
VIDEO:KAPOMBE:KIKUBWA POINTI TATU,NIMERUDI,NIMEPITIA MAGUMU
BEKI wa Simba, Shomari Kapombe amesema kuwa ligi ni ngumu na kupata pointi tatu kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ihefu ni jambo la muhimu lakini alikuwa anapitia wakati mgumu alipokuwa nje ya uwanja