
VIDEO:AKIWA MISRI KOCHA WA SIMBA ABAINISHA MAZOEZI YAO
SELEMAN Matoka Kocha Msaidizi wa Sima amebainisha kuwa wanaendelea vizuri na mazoezi nchini Misri kwa sasa wakiwa wameanza kufanya mazoezi makubwa tofauti na walivyoanza mwanzo
SELEMAN Matoka Kocha Msaidizi wa Sima amebainisha kuwa wanaendelea vizuri na mazoezi nchini Misri kwa sasa wakiwa wameanza kufanya mazoezi makubwa tofauti na walivyoanza mwanzo
KLABU ya Chelsea imeripotiwa kufikiria uwezekano wa kumbakiza kwa mkopo wa mwaka mwingine zaidi mchezaji wake Romelu Lukaku hadi mwisho wa msimu wa 2023/2024. Taarifa hizo zimeibuka ikiwa ni mipango ya klabu hiyo kutaka kuachana na mshambuliaji huyo raia wa Ubelgiji lakini pia ikiwa ni njia ya kutengeneza mazingira rahisi kwa Klabu ya Inter Milan…
MAKAMU Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Benki ya CRDB, Prof. Neema Mori amefurahia tuzo ya ‘Benki Bora Tanzania’ na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela, pamoja na Meneja Mipango ya Biashara Benki ya CRDB Masele Msita. Furaha ya viongozi hao ilikuwa katika hafla ya kuwashukuru wateja na wadau wa Benki hiyo kwa mafanikio…
SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Simba amesema kuwa wachezaji wamezidi kuyafurahia mazoezi ambayo wanayafanya nchini Misri na wanapiga hatua kila wakati. Kikosi hicho kwa sasa kipo nchini Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2022/23 ambao unatarajiwa kuanza Agosti. Matola amesema:”Kila kitu kinakwenda sawa na wachezaji wanayafurahia mazoezi kwa sasa ambayo tunayafanya na tulianza…
JOSLIN Sharif Bipfubusa raia wa Burundi ametambulishwa rasmi leo Julai 26,2022 kuwa Kocha Mkuu wa Polisi Tanzania. Ni mkataba wa mwaka mmoja amepewa kocha huyo uweza kuinoa timu hiyo. Kocha huyo amewahi kuifundisha Timu ya Taifa ya Burundi na timu mbalimbali za Burundi, Rwanda na DRC. Amechezea timu mbalimbali ikiwemo timu ya Taifa ya Burundi…
MKUU wa Mkoa wa Tabora, Dk. Batilda Buriani ametoa hundi kwa vyama vya Ushirika (AMCOS) mkoani Tabora ikiwa ni sehemu ya fidia ya hasara ya mazao iliyotokana na kuwepo kwa mvua kubwa katika msimu wa 2021/2022. Fedha hizo zimetolewa kupitia huduma ya Bima ya mazao ya Benki ya NBC ambayo inatoa kinga dhidi ya athari…
MSEMAJI wa Yanga, Haji Manara amesema kuwa hahitaji kupata huruma kutoka kwenye mamlaka kutokana na kuweza kupewa adhabu ya kufungiwa miaka miwili pamoja na adhabu ya faini ya milioni 20 bali anahitaji haki. Julai 21,Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF) iliweka wazi kuwa imemfungia Manara miaka miwili pamoja na adhabu ya milioni 20…
ILIKUWA ngumu kuweza kupata ushindi kwenye mchezo wa kwanza kutokana na mbinu kuonekana kuwa ngumu pia kwa timu zote mbili. Hakika kwa mwanzo mkiwa nyumbani licha ya kwamba Somalia wao walikuwa wenyeji bado wachezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars mna deni la kulipa. Hakika mashabiki wanapeda kushangilia na kuona matokeo yanapatikana kwa…
HUSSEIN Massanza,Ofisa Habari wa Singida Big Stars ameweka wazi kuwa maandalizi kwa ajili ya msimu ujao wa 2022/23 yanakwenda vizuri. Timu hiyo ambayo imepanda Ligi Kuu Bara kutoka Championship kwa sasa imeweka kambi Mjini Arusha kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao. Imebadili jina kutoka DTB mpaka kuwa ni Singida Big Stars kutokana na sababu…
NYOTA wa Klabu ya PSG,Neymar Jr amebainisha kuwa anataka kubaki ndani ya timu hiyo japo hakuna ambaye amezungumza naye kujua hatma yake. Mkataba wake ndani ya PSG unatarajiwa kumeguka mwaka 2026 amekuwa akitajwa kwamba anaweza kuuzwa katika kikosi hicho. Staa huyo alisajiliwa na PSG kwa rekodi kubwa ilikuwa ni 2017 akitokea Barcelona anatajwa kuwa anaweza…
JEAN Morel Poé,anatajwa kuwa kwenye hesabu za mabosi wa Klabu ya Simba wakiangalia uwezekano wa kumsajili endapo tu Pape Ousmanne Sakho atauzwa kwenda Wydad Casablanca ya Morocco inayomuhitaji baada ya kumuwekea ofa ya shilingi bilioni 1.6. Sakho ambaye baada ya kushinda Tuzo ya Bao Bora la Mwaka CAF vigogo kibao wameanza kumnyemelea, Simba hawakutaka kuchelewesha,…
NABI aanza na mambo 4 Yanga,Kigogo Simba ampandia ndege Manzoki,ndani ya Spoti Xtra Jumanne
KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania Kidao Wilfred amesikitishwa na madai ya aliyekuwa Ofisa wa Klabu ya Yanga, Haji Manara kuwa alimuomba msamaha kwa maelezo kuwa Rais wa TFF, Wallace Karia alifanya makosa. Manara amesema hayo leo Julai 25,2022 kwenye mkutano na Waandishi wa Habari,taarifa iliyotolewa na TFF imeeleza kuwa inasikitishwa na…
MSEMAJI wa Yanga Haji Manara ameongea na Waandishi wa Habari kuelezea sakata lake la kufungiwa kujihusisha na masuala ya michezo ndani na nje ya nchi kwa kipindi cha miaka 2 pamoja na faini ya shilingi milioni 20. Manara amemtaka Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Mohamed Mchengerwa kwenda kusimamia haki ya kiapo chake cha Katiba…
KIWANGO cha nyota wa Arsenal, Gabriel Jesus kimezidi kuwa moto baada ya wikiend kuweza kutupia mabao mengine. Ilikuwa ni kwenye mchezo dhidi ya Chelsea ambapo Arsenal iliweza kushinda kwa mabao 4-0 juzi huko jijini Orlando,Florida,Marekani. Raia huyo wa Brazil alifunga bao lake la nne ndani ya mechi nne za pre season na kuonyesha kwamba Arsenal…
BAADA ya mabosi wa Ihefu FC kumalizana na Obrey Chirwa inaelezwa kuwa anayefuata ni beki kitasa Kelvin Yondani ambaye ni mali ya Geita Gold. Ihefu ambayo msimu ujao itashiriki Ligi Kuu Bara inajiimarisha kwa ajili ya msimu mpya ikiwa ni mpango wa kufanya kweli ndani ya ligi kuepuka kushuka daraja kama ilivyokuwa msimu wa 2019/20…
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa, mastaa 7 wa timu hiyo watajiunga na wenzao kambini mara baada ya kumaliza majukumu ya timu ya taifa Julai 30, mwaka huu. Kutokana na kuchelewa kwao, Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, itabidi awasubiri kwa takribani wiki moja ndipo aendelee kushusha madini zaidi katika kukisuka kikosi hicho. Yanga ambayo…