
MAYELE ATIKISA AFRIKA,MBRAZIL SIMBA ATANGAZA BALAA ZITO
MAYELE atikisa Afrika, Mbrazil Simba atangaza balaa zito ndani ya Championi Jumamosi
MAYELE atikisa Afrika, Mbrazil Simba atangaza balaa zito ndani ya Championi Jumamosi
SIMBA yafunga usajili na mashine hizi tatu,Aziz KI,Morrison waipa jeuri Yanga Caf ndani ya Championi Jumatatu
IMEELEZWA kuwa Lazarous Kambole anayekipiga ndani ya Klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini yupo kwenye hesabu za mabosi wa Yanga. Huyo ni mshambuliaji wa kimataifa ambaye anatajwa kuwa kwenye hesabu za vinara hao wa ligi ambao wapo kwenye kusubiri hesabu zikamilike watwae taji la Ligi Kuu Bara kwa kuwa wamewaacha wapinzani wao Simba kwa…
HUYU Onana ni mtu na nusu, njooni muione Yanga ya Gamondi ndani ya Championi Jumatatu.
VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara leo Jumatano, Novemba 17 wanatarajia kusepa Dar kuelekea Lindi kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo FC. Vinara hao wa ligi wakiwa nafasi ya kwanza na pointi 15 Novemba 20 watatatupa kete yao ya sita kwa kusaka ushindi mbele ya Namungo itakuwa Uwanja wa…
MWENDO wa pasi tatu ilikuwa Uwanja wa KMC, Complex kwa Simba na Al Hilal kufunga bao mojamoja katika mchezo huo wa kimataifa wa kirafiki ambapo ni pasi tatu ziliipa bao la kuongoza na pasi tatu zikaiponza Simba kwenye eneo la ulinzi ndani ya dakika 90. Ni Simba walianza kupachika bao la kuongoza dakika ya 25…
Dhahabu ni moja kati ya utajiri wenye thamani kubwa sana, Mabenki na wafanyabiashara wakubwa hutumia dhahabu kutunza ukwasi wao, Meridianbet kasino ya mtandaoni ni mgodi bora wa madhini yenye pesa kibao, cheza mchezo wa Black Gold uwe moja kati ya mabilionea wakubwa. Jisajili hapa kama hauna akaunti ya Meridianbet. Black Gold ni sloti ya kasino…
GAMONDI aisuka pacha ya staraika mpya Yanga, Benchikha atangaza pointi 15 za ubingwa Simba ndani ya Championi Jumatatu
KUNA vingi vya kujivunia kwenye ardhi ya Tanzania ikiwa ni pamoja na mlima Kilimanjaro kutokana na kuwa na kilele chenye ubora. Kwenye ulimwengu wa soka kuna maskani ya Azam FC yalipo maskani ya timu bora ambayo inapambana kuonyesha ubora kwa vitendo, hapa tupo nao kwenye mwendo wa data kutazama kazi zao namna hii:- Mechi nyingi…
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa, mastaa 7 wa timu hiyo watajiunga na wenzao kambini mara baada ya kumaliza majukumu ya timu ya taifa Julai 30, mwaka huu. Kutokana na kuchelewa kwao, Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, itabidi awasubiri kwa takribani wiki moja ndipo aendelee kushusha madini zaidi katika kukisuka kikosi hicho. Yanga ambayo…
LEO Jumapili ya Mei 8,2022 Simba ikitarajiwa kucheza dhidi ya Ruvu Shooting, inatarajiwa kuwakosa Clatous Chama na Sadio Kanoute ambao ni majeruhi. Meneja wa Simba, Patrick Rweyemamu ameweka wazi kwamba nyota hao hawapo fiti kutokana na kusumbuliwa na majeraha. “Tuna majeruhi wawili ambao hawatacheza mechi yetu ambao ni Sadio Kanoute na Clatous Chama.” Huu ni…
MENEJA wa Habari wa Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally amesema wamempa jukumu mshambuliaji wao tegemeo Mzambia Moses Phiri la kuwalipua watani wao wa jadi, Yanga. Hiyo ni katika kuelekea mchezo wa raundi ya Kwanza ya Ligi Kuu Bara ambao utapigwa kesho Jumapili kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar. Mchezo huo muhimu kwa kila timu, Yanga…
Leo tuna stori ya ushindi, ya mshindi wa Meridianbet, ambaye amebutua kwenye mchezo wa Aviator zaidi ya milioni 60 wiki hii. Stori hii itakufundisha kuwa uhindi mkubwa wa kasino ya Meridianbet unaweza kuwa wako wakati wowote, umakini na maamuzi ya kujaribu yanaweza kukusogeza karibu na ushindi. Mshindi wa Aviator, kwa utambulisho wake wa DM…
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo dhidi ya Singida Big Stars huku akiwakosa nyota mbalimbali kutokana na sababu kadhaa. Miongoni mwa nyota hao ni pamoja na kiungo chaguo namba moja la Mgunda, Clatous Chama ambaye amefungiwa kucheza mechi tatu kutokana na kosa la kushindwa kusalimiana…
Klabu ya Simba imesema imesikitishwa na vitendo visivyo vya kiungwana dhidi ya Timu hiyo kuelekea Mchezo wa Ligi Kuu NBC dhidi ya Yanga, Simba ikiwa timu mgeni ambapo kufuatia suala hilo Simba imesema haitoshiriki mchezo husika. Taarifa iliyotolewa na Menejimenti ya Simba imesema kwa mujibu wa kanuni 17 (45) ya Kanuni za Ligi Kuu Bara,…
MENEJA wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally amefungukia ishu ya timu hiyo kufanya makosa kwenye mchezo wao dhidi ya Mzizima Dabi, ishu ya waamuzi na kazi iliyopo mbele kuelekea mchezo dhidi ya Yanga unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa Machi 8 2025.
WAKATI Simba wakitamba kupiga pira Dubai kutokana na kambi yao ya wiki moja waliyoweka huko, vinara wa Ligi Kuu Bara Yanga wametamba kuwapigia pira popcon wapinzani wao Ruvu Shooting. Leo Uwanja wa Mkapa, Yanga watawakaribisha Ruvu Shooting kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Katika mchezo wa mzunguko wa kwanza Yanga ilishinda kwa…