HT: MATOKEO YA MECHI 8 LIGI KUU BONGO
MZUNGUKO wa pili wa Ligi Kuu Bara unaendelea ambapo leo zinachezwa mechi 8 zinarushwa live pia Azam TV. Haya hapa matokeo ya mechi hizo dakika 45 za mwanzo namna hii pamoja na sehemu inayorushwa na Azam TV:- Simba 1-0 KMC LIVE inarushwa AzamSports2HD. Azam 0-0 Kagera Sugar LIVE AzamSports3HD Singida 2-0 Geita Gold LIVE Sinema…