BAADAE HAITAFIKA KAMWE, MUDA NI SASA

BAADAE kidogo ni nadra sana kufika ila sasa hiyo ipo muda wote hivyo ni muhimu kuifanyia kazi kwa umakini mkubwa. Muda uliopo kwa sasa kwa Yanga ni kuboresha zaidi ya yale waliyofanya wakati uliopita kwenye Wiki ya Mwananchi ili izidi kuwa ya utofauti. Maandalizi kwa Yanga tangu awali yameonekana kwenda kulingana na mipango yao katika…

Read More

STRAIKA WA MABAO AKUBALI KUSAINI YANGA

BAADA ya tetesi nyingi kuzagaa kuhusishwa kusaini mkataba Yanga, mshambuliaji wa Geita Gold, George Mpole ametoa sharti moja kubwa kwa timu hiyo. Mpole ni kati ya wachezaji wanaohusishwa kutua Yanga kuelekea msimu ujao ambapo timu hiyo ina uhakika wa kushiriki michuano ya kimataifa inayosimamiwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF). Mshambuliaji huyo hivi sasa yupo…

Read More

NYOTA DODOMA JIJI ALIYECHEZA YANGA AANZA KAZI

WAZIR Junior, ingizo jipya ndani ya kikosi cha Dodoma Jiji amefungua akaunit yake ya mabao kwa kutupia mbele ya Ruvu Shooting. Tayari ameanza kazi ya kucheka na nyavu na kituo kinachofuata ni mchezo wao dhidi ya Simba unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Machi 5. Katika mchezo wa mzunguko wa kwanza Dodoma Jiji ilipoteza kwa kufungwa…

Read More

HUYU HAPA KUPEWA MIKOBA YA ZIMBWE JR SIMBA

WAKIWA na kazi ya kusaka ushindi kwenye mchezo dhidi ya Raja Casablanca mikoba ya nahodha msaidizi wa Simba, Mohamed Hussein Zimbwe Jr inatarajiwa kuwa mikononi mwa Gadiel Michael. Zimbwe atakosekana kwenye mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa usiku wa kuamkia Aprili Mosi ikiwa ni mchezo wa hatua ya makundi kwa timu hizo mbili ambazo zimetinga hatua ya…

Read More

YANGA: SIMBA WAKIJICHANGANYA KUKUTANA NACHO

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa watani zao wa jadi Simba wakijichanganya watawatuliza kimya kwa kuwa hesabu zao ni kupata matokeo kwenye mechi zote na sio dhidi ya Simba pekee. Yanga watawakaribisha Simba kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa Aprili 20 2024 wao wakiwa ni wenyeji wa mchezo huo. Ipo wazi…

Read More

FOUNTAIN GATE KAMA MBWAI IWE MBWAI

HAWANA jambo dogo Fountain Gate kutokana na kuweka wazi kwamba wana jambo lao kubwa ndani ya Agosti 2024 ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya wa 2024/25 unaotarajia kuanza Agosti 16 2024. Ikumbukwe kwamba kwa msimu wa 2023/24 taji la ligi lipo mikononi mwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi pia taji la CRDB Federation…

Read More

MECHI ZA MATAIFA ZIMEKUJA NA USHINDI LEO

Leo hii France, Portugal, Italy, Serbia wote wapo dimbani kuhakikisha huondoki patupu. Suka jamvi lako la ushindi na uibuke bingwa siku ya leo. Pesa ipo hapa kwa Ukraine dhidi ya Belgium ambao wapo chini ya Rudi Garcia na wenyeji wao wananolewa na Serhiy Rebrov. Timu hizi zilikutana kwenye EURO 2024 ambapo walitoshana nguvu. ODDS za…

Read More

KOCHA MTIBWA ATAJA SABABU ZA KUPOTEZA MECHI TATU

ZUBER Katwila, Kocha Mkuu wa Ihefu amesema kuwa makosa ambayeo wameyafanya kwenye mechi tatu mfululizo yamewafanya waadhibiwe kwa kufungwa. Katwila amebainisha kwamba jambo ambalo halikuwa kwenye mpango waoni kupoteza mechi na hakuna mchezaji walakiongozi ambaye anapenda iwe hivyo. “Imetokea tumepoteza kwenye mechi zetu tatu hili ni jambo baya na hakuna ambaye anapenda kuona inakuwa hivyo…

Read More