BANGALA. AZIZ KI TAYARI KUIKABILI MBEYA CITY

CEDRICK Kaze kocha msaidizi wa Yanga ameweka wazi kuwa kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Mbeya City kuna baadhi ya wachezaji ambao watarejea kutokana na kuwa na adhabu. Kesho Yanga ambao wamecheza mechi 48 za ligi bila kufungwa wana kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Mbeya City mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Kaze amesema:”Aziz…

Read More

BECKHAM ATAJWA KUINUNUA MAN UNITED

 NYOTA wa zamani wa Manchester United, David Bekham anatajwa kuwa kwenye mpango wa kuinunua klabu. Staa huyo anatajwa kuwa kwenye mchakato wa kuwa kwenye muunganiko na wawekezaji wengine ili kuongeza nguvu na nafasi ya kushinda dili hilo baada ya familia ya Glazers kutangaza kuiweka sokoni. The Glazers waliinunua Man United kwa pauni milioni 790 ilikuwa…

Read More

NEYMAR AANZA NA MAJANGA

WAKATI timu ya taifa ya Brazil ikiibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Serbia staa wao Neymar alipata maumivu ya enka. Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwenye benchi la ufundi la Brazil zimeeleza kuwa hali ya maumivu ambayo amepata itatolewa taarifa kamili baada ya ripoti ya madaktari kutolewa. Staa huyo baada ya kutolewa alionekana…

Read More

KIUNGO WA KAZI YANGA KUIWAHI MBEYA CITY

KIUNGO wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga, Aziz KI anatarajiwa kuwa miongoni mwa wachezaji watakaoivaa Mbeya City kwenye mchezo ujao wa ligi. Aziz KI alikosekana kwenye mechi tatu baada ya kufungiwa na Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania, (TPLB) kwa kosa la kukwepa kusalimiana na wachezaji wa timu…

Read More

WINGA LA KAZI AFUNGUKA KUTUA YANGA

WINGA wa pembeni wa kimataifa wa Uganda, Allan Okello ameweka wazi kuwa tayari kujiunga na Yanga endapo viongozi wa timu hiyo watakuwa tayari kuhitaji saini yake na kufanya mazungumzo kwa ajili ya kukamilisha dili hilo.   Okello mwenye umri wa miaka 22 ni moja kati ya wachezaji bora chipukizi kutoka nchini Uganda mwenye uwezo mkubwa…

Read More

MGUNDA:MBEYA CITY NI WAGUMU

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa aliweka wazi tangu awali kuwa mchezo wao dhidi ya Mbeya City utakuwa mgumu na matokeo ambayo wamepata yametokana na ushindani huo. Licha ya kupata bao la kuongoza dakika ya 14 Simba iliokota bao dakika ya 78 kupitia kwa Tariq Seif ambaye alifanya mpango wa timu hiyo kusepa…

Read More

AZAM FC KUKIPIGA NA COASTAL, KIINGILIO JEZI

NOVEMBA 27,2022 Azam FC itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Coastal Union. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex saa 1:00 usiku. Katika mchezo huo kiingilio ni uzi wa Azam FC kwa yule ambaye hana jezi hiyo akifika uwanjani watafanya mazungumzo kujua shughuli inakwendaje. Azam FC imekuwa kwenye mwendo mzuri msimu huu…

Read More

MBEYA CITY 0-1 SIMBA

KITASA wa kazi ngumu ndani ya kikosi cha Simba , Mzamiru Yassin amepachika bao la kuongoza ugenini. Dakika ya 14 usomaji wa ubao wa Uwanja wa Sokoine ulibadilika na kusoma Mbeya City 0-1 Simba. Bao la Mzamiru limepachikwa dakika ya 14 kwa pasi ya mshambuliaji John Bocco. Dakika 45 zimekuwa na ushindani mkubwa kwa kila…

Read More

YANGA WAREJEA DAR KAMILI KUIVAA MBEYA CITY

BAADA ya kumalizana na Dodoma Jiji kwa ushindi wa mabao 2-0 kikosi cha Yanga leo Novemba 23 kimerejea Dar kwa maandalizi ya mwisho dhidi ya Mbeya City. Ni Novemba 26 mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Mabao yote ya Yanga yalifungwa na mshambuliaji wao namba moja Fiston Mayele. Kipindi cha kwanza alifunga bao moja…

Read More