


BANGALA. AZIZ KI TAYARI KUIKABILI MBEYA CITY
CEDRICK Kaze kocha msaidizi wa Yanga ameweka wazi kuwa kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Mbeya City kuna baadhi ya wachezaji ambao watarejea kutokana na kuwa na adhabu. Kesho Yanga ambao wamecheza mechi 48 za ligi bila kufungwa wana kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Mbeya City mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Kaze amesema:”Aziz…

BECKHAM ATAJWA KUINUNUA MAN UNITED
NYOTA wa zamani wa Manchester United, David Bekham anatajwa kuwa kwenye mpango wa kuinunua klabu. Staa huyo anatajwa kuwa kwenye mchakato wa kuwa kwenye muunganiko na wawekezaji wengine ili kuongeza nguvu na nafasi ya kushinda dili hilo baada ya familia ya Glazers kutangaza kuiweka sokoni. The Glazers waliinunua Man United kwa pauni milioni 790 ilikuwa…

PINGA UKATILI WA KIJINSIA KWA WANAWAKE NA MERIDIANBET!
Hauko peke yako – Meridianbet ina ujumbe mzito kwa wanawake wahanga wa matukio ya ukatili wa kijinsia. Popote ulipo, mtaani, maeneo ya kazi, maeneo binafsi… Wanawake wanne kati ya watano hupitia ukatili mitaani. Mmoja kati ya wanawake watatu huathiriwa na ukatili wa kijinsia na kimwili. Mmoja kati ya wanawake watano amepitia unyanyasaji mtandaoni, lakini pia…

NEYMAR AANZA NA MAJANGA
WAKATI timu ya taifa ya Brazil ikiibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Serbia staa wao Neymar alipata maumivu ya enka. Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwenye benchi la ufundi la Brazil zimeeleza kuwa hali ya maumivu ambayo amepata itatolewa taarifa kamili baada ya ripoti ya madaktari kutolewa. Staa huyo baada ya kutolewa alionekana…

KIUNGO WA KAZI YANGA KUIWAHI MBEYA CITY
KIUNGO wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga, Aziz KI anatarajiwa kuwa miongoni mwa wachezaji watakaoivaa Mbeya City kwenye mchezo ujao wa ligi. Aziz KI alikosekana kwenye mechi tatu baada ya kufungiwa na Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania, (TPLB) kwa kosa la kukwepa kusalimiana na wachezaji wa timu…

VIDEO:MZEE MUCHACHU ALIA NA MATOKEO MABAYA SIMBA
MZEE Muchachu alia na matkeo mabaya Simba ndani ya Ligi Kuu Bara

WINGA LA KAZI AFUNGUKA KUTUA YANGA
WINGA wa pembeni wa kimataifa wa Uganda, Allan Okello ameweka wazi kuwa tayari kujiunga na Yanga endapo viongozi wa timu hiyo watakuwa tayari kuhitaji saini yake na kufanya mazungumzo kwa ajili ya kukamilisha dili hilo. Okello mwenye umri wa miaka 22 ni moja kati ya wachezaji bora chipukizi kutoka nchini Uganda mwenye uwezo mkubwa…

VIDEO:YANGA YABAINISHA ITAKAVYOSEPA NA UBINGWA
YANGA yabainisha mbinu itakayowapa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23

MGUNDA:MBEYA CITY NI WAGUMU
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa aliweka wazi tangu awali kuwa mchezo wao dhidi ya Mbeya City utakuwa mgumu na matokeo ambayo wamepata yametokana na ushindani huo. Licha ya kupata bao la kuongoza dakika ya 14 Simba iliokota bao dakika ya 78 kupitia kwa Tariq Seif ambaye alifanya mpango wa timu hiyo kusepa…

YANGA RAHA NYIE, MGUNDA ASHUSHA PRESHA YA UBINGWA
YANGA raha nyie, Mgunda ashusha presha ya ubingwa ndani ya Spoti Xtra Alhamisi

KOMBE LA DUNIA QATAR LEO PATA MACHAGUO SPESHO YENYE ODDS KUBWA MERIDIANBET
Michuano ya Kombe la dunia inaendelea kule Qatar ambapo leo Alhamis kutakuwa na mechi 4 za kumalizia mzunguko wa kwanza wa makundi ni kundi G na H, Uswizi vs Cameroon, Uruguay vs Jamhuri ya Korea, Ureno vs Ghana na Brazil vs Serbia. Kesho Ijumaa ni mechi za mzunguko wa pili Wales vs Iran, Qatar vs…

SIMBA WACHEZESHWA PIRA KUBWA NA KUGAWANA POINTI MBEYA
LICHA ya kiungo Mzamiru Yassin kufunga bao la kuongoza mbele ya Mbeya City ngoma ilikuwa nzito kwa timu hiyo kuvuna pointi tatu. Bao la utangulizi lilifungwa dakika ya 14 na kuwafanya Simba kwenda mapumziko wakiwa wanaongoza kwa bao 1-0. Ngoma ilipinduka kipindi cha pili ambapo kasi ya Mbeya City ilikuwa kubwa mwanzo mwisho kuikabili Simba….

AZAM FC KUKIPIGA NA COASTAL, KIINGILIO JEZI
NOVEMBA 27,2022 Azam FC itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Coastal Union. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex saa 1:00 usiku. Katika mchezo huo kiingilio ni uzi wa Azam FC kwa yule ambaye hana jezi hiyo akifika uwanjani watafanya mazungumzo kujua shughuli inakwendaje. Azam FC imekuwa kwenye mwendo mzuri msimu huu…

MBEYA CITY 0-1 SIMBA
KITASA wa kazi ngumu ndani ya kikosi cha Simba , Mzamiru Yassin amepachika bao la kuongoza ugenini. Dakika ya 14 usomaji wa ubao wa Uwanja wa Sokoine ulibadilika na kusoma Mbeya City 0-1 Simba. Bao la Mzamiru limepachikwa dakika ya 14 kwa pasi ya mshambuliaji John Bocco. Dakika 45 zimekuwa na ushindani mkubwa kwa kila…

YANGA WAREJEA DAR KAMILI KUIVAA MBEYA CITY
BAADA ya kumalizana na Dodoma Jiji kwa ushindi wa mabao 2-0 kikosi cha Yanga leo Novemba 23 kimerejea Dar kwa maandalizi ya mwisho dhidi ya Mbeya City. Ni Novemba 26 mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Mabao yote ya Yanga yalifungwa na mshambuliaji wao namba moja Fiston Mayele. Kipindi cha kwanza alifunga bao moja…

HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA MBEYA CITY
Hawa hapa nyota wa Simba watakaoanza kikosi cha kwanza dhidi ya Mbeya City :- Aishi Manula Shomari Kapombe Zimbwe Joash Onyango Henock Inonga Jonas Mkude Clatous Chama Mzamiru Yassin John Bocco Phiri Moses Augustino Okra