
SAUTI:MILIONI 300 ZATUMIKA UJENZI WA UWANJA SIMBA
MILIONI 300 zinatajwa kutumika kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja wa Mo Simba Arena kwa ajili ya ujenzi wa ukuta
MILIONI 300 zinatajwa kutumika kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja wa Mo Simba Arena kwa ajili ya ujenzi wa ukuta
MECHI za Ligi Kuu Bara leo Oktoba 3,2022 ikiwa ni msimu wa 2022/23 Coastal Union ya Tanga itamenyana na Kagera Sugar saa 10:00 jioni. Ruvu Shooting v Yanga, saa 12:15 jioni Azam FC v Singida Big Stars, saa 2:15 usiku.
MSHAMBULIAJI wa Simba, Moses Phiri ametangazwa kuwa mshindi wa Tuzo ya Mchezaji Bora waMashabiki ndani ya mwezi Septemba. Ni mashabiki ambao walikuwa wanachagua kwa kupiga kura kupitia mitandao ya kijamii ambapo ni Phiri alikuwa ameingia fainali na Mzamiru Yassin pamoja na Clatous Chama kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Profile Simba Fans…
LICHA ya kupata bao la kuongoza mapema kupitia kwa mzawa Nickosn Kibabage ilikuwa ngumu kwa Mtiwa Sugar kusepa na pointi tatu za Mbeya City. Mchezo huo ulichezwa Uwanja wa Manungu Oktoba 2,2022 na bao ulisoma Mtibwa Sugar 2-2 Mbeya City. Kwa matokeo hayo Mbeya City ni wamepindua meza kibabe. Bao la mapema kwa Mtibwa Sugar…
ZAKARIA Thabit, Ofisa Habari wa Azam FC amebainisha kwamba wachezaji wana machungu aada ya kupoteza mchezo wao dhidi ya Tanzania Prisons uliochezwa Uwanja wa Sokoine, Ijumaa ya Septemba 30,2022 kwa kufungwa bao 1-0 hivyo hasira zinakwenda kwenye mchezo dhidi ya Singida Big Stars
DAKIKA 540 za maajabu ya Mgunda Simba, Yanga v Ruvu Shooting, huku rekodi, kule kisasi litakufa jitu ndani ya Championi Jumatatu
UWANJA wa Etihad kwenye mchezo wa Ligi Kuu England mastaa wawili wa Klabu ya Manchester City wamefunga hat trick ikiwa ni Erling Haaland aliyetupia dakika ya 34,44,65. Kwenye mchezo huo baada ya dakika 90 ubao ulisoma Manchester City 6-3 Manchester United ikiwa ni dabi iliyokusanya mabao 9 baada ya mchezo huo kukamilika. Staa mwingine wa…
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema ushindi ambao wameupata kwenye mchezo dhidi ya Dodoma Jiji umetokana na kazi kubwa ya wachezaji wakeo uwanjani. Baada ya dakika 90, ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 3-0 Dodoma Jiji na kuifanya timu hiyo kufikisha pointi 13 na kuongoza ligi. Bao la ufunguzi lilifungwa na Abdallah Shaibu,’Ninja’…
YANGA wanaongoza kuwa na safu matata ya ushambuliaji wakiwa wamefunga mabao 9 kwenye mechi nne za ligi huku Simba wakiwa wamefunga mabao 8. Kwa Yanga ni Fiston Mayele na kwa Simba ni Moses Phiri wanaongoza kwa kufunga mabao mengi ambayo ni matatumatatu, yale ya kufungwa kwa Yanga ni mabao matatu na Simba wamefungwa mabao mawili….
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kurejea kwa kiungo wake wa kazi Sadio Kanoute kwenye kikosi hicho kunaongeza uwanda mkubwa wa kuchagua viungo ambao anawahitaji. Kanoute raia wa Mali ambaye ni kiungo mgumu kwenye eneo la ukabaji sifa yake kuu ni kutembeza mikato ya kimyakimya alikosekana kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Tanzania…
KOCHA msaidizi wa Dodoma Jiji, Mohamed ameweka wazi kuwa watatumia mechi zilizopita za Simba kuikabili timu hiyo kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji
CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga ameweka wazi kuwa kweye mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika hawadharau wapinzani wao na badala yake wanahitaji ushindi dakika za mwanzo. Yanga chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi inakibarua cha kusaka ushindi Ligi ya Mabingwa raundi ya Pili dhidi ya Al Hilal mchezo unaotarajiwa kuchezwa Oktoba 8, Uwanja wa…
DAKIKA 180 ambazo Simba imezitumia kwenye mechi za kirafiki Zanzibar zimewapa nguvu ya kupambana dhidi ya Dodoma Jiji. Leo kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda kitatupa kete yake kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Dodoma Jiji unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Mgunda amesema kuwa mechi mbili ambazo wamecheza Zanzibar zinawapa nguvu kwa ajili…
IMESHATOKEA mwanzoni kabisa msimu wa 2022/23 wakati wawakilishi wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika Simba wakiwa kwenye maandalizi. Tukio ambalo kila kiongozi analishangaa kwa nini limetokea na kwa nini imekuwa hivyo wakati ambao hawakutarajia. Ni kweli kwa namna ilivyotokea lazima kila mmoja atapambana kuonyesha kwamba hakutarajia kuona inatokea ilihali ukweli unajulikana. Mkataba wao ambao…
KIUNGO wa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi raia wa Tunisia, Stephane Aziz KI anatarajiwa kuukosa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting. Nyota huyo hayupo kambini na wachezaji wengine ambao wanajiaandaa na mechi hizo kutokana na kuwa kwenye majukumu ya timu ya taifa ya Burkina Faso. Anatarajiwa kuripoti kambini siku ya…
Hauhitaji kuwa gwiji wa ubashiri kushinda beti! Watu wengi Duniani wamekuwa wakipenda kubashiri mechi mbalimbali na kujiweka katika nafasi ya kushinda pesa kubwa, ambazo wakati mwingine hubadilisha kabisa maisha yao. Lakini je ulishawahi kubashiri kwa kutumia kitochi au bila bando? Tunaweza kusema kwa simu ya batani, kwa kitochi, au kiswaswadu uukiwa huru bila kutumia Intaneti? …
USIKU kabisa Chelsea wakiwa ugenini wamepeleka maumivu kwa Crystal Palace kupitia kwa Conor Gallagger dakika ya 90. Bao hilo lilifanya ubao wa Uwanja wa Selhurst Park kusoma, Crystal Palace 1-2 Chelsea. Bao la mapema kwa Crystal Palace lilijazwa kimiani na Odsonne Edouard dakika ya 9 liliwekwa usawa na Pierre Emerick Aubameyang dakika ya 38. Chelsea…