GUADIOLA:TUMESHINDA LAKINI WATU WANAIPENDA LIVERPOOL

PEP Guardiola, Kocha Mkuu wa Manchester City amesema kuwa amepata pointi tatu lakini anaamini kwamba watu wengi hawapendi. Manchester City iliwatungua mabao 5-0 Newcastel United kwenye mchezo wa Ligi Kuu Engand uliochezwa Uwanja wa City Of Manchester. Raheem Sterling alifunga mabao mawili ilikuwa dk 19,90+3,Aymeric Laporte alitupia dk ya 38,Rodri dk 61 na Phil Foden…

Read More

VAA TAJI NA USHINDE KITITA LEO

Kupitia mchezo wa 20 Imperial Crown unakuvalisha taji lakini haishii hapo kwani pia unaweza kujishindia kitita kikubwa kupitia mchezo huu wa kasino, Kwani mchezo huu umekua moja ya michezp pendwa ya kasino na watu wamekua wajishindia vitita vikubwa. 20 Imperial Crown Deluxe Sifa Zake 20 Imperial Crown Deluxe kasino mtandaoni wenye safu tano zilizopangwa katika…

Read More

MORRISON:TUTASHINDA MCHEZO WETU

KIUNGO wa Simba, mchetuaji Bernard Morrison amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya USGN na watapambana ili kupata matokeo chanya. Simba inakibarua cha mwisho mkononi cha kusaka tiketi ya kufuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho ikiwa na pointi zake kibindoni 7 baada ya kucheza mechi tano. Kufungwa 3-0…

Read More

AZAM FC DAKIKA 180 NI MATESO

NDANI ya dakika 180, ukuta wa Azam FC umeruhusu mabao sita katika mechi za Ligi Kuu Bara. Ilianza dhidi ya Yanga 3-2 Azam FC huku mabao yote Kwa Azam FC yalifungwa na Aziz KI. Oktoba 28 2023 ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma Azam FC 1-3 Namungo FC. Mabao ya Namungo FC yalipachikwa na…

Read More

KIKOSI BORA CHA LIGI KUU BARA 2021/22

ULE ubora wa wachezaji umeonekana kwa msimu wa 2021/22 kila aliyepewa nafasi alifanya kweli na mwisho wa siku kila mmoja kavuna kile ambacho amekipata. Wakati leo Julai 7 Bodi ya Ligi Tanzania wakitarajia kutoa tuzo kwa wachezaji waliofanya vizuri pamoja na kutangaza kikosi bora,hapa tunakuletea kikosi bora kwa msimu wa 2021/22. Mfumo utakaotumika ni ule…

Read More

FT:SIMBA 2-0 ST GEORGE,UWANJA WA MKAPA

SIMBA imeshinda mabao 2-0 dhidi ya St George kwenye mchezo wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Ni mchezo maalumu kwenye kilele cha Wiki ya Simba ikiwa ni mchezo wa kwanza kwa Zoran Maki ambaye ni raia wa Serbia. Mabao ya Simba yamefungwa na mzawa Kibu Dennis na Nelson Okwa ambaye aliingia kipindi cha pili akitokea…

Read More

KUMBE TATIZO LA AZAM FC LIPO HAPA

VIVIER Bahati, Kocha Msaidizi wa Azam FC amesema kuwa tatizo kubwa ambalo linaitesa timu hiyo kwenye mechi zake za ligi ni kukosa umakini kwenye mechi ambazo wamecheza. Azam FC ilinyooshwa mabao 2-0 dhidi ya Yanga pia ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Polisi Tanzania kwenye mechi za awali kabisa msimu wa 2021/22. Ilishinda bao…

Read More

SIMBA: TUPO TAYARI KUIKABILI BIG BULLETS

NAHODHA Msaidizi wa Simba, Mohamed Hussein amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho dhidi ya Nyassa Big Bullets unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda itaingia uwanjani ikiwa na faida ya mabao 2-0 ambayo waliyapata ugenini na ina rekodi ya kutolewa na Jwaneng Galaxy Uwanja wa Mkapa…

Read More

NAFASI YA STARS KUFUZU KOMBE LA DUNIA NI 50/50

NAFASI ya Tanzania kuhusu kufuzu Kombe la Dunia kweda Hatua ya Play off naiona ni 50/ 50 yaani lolote linaweza kutokea kwenye mpira maana hawako katika nafasi nzuri sana wala mbaya kwenye msimamo wa kundi J.  Ikumbukwe kwamba kwa sasa Tanzania ni kinara wa kundi hilo akijikusanyia pointi 7 kwenye mechi 4 ambazo amekwishacheza mpaka…

Read More

NYOTA WATANO SIMBA WATAPIGWA PANGA

SIMBA huenda ikaachana na wachezaji watano mwishoni mwa msimu huu mara baada ya mikataba yao kumalizika,kati ya hao yupo beki Muivory Coast, Pascal Serge Wawa. Hiyo ni katika kuhakikisha wanakuwa na kikosi imara kitakachofanya vizuri msimu ujao kwenye mashindano mbalimbali.  Tayari uongozi wa Simba umeanza kufanya mazungumzo na baadhi ya wachezaji wapyawatakaowasajili.Mmoja wa mabosi wa Simba, ameliambia Spoti Xtra kuwa,  wachezaji hao baadhi wataachwa kutokana na umri mkubwa walionao….

Read More

YANGA: MABAO MENGI YANAKUJA, KUNA MTU ATALIA

UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa kutokana na mwendo ambao wanakwenda nao ndani ya ligi kuna mtu atalia akiingia kwenye mfumo kutokana na ubora walionao na uwezo wa kutengeneza nafasi. Rekodi zinaonyesha kuwa kwenye mchezo wa kwanza wa Yanga uliochezwa Uwanja wa Kaitaba, Agosti 29 na mwamuzi alikuwa ni William Abel Yanga ilifanya majaribio zaidi ya…

Read More

YANGA WANABALAA HAO, KAZI YAO IPO HIVI

YANGA baada ya kucheza mechi 11 za Ligi Kuu Bara imeambulia ushindi kwenye mechi 10 ikipoteza mchezo mmoja ikiwa haijapata sare ndani ya msimu wa 2023/24. Timu hiyo ina balaa kutokana na kasi yao kuwa imara ndani ya ligi wakiwa wanatetea taji hilo ambalo walitwaa msimu wa 2022/23. Kwa sasa inanolewa na Kocha Mkuu Miguel…

Read More