MWENDA ACHEKELEA KUWA NDANI YA YANGA

BEKI wa kupanda na kushuka Israel Mwenda ameanza mazoezi ikiwa ni maandalizi kwa mechi za ushindani msimu wa 2024/25 akiwa na uzi wa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Sead Ramovic. Mwenda ambaye ni beki ameibuka hapo akitokea kikosi cha Singida Black Stars alitambulishwa rasmi Desemba 11 2024 kuwa ni njano na kijani. Amekutana na baadhi…

Read More

PIGA MAOKOTO NA UEFA CHAMPIONS LEAGUE

Uefa Champions League itaendelea leo Jumatano na viwanja mbalimbali barani ulaya vitawaka moto kutoka na michezo mikali itakayopigwa, Huku wewe ukiwa na nafasi ya kunyakua kitita cha kutosha. Michezo ambayo itapigwa leo kwenye ligi ya mabingwa ulaya ni michezo mikali ambayo itakutanisha miamba ya soka barani ulaya ambayo inakwenda kucheza michezo yao ya raundi ya…

Read More

MWENDA NI KIJANI NA NJANO

ISRAEL Mwenda beki wa kupanda na kushuka sasa ni kijani na njano baada ya kutambulishwa rasmi ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Sead Ramovic. Nyota huyo alitambulishwa na Singida Black Stars msimu wa 2024/25 ambapo inatajwa kuwa dau lake ilikuwa ni milioni 15o lilimvuta akasaini mkataba ndani ya timu hiyo inayotumia Uwanja…

Read More

SIMBA: KUPOTEZA KIMATAIFA KUSITUTOE KWENYE RELI

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema kuwa kupoteza mchezo wao uliopita kimataifa dhidi ya Constantine kusiwatoe kwenye reli kwa kuwa malengo ni kupata ushindi katika mechi zijazo na hesabu kubwa ni kutinga hatua ya robo fainali Kombe la Shirikisho Afrika. Ipo wazi kwamba wakiwa ugenini Simba walipata bao la kuongoza…

Read More

YANGA YAIVUTIA KASI TP MAZEMBE

Meneja wa Yanga, Walter Harson amesema kuwa walianza maandalizi kuelekea mchezo wao dhidi ya TP Mazembe wakiwa Uarabuni, Algeria hivyo kwa sasa ni mwendelezo kuwa imara ili kupata matokeo kwenye mchezo ujao wa hatua ya makundi. Katika mechi mbili za Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga ilikwama kusepa na pointi tatu zaidi ya kugotea kuzipoteza hivyo…

Read More

YANGA HAWAKUTARAJIA, KURUDI TENA UGENINI KIMATAIFA

KOCHA Mkuu wa Yanga, Sead Ramovic amesema kuwa matokeo ambayo wameyapata ugenini kimataifa walikuwa hawajatarajia hivyo watafanyia kazi makosa kuwa bora kwa mechi zijazo kitaifa na kimataifa. Yanga haijaanza kwa mwendo mzuri kimataifa hatua ya makundi kwenye mechi mbili mfululizo ikipoteza pointi sita msimu wa 2024/25 kituo kinachofuata itakuwa ugenini dhidi ya TP Mazembe. Ikumbukwe…

Read More

SIMBA KAZINI KIMATAIFA LEO

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa katika Kombe la Shirikisho Afrika wakiwa hatua ya makundi wanatarajiwa kuwa kazini leo saa 1:00 usiku (kwa saa za Afrika Mashariki) katika mchezo wa mzunguko wa pili Kundi A Kombe la Shirikisho dhidi ya CS Constantine mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Chahid Hamlaoui nchini Algeria. Timu zote mbili…

Read More