Home Sports MTIBWA SUGAR 0-2 AZAM FC

MTIBWA SUGAR 0-2 AZAM FC

FT: Uwanja wa Manungu

Ligi Kuu Bara

Mzunguko wa pili

Mtibwa Sugar 0-2 Azam FC.

Feisal Salum goal dakika ya 20

Gibril Sillah goal dakika ya  65.

Mtibwa Sugar inayonolewa na Kocha Mkuu, Zuber Katwila inapambana kupata pointi tatu kujinusuru hatari ya kushuka daraja.

Inapambana na Azam FC ambayo inasaka nafasi ya pili kufanikisha malengo ya kutwaa taji la Ligi Kuu Bara.

Ipo wazi kwamba vinara wa ligi ni Yanga wenye pointi 65 kibindoni baada ya kucheza mechi 25 msimu wa 2023/24.

Simba wapo nafasi ya tatu na mchezo wao ujao Mei 9 ni Mzizima Dabi dhidi ya Azam FC, Uwanja wa Mkapa.

Previous articleAZAM FC WANA JAMBO LAO MANUNGU
Next articleSIMBA 2-0 TABORA UNITED