BONDIA Hassan Mwakinyo amesema kuwa bondia Bongani Mahlangu ambaye alizichapa na Tony Rashid kwenye usiku wa vitasa ni moja ya mabondia wazuri.
VIDEO:MWAKINYO ATOA NENO KUHUSU BONDIA ALIYEZICHAPA NA TONY

BONDIA Hassan Mwakinyo amesema kuwa bondia Bongani Mahlangu ambaye alizichapa na Tony Rashid kwenye usiku wa vitasa ni moja ya mabondia wazuri.