HAWA HAPA YANGA KUIKOSA DODOMA JIJI

MASTAA kadhaa wa Yanga leo Novemba 22 wanatarajia kukosekana kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Liti. Miongoni mwa nyota hao ni Aziz KI ambaye ni kiungo anayetumikia adhabu ya kufungiwa mechi tatu. Diarra Djigui kipa namba moja wa timu hiyo, Gael Bigirimana kiungo wa timu hiyo hawatakuwa…

Read More

DODOMA JIJI WATAMBA KUWATIBULIA YANGA

UONGOZI wa Dodoma Jiji umetamba kuifunga Yanga kwenye mchezo wa ligi na kuvunja rekodi ya timu hiyo kutofungwa ndani ya ligi. Yanga chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi imekuwa na mwendo mzuri na mechi zake za ligi haijapoteza tangu msimu wa 2021/22 ilipofungwa bao 1-0 dhidi ya Azam FC. Ofisa Habari wa Dodoma Jiji, Moses…

Read More

SENEGAL WAANZA KWA KICHAPO

 KUTOKA Afrika Senegal ilikwama kupata ushindi kwenye mchezo wa hatua ya makundi ya Kombe la Dunia baada ya kupoteza mchezo wa kwanza. Baada ya dakika 90 kukamilika ubao wa Uwanja wa Al Thumama ulisoma Senegal 0-2 Uholanzi ambao walisepa na pointi tatu mazima. Bila Sadio Mane kwenye mchezo huo dakika 45 za awali Senegal walipambana…

Read More

BALE AWATIBULIA MAREKANI KOMBE LA DUNIA

BAO la nahodha wa timu ya taifa ya Wales, Gareth Bale dakika ya 82 kwa mkwaju wa penalti lilitibua hesabu za ushindi kwa timu ya taifa ya Marekani. Katika mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Al Rayyan ni kipindi cha kwanza Marekani ilipata bao la mapema ambalo liliwapa uongozi. Dakika ya 36 staa wao Timothy Weah…

Read More

GEITA GOLD YAIPIGIA HESABU IHEFU

BAADA ya kucheza mechi 13 Geita Gold yenye Said Ntibanzokiza ambaye ni kiungo mshambuliaji imekusanya pointi 18. Kwenye msimamo ipo nafasi ya tano na ni mechi nne imeshinda imeambulia kichapo kwenye mechi tatu na sare kibindoni ni sita. Mchezo wao ujao ni dhidi ya Ihefu ambao unatarajiwa kuchezwa Novemba 25. Geita Gold watakuwa nyumbani pale…

Read More

YANGA KAMILI KUIVAA DODOMA JIJI

KUELEKEA mchezo wa kesho wa Ligi Kuu Bara kati ya Dodoma Jiji dhidi ya Yanga, benchi la ufundi la Yanga limeweka wazi kuwa kila kitu kipo sawa. Ni Nasreddine Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa namna ambavyo wanapata ushindi na kutopoteza mchezo morali na ari ya kupambana inaongezeka kutokana na mashabiki kushangilia. “Ni kitu…

Read More

JEMBE AMPA UJUMBE HUU FEI KUHUSU CHAMA

WASEMA kweli nchi hii hawapendwi, ukweli mara nyingi unaumiza lakini ukiukubali ni dawa. Mjadala wa ubora, nani zaidi kati ya Chama na wewe unazidi kukua lakini kwangu naona umejawa ushabiki zaidi ya uhalisia. Watu wanakwita Zanzibar Finest lakini kama ni kiungo mchezeshaji wewe ni Tanzania Bara na Visiwani Finest…lakini tumtoe Chama. Mashabiki wake wanamuita Mwamba…

Read More

AZAM FC MOTO NI ULEULE

MOTO wa Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Kali Ongala hauzimi kwa kuwashusha waliokuwa namba Simba na sasa wao wapo juu. Baada ya ubao wa Uwanja wa Majaliwa kusoma Namuongo 0-1 Azam FC, pointi tatu wamesepa nazo jumlajumla. Inafikisha pointi 29 baada ya kucheza mechi 13 ndani ya ligi kwa msimu wa 2022/23 na Simba…

Read More

VALENCIA AWEKA REKODI HII KOMBE LA DUNIA

MWAMBA Enner Valencia ameandika rekodi yake ya kufunga mabao mawili kwenye mchezo wa ufunguzi wa Kombe la Dunia. Wakati ubao wa Uwanja wa Al Bayt ukisoma Qatar 0-2 Ecuador ni Valencia alipachika mabao yote mawili ilikuwa dakika ya 16 kwa mkwaju wa penalti na dakika ya 31. Bao lake la dakika ya tatu lifutwa baada…

Read More