
KIKOSI CHA DODOMA JIJI DHIDI YA SIMBA
KWENYE kikosi cha Dodoma Jiji ambacho kinatarajiwa kumenyana na Simba mchezo wa Ligi Kuu Bara nyota Hassan Kessy ameanza benchi. Hiki hapa kikosi cha kwanza:- Danny Mgore Fadhil Ngalema Augustino Justine Nkosi Mwana Muhsin Opare Mwaterema Martin Akiba Kalambo Kibacha Adeyum Kessy Mgalula Kyata Raizin Zidane Karihe