
LIGI IMEFIKA UKINGONI,HIZI HAPA ZIMESHUKA,YANGA REKODI
MSIMU wa 2021/22 umekamilika ambapo mbivu na mbichi zimejulikana. Biashara United ya Mara itacheza Champioship msimu ujao ikiungana na Mbeya Kwanza ya Mbeya. Mtibwa Sugar wao watacheza mtoano na Tanzania Prisons ili kusaka timu itakayobaki ndani ya ligi. Matokeo yapo namna hii:- Kagera 0-0 Polisi Tanzania. Mbeya Kwanza 0-0 Simba, Yanga 1-0 Mtibwa mtupiaji ni Dennis Nkane…