SUALA LA MKATABA KUVUNJWA KYOMBO LAFAFANULIWA

MENEJA wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Singida Big Stars iliyo na maskani yake mkoani Singida Hussein Massanza amesema kuwa mchezaji aliyesajiliwa na klabu hiyo kutoka Klabu ya Mbeya Kwanza iliyoshuka daraja Habibu Kyombo ameiomba klabu hiyo kuvunja mkataba kutokana na kuwa na malengo makubwa zaidi. Meneja huyo amebainisha kuwa Kyombo alitoa sababu ambazo…

Read More

HAJI MANARA AOMBA MSAMAHA KWA RAIS WA TFF

 HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amemuomba msamaha Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF) Wallace Karia kutokana na tukio lililotokea Jijini Arusha katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid wakati wa mechi ya Fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam. Mara baada ya mchezo huo kuna video iliyosambaa mitandaoni ikimuonesha Ofisa huyo wa Yanga akijibizana au…

Read More

HAWA HAPA WATATU WANAWANIA TUZO YA KIUNGO BORA

NYOTA watatu wanawania tuzo ya kiungo bora kwa msimu wa 2021/22 ambazo zinatarajiwa kufanyika Julai 7,2022 baada ya ligi kukamilika. Mabingwa wameshajulikana ambao ni Yanga waliotwaa ubingwa baada ya kufikisha pointi 74 walipocheza mechi 30. Viungo wote watatu kwa mujibu wa orodha iliyotolewa na Bodi ya Ligi Tanzania ni mali ya Yanga ambapo ni Feisal…

Read More

PAPE AWEKA REKODI,ABEBA TUZO YAKE YA FUNGA MSIMU

PAPE Sakho,mzee wa kunyunyiza staili yake ya kushangilia ameweza kuweka rekodi ya kuwa kinara wa pasi ndani ya kikosi cha Simba baada ya kumaliza na pasi za mabao 5. Kiungo huyo raia wa Senegal kwa msimu uliomeguka wa 2021/22 ni mechi 22 alicheza na kuyeyusha dk 1,355 na katupia mabao 6. Kahusika kwenye mabao 10…

Read More

USAJILI WA RUVU SHOOTING NI WA MKAKAKATI

 UONGOZI wa Ruvu Shooting umeweka wazi kuwa usajili wa msimu ujao utakuwa ni wa kimkakati kwa kuwa awali walikuwa wanasubiri ligi kuisha. Ruvu ina uhakika wa kucheza ligi msimu ujao wa 2022/23 baada ya kukamilisha ligi ikiwa na pointi 34 baada ya kucheza mechi 30. Masau Bwire,Ofisa Habari wa Ruvu Shooting amesema kuwa walisitisha mpango…

Read More

CITY YAPATA KIPA MPYA MPAKA 2028

MABINGWA wa Ligi Kuu ya Uingereza Klabu ya Manchester City imetangaza kukamilisha dili la kumsaini kiungo mkabaji wa Klabu ya Leeds United raia wa Uingereza Kalvin Phillips kwa mkataba wa miaka 6 ambao unatarajiwa kumalizika majira ya joto mwaka 2028. Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 26 amesajiliwa kwa kiasi cha paundi milioni 45 ambazo…

Read More

SOPU ALIYEKUWA ANATAJWA SIMBA AIBUKIA AZAM FC

BREAKING:RASMI kiungo mshambuliaji wa Coastal Union, Abdul Suleiman, ‘Sopu’ ni mali ya Azam FC. Nyota huyo alikuwa kwenye hesabu za mabosi wa Yanga na Simba waliokuwa kwenye hesabu za kuwania saini yake. Kwenye Kombe la Shirikisho nyota huyo kasepa na tuzo ya mchezaji bora na mfungaji bora ambapo alifunga jumla ya mabao 9 na pasi…

Read More

MSIMU UMEKWISHA,KAZI INAHITAJIKA KWA MSIMU UJAO

ULIKUWA ni msimu mzuri kwa kila mmoja na mashabiki wameona hali halisi hasa maana ile ya mpira kuchezwa kwa ushindani na uwazi ndani ya dk 90. Suala la kushuka daraja na bingwa hilo limeweza kuwa miongoni mwa taarifa ambazo zipo mikononi mwa familia ya michezo kwa wakati huu. Champioship imeshatoa timu zake mbili ambazo zitashiriki…

Read More

ILALA FC MABINGWA LIGI YA SOKA LA UFUKWENI

MABINGWA wa Ligi ya Soka la Ufukweni msimu wa 2021/22 ni Ilala FC baada ya ushindi kwa penalti 4-3 dhidi Mburahati FC kwenye mchezo uliochezwa jana, Viwanja vya Coco Beach. Mchezo huo ulifikia hatua ya penalti baada ya timu hizo kufungana mabao 4-4 kwenye msako wa bingwa mpya kwenye ligi hiyo ambayo inadhaminiwa na Global…

Read More

SABABU ZA BM KUSAINI YANGA NA KUIKACHA SIMBA

KIUNGO wa zamani wa Simba,Bernard Morrison ameweka wazi kuwa ambacho anakipenda na atakikumbuka kutoka kwa viongozi na mashabiki wa Simba ni upendo hivyo anaomba uendelee daima. Kwa sasa kiungo huyo amerejea ndani ya Yanga aliyokuwa akiichezea zamani kabla ya kuwafunga Simba kwenye mchezo wa ligi kisha akasajiliwa ndani ya Simba. Sababu kubwa ambayo imemfanya aweze…

Read More

SIRI YA MABAO 17 YA MPOLE HADHARANI

FRED Felix Minziro, Kocha Mkuu wa Geita Gold, amebainisha wazi sababu kubwa ya mshambuliaji George Mpole kufunga mabao 17 ni kutimiza majukumu aliyopewa. Mpole ni mzawa aliyeibuka kinara wa mabao Ligi Kuu Bara 2021/22 akimpoteza Fiston Mayele wa Yanga raia wa DR Congo mwenye mabao 16. Akizungumza na Spoti Xtra, Minziro alisema: “Tulikuwa tunahitaji pointi…

Read More

LUIS, SIMBA SUALA LA MUDA

KLABU ya Simba, ipo kwenye wakati mzuri wa kumrudisha kikosini hapo kiungo mshambuliaji raia wa Msumbiji, Luís Jose Miquissone kutoka Al Ahly ya Misri. Hiyo ni baada ya Luis kuwa na wakati mgumu ndani ya Al Ahly tangu alipojiunga na timu hiyo Agosti 26, 2021 akisaini mkataba wa miaka minne akitokea Simba. Baada ya Al…

Read More

YANGA YAMBAKISHA MSUVA DAR

INAELEZWA kwamba, Klabu ya Yanga, imembakisha jijini Dar winga Simon Msuva baada ya kumpa ofa ya kujiunga na timu hiyo kwa mkataba wa mwaka mmoja. Msuva ambaye aliitumikia Yanga kuanzia mwaka 2012 hadi 2017 alipoondoka kwenda Morocco kuichezea Difaâ El Jadida, kwa sasa yupo hapa nchini kutokana na kuwa na mgogoro na timu yake ya…

Read More