INJINIA HERSI AANIKA USAJILI WOTE YANGA,NDANI YA SPOTI XTRA ALHAMISI
INJINIA aanika usajili wote Yanga ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
INJINIA aanika usajili wote Yanga ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amekosoa mfumo wa kocha mpya wa Simba, Pablo Franco kuwa ni wa tofauti na ule uliokuwa ukitumika na kocha aliyepita Didier Gomes. Nabi amesema kuwa kuna tofauti kubwa ya uchezaji ambao upo ndani ya Simba kwa wakati huu baada ya kupata kocha mpya ambaye ni Franco. “Kuna mabadiliko kwenye…
AMEWEKWA mtu kati mwamba wa Lusaka Clatous Chama akitajwa kuwa kwenye rada ya timu mbalimbali ambazo zinahitaji saini yake
INAELEZWA kuwa mabosi wa Simba wapo kwenye hesabu za kukamilisha usajili wa nyota Ladack Chasambi ambaye yupo ndani ya Mtibwa Sugar. Nyota amekuwa kwenye rada za Simba na Yanga ambapo kila mmoja amekuwa akimvutia kasi kunasa saini yake. Hata hivyo Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba aliweka wazi kuwa usajili wao…
KATIKA mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia wakiwa kundi A, Ureno walipoteza kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Serbia wakiwa na Cristiano Ronaldo ambaye alikuwa anapewa nafasi ya kufanya maajabu. Mabao ya Dusan Tadic dakika ya 33 na Aleksandar Mitrovic dakika ya 60 kwa Serbia yalitosha kutibua mipango ya Ureno iliyoanza mapema kabisa kupitia…
EVERTON yaivuta shati Arsenal ndani ya Ligi Kuu England baada ya kuwatungua kwenye mchezo wao walipokutana. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Goodison Park ulisoma Everton 1-0 Arsenal ambao ni vinara wa ligi. Bao pekee la ushindi kwenye mchezo huo lilipachikwa kimiani na James Tarkowski dakika ya 60. Huo ulikuwa ni ushindi wa…
MCHAMBUZI wa soka nchini Saleh Ally Jembe ametoa ufafanuzi kuhusu taarifa zinazoenea mitandaoni kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa SportPesa Abas Tarimba amehusika katika kukwamisha dili la Kampuni hiyo yakubashiri na Simba SC. Jembe amesema habari hizo si za kweli licha ya kwamba Tarimba ni mwana Yanga lakini Simba waliachana na dili la SportPesa…
UONGOZI wa Klabu ya Simba, umekiri kuwa umechoka kufungwa na Yanga, na safari hii watapambana kuhakikisha kuwa wanaibuka na ushindi katika mchezo wa ligi kuu leo Jumapili kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar. Simba wameshindwa kupata matokeo katika michezo minne iliyopita ambayo walikutana na Yanga, wakiambulia sare mbili na vipigo viwili, mmoja wakipoteza katika nusu fainali…
MZEE wa kutetema Fiston Mayele hatakuwa ndani ya kikosi cha Yanga msimu mpya wa 2023/24 baada ya kupata changamoto mpya ndani ya kikosi cha Pyramids ya Misri. Hapa tunakuletea baadhi ya aliyofanya akiwa na uzi wa Yanga namna hii akikutana na Thank You:- Tuzo zake Ana tuzo ya ufungaji bora ndani ya ligi msimu wa…
TIMU ya Chelsea leo imeonja joto ya jiwe kwa kuchapwa mabao 3-2 dhidi ya West Ham United. Licha ya Thiago Silva kuanza kupachika bao dakika ya 28 halikuweza kuwatoa kwenye reli West Ham kwa kuwa waliweka usawa dakika ya 40 kupitia kwa Manuel Lanzini ambaye alifunga kwa mkwaju wa penalti. Chelsea ilitumia dakika nne kuandika…
MARA baada ya Yanga kutangaza kuachana rasmi na Said Ntibazonkiza ‘Saido’, mashabiki na wadau wengi wa soka walishitushwa na taarifa hiyo wengine hawakuamini kabisa kilichotokea. Hii inatokana na jinsi gani Saido alikuwa na mchongo mkubwa ndani ya timu hii ndio iliwafanya watu wawe wagumu kuamini. Mashabiki wa Yanga na wengine ambao sio wa timu hiyo…
MENEJA wa Liverpool, Jurgen Klopp ameweka wazi kuwa licha ya timu hiyo kukwama kumaliza ndani ya nne bora bado wachezaji walikuwa na ushirikiano mkubwa. Amebainisha kuwa licha ya kukatishwa tamaa kwa kukosa kufuzu kwa soka ya Ligi ya Mabingwa, Klopp amesifu umoja wa wachezaji na wafuasi baada ya kuwa kwenye msimu mgumu. Mshambuliaji Mohamed Salah…
FISTON Mayele mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa sababu kubwa ya kuweza kufunga mabao 10 ndani ya ligi ni kutimiza majukumu yake pamoja na kufanya kile anachokifanya mazoezini. Msimu wa 2021/22 Mayele amecheza mechi 18 na kufunga mabao 10 kati ya 31 ambayo yamefungwa na timu hiyo na ametoa pasi 3 za mabao. Mayele amesema kuwa…
MATAJIRI wa Dar Azam FC ni namba moja katika msimamo wa Ligi Kuu Bara wakiwa na pointi 25 baada ya kucheza mechi 13 wanafuatiwa na Yanga nafasi ya pili pointi 24 baada ya kucheza mechi 9. Desemba 7 ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma Azam FC 5-0 KMC. Ni Prince Dube dakika ya 23…
KIUNGO Rivers United akubali kutua Yanga, Simba wabadili gia ndani ya Spoti Xtra Jumanne
HAMIS Kiiza (Diego) ndiye aliyebaki kwenye kumbukumbu mbaya kwenye vitabu vya Simba baada ya kuwafungia Kagera Sugar bao 1-0 na Simba kukosa alama tatu kwenye mechi tatu mfululizo. Kiiza aliingia dakika ya 58 kuchukua nafasi ya Ally Ramadhan na ilimchukua dakika 12 pekee kuweza kuweka utofauti wa matokeo kwenye mchezo huo. Kwa bao lake hilo…
TOTTENHAM imesepa na pointi tatu muhimu katika mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Chelsea. Mabao ya Oliver Skipp dakika ya 46 na Harry Kane dakika ya 82 yameipa ushindi Spurs. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Tottenham Hotspur umesoma Tottenham 2-0 Chelsea. Chelsea inabaki na pointi 31 ikiwa nafasi ya 10 huku…