MWAKA MPYA UMEANZA NA KIMBUNGA CHA ZAWADI KEM KEM JANUARI HII!

Mwaka mpya umeanza na Kimbunga cha zawadi kem kem Januari hii! Meridianbet Kasino itawafurahisha washindi 3 wenye bahati kwa kuwapatia zawadi mbalimbali, ni kwa kucheza michezo yeoyote ya kasino ya mtandaoni kutoka Meridianbetkama vile Aviator, Titan Roulette, Titan Dice, Poker, God of Coins, Expanse Casino, Egyptian Buddha na mingine mingi. Mshindi wa Meridianbet Kasino Kujishindia…

Read More

RONALDO KUTUA NAPOLI

 NYOTA Cristiano Ronaldo anaweza kutua ndani ya Klabu ya Napoli kabla ya usajili kufungwa kesho Septemba Mosi. Wakala maarufu duniani, Jorge Mendes anapambana kuhakikisha staa huyo anayetaka kuondoka Manchester United anapata changamoto mpya. Taarifa zimeeleza kuwa dili lake la kujiunga na Napoli litahusisha kubadilisha baadhi ya wachezaji. Cr 7 mwenye Ballon d’Or tano aliwaambia viongozi…

Read More

FUNGAFUNGA BADO MBILI SIMBA

SIMBA inafikisha pointi 60 baada ya kucheza mechi 27 nafasi ya tatu ikiwa sawa pointi na Azam FC iliyo nafasi ya pili tofauti kwenye mabao ya kufunga na kufungwa. Michael Fred ambaye Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba Ahmed Ally anapenda kumuita fungafunga amebakisha mabao mawili kufikia rekodi ya mwamba Jean Baleke na…

Read More

MANCHESTER UNITED NDANI YA TANO BORA

RALF Rangnick, Kocha Mkuu wa Manchester United ameshuhudia kikosi chake kikisepa na pointi tatu mazima mbele ya Norwich City. Ni mchezo wa Ligi Kuu England uliochezwa Uwanja wa Old Trafford huku Cristiano Ronaldo akipachika mabao yote matatu na kusepa na mpira wake. Ilikuwa dk ya 7,32 na 76 hayo yalitosha kuwapa furaha United ambayo bado…

Read More

GUARDIOLA AWANYOOSHA ARSENAL

KOCHA Mkuu wa Manchester City amekiongoza kikosi hicho kusepa na ushindi mbele ya Arsenal.  Kwenye mchezo wa Ligi Kuu England licha ya kwamba walikuwa ugenini waliwashushia kichapo wenyeji wao na kusepa na pointi tatu mazima Februari 15,2023 na kuongoza ligi. Baada ya zile dakika 90 za jasho ubao wa Uwanja wa Emirates pale kwa washika…

Read More

WATATU WATAMBULISHWA NDANI YA SIMBA

KATIKA maboresho ya benchi la ufundi kikosi cha Simba kimeongeza watu watatu Kwa ajili ya msimu wa 2023/24. Ni Corneille Hategekimana huyu ni kocha mpya wa viungo ndani ya Simba yeye ni raia wa Rwanda na amewahi kufanya kazi ndani ya Vipers. Pia Daniel Cadena ambaye alikuwa ndani ya Azam FC huyu atakuwa ndani ya…

Read More

MORRISON ‘OUT’ SIMBA

KIUNGO mshambuliaji wa Klabu ya Simba raia wa Ghana, Bernard Morrison sasa ni rasmi kuwa hawezi kwenda nchini Afrika Kusini kutokana na kufungiwa kuingia ndani ya nchi hiyo. Mkurugenzi Mtendaji wa klabu hiyo Barbara Gonzalez amethibitisha hilo rasmi kuwa jitihada zilizofanyika za kumuombea kibali cha kuingia nchini Afrka Kusini zimegonga mwamba. Barbara amesema:“Tuliwasiliana na watu…

Read More

MAN UTD YACHAPIKA TENA UEFA, RASHFORD APEWA KADI NYEKUNDU

Manchester United iliyokuwa pungufu ya mchezaji mmoja baada ya Marcus Rashford kuoneshwa kadi nyekundu imekubali kichapo cha 4-3 dhidi ya wenyeji FC Copenhagen katika dimba la Parken, Copenhagen. FT: FC Copenhagen ?? 4-3 ??????? Man United ⚽ Elyounoussi 45′ ⚽ Goncalves 45+9′ ⚽ Lerager 83′ ⚽⚽ Højlund 2′ 27′ ⚽ Bruno (P) 69′ ? Rashford…

Read More

FADLU ATUMA UJUMBE KWA TABORA UNITED

FADLU Davids, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wanatambua mchezo wao dhidi ya Tabora United utakuwa na ushindani mkubwa lakini wapo tayari kwa ajili ya kupata pointi tatu muhimu. Katika mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa Uwanja wa KMC, baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba 3-0 Tabora United huu ni mchezo wa mzunguko wa…

Read More

WAARABU WAMFUATA TENA KIUNGO WA KAZI YANGA

MABOSI wa Berkane FC ya nchini Morocco wamefunga safari kumfuata kiungo mchezeshaji, Feisal Salum ‘Fei Toto’ kwa ajili ya kuinasa saini yake ikiwa ni baada ya kukoshwa na uwezo wake ambao amekuwa akiuonyesha kila mara akiwa anaitumikia timu hiyo. Kiungo huyo mara kadhaa amekuwa akiwaniwa vikali na baadhi ya klabu za nje ya nchi kwa…

Read More

SHINDA MKWANJA NA BLACKJACK LIVE YA MERIDIANBET

Mchezo wa Blackjack Live        Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet inakuletea mchezo bomba wa Blackjack Live unaopatikana mubashara ukiwa umetengenezwa na watenganezaji maarufu wa michezo ya kasino, Expanse Studios. Blackjack Live ni mchezo wenye maudhui na sheria za Ulaya unaochezeshwa mubashara kwakutumia  kibunda chenye karata 8. Mchezo wa Blackjack Live ni mchezo unaopendwa na kuchezwa sana…

Read More

NGUMU KUMFANANISHA SALAH NA RONALDO

JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool ambaye anaamini kwamba nyota wake Mohamed Salah ni moja ya wachezaji bora kwa sasa duniani ila ni ngumu kumfananisha na Cristiano Ronaldo ambaye anakipiga ndani ya Manchester United. Miamba hao wawili wanakiwasha ndani ya Ligi Kuu England huku ile safu ya ushambuliaji ya Liverpool ikiwa ni namba moja kwa…

Read More