ya kikosi cha Geita Gold…
GLOBAL TV imefanya mahojiano maalum na mchezaji, Benard Morrison, kuhusiana na masuala mbalimbali yanayomuhusu ikiwemo sababu za kuondoka Simba na klabu anayoelekea. ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa mchezo wa kesho wa hatua ya fainali dhidi ya Coastal Union utakuwa mgumu lakini wapo tayari. Yanga inakwenda kumenyana na Coastal Union ikiwa imetwaa taji la Ligi Kuu Bara na pointi zake 74. Imeweza kutwaa taji hilo ikiwa haijapoteza na kesho inakwenda kupambana kusaka taji lingine la…
MASTAA wa Simba leo Julai Mosi wamerejea Dar wakitokea Songea ambapo walikuwa na mchezo wa Ligi Kuu Bara kwa kufunga msimu wa 2021/22 na walicheza dhidi ya Mbeya Kwanza Uwanja wa Majimaji,Songea na kutoshana nguvu ya bila kufungana. Kwenye msimamo Simba ipo nafasi ya pili ikiwa na pointi 61 baada ya kucheza mechi 30 za…
AZAM FC leo Julai Mosi wameufungua mwezi kwa kumtamulisha nyota mpya kwa ajili ya kuwa ndani ya kikosi hicho kwa msimu wa 2022/23. Ni kiungo mkabaji kutoka Nigeria, Isah Ndala ambaye amesaini mkataba wa miaka miwili. Ndala alikuwa akichezea Plateau ya Nigeria, amesaini mkataba mbele ya mmiliki wa timu, Yusuf Bakhresa na Ofisa Mtendaji Mkuu, Abdulkarim…
KIKOSI cha Simba leo kimewasili salama Dar kikitokea Songea ambapo kilikuwa na mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mbeya Kwanza. Sima chini ya Kocha Msaidizi Selaman Matola ilitoshana nguvu bila kufungana na Mbeya Kwanza katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Majimaji,Songea. Matola amesema kuwa kukamilika kwa msimu huu wa 2021/22 ni mwanzo wa…
RASMI mabosi wa Singida Big Stars wameweza kumtambulisha nyota mpya katika kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao. Anaitwa Aziz Andambwile ambaye alikuwa akitajwa kuwaniwa pia na Klabu ya Namungo inayotumia Uwanja wa Ilulu. Ni kiungo mwenye uwezo wa kucheza nafasi tofauti tofauti uwanjani. Mchezaji kijana, mzawa, msomi, mpambanaji wa kweli akiwa na timu yake…
AZAM FC yaanza kushusha majembe kwa ajili ya msimu mpya ambapo watakwenda kushiriki mashindano ya kimataifa
YANNICK Bangala na Djuma Shaban mabeki wa Yanga wameweka wazi kwamba kesho watapambana mbele ya Coastal Union kwenye mchezo wa fainali Kombe la Shirikisho. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi iliibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Simba na kufanikiwa kutinga hatua ya fainali. Kesho inatarajiwa kukutana na Coastal Union kwenye mchezo wa…
KLABU ya soka ya Totenham Hotspurs imefanikiwa kukamilisha dili la kumsajili mshambuliaji wa Everton na timu ya Taifa ya Brazil Richarlison kwa ada ya paundi milioni 50. Kwa mujibu wa mwandishi wa Habari za michezo anayeshughulika na taarifa za usajili barani humo, Fabrizio Romano amethibitisha kuwa Totenham wamefanikiwa kutoa kitita hicho huku Richarlison akifanikiwa pia…
BERNARND Morrison kutambulishwa rasmi Yanga na mabosi GSM
MORRISON atibua dili la Mcongo Yanga,Minziro ahofia Mpole kutua Simba ndani ya Championi Ijumaa
GLOBAL TV imefanya mahojiano maalum na mchezaji, Benard Morrison, kuhusiana na masuala mbalimbali yanayomuhusu ikiwemo sababu za kuondoka Simba na klabu anayoelekea. “Walinipa mapumziko maana nilikataa kusaini mkataba mpya, kama ningecheza Simba miaka 5 au 10 alafu mwisho wa siku nikarudi Ghana sina hela au kumpgia mwenyekiti naomba hela kuisaidia familia yangu sio kitu kizuri”…
Uongozi wa Yanga kupitia kwa Kaimu Mtendaji Mkuu (C.E.O) wa Senzo Mbatha amekanusha taarifa inayo sambaa kuwa Mshambuliaji wa klabu hiyo, Fiston Mayele amesajiliwa na klabu ya Kaizer Chiefs kwa mkataba wa miaka mitatu na atatangazwa hivi karibuni. Amesema Kaizer Chief na Berkane zimeonyesha kumtaka nyota huyo wa kupachika mabao Yanga. “Lakini kama klabu hatumuuzi,”…
MWANDISHI Mkongwe Afrika, Nuhu Adams leo Julai 30, 2022 kupitia ukurasa wake wa twitter ameandika kuwa mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele ameuzwa kwa Klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini kwa mkataba wa miaka mitatu. “South African giants Kaizer Chiefs have completed the signing of Yanga striker Fiston Kalala Mayele (28) on a three-year contract,…
PAZIA la Ligi Kuu Tanzania Bara kwa msimu wa 2021/22 jana lilifungwa rasmi baada ya viwanja vitano kutimua vumbi kwa kila timu kusaka pointi tatu muhimu. Yanga ambao ni mabingwa wa ligi waliweza kuweka rekodi yao kwa kukamilisha msimu bila kufungwa kwenye mechi 30 ambazo wamecheza. Ushindi wa bao 1-0 waliopata mbele ya Mtibwa Sugar…