SALAH AGOMA KUSEPA LIVERPOOL

STAA wa Liverpool raia wa Misri, Mohamed Salah ameweka wazi kuwa kwa sasa hafikirii kuondoka ndani ya Liverpool na badala yake anahitaji kumaliza soka akiwa ndani ya timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Jurgen Klopp. Salah amebainisha kuwa ikitokea siku akasepa ndani ya timu hiyo kisha siku akacheza na timu ambayo amehamia kwa wakati huo…

Read More

MSHAMBULIAJI MUKWALA KAZINI TENA

BAADA ya kumaliza kazi kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara, Novemba Mosi 2024 mbele ya Mashujaa ya Kigoma mwisho wa reli, mshambuliaji Steven Mukwala, Leonel Ateba, Awesu Awesu ambaye ni kiungo mshambuliaji leo wana kibarua kingine mbele ya KMC. Ipo wazi kwamba mchezo uliopita baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Lake Tanganyika…

Read More

YANGA YAPOTEZA DHIDI AL HILAL KIMATAIFA

KIKOSI cha Yanga kimekwama kutinga hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika na sasa nguvu zao ni kwenye Kombe la Shirikisho. Kwenye mchezo wa leo dhidi ya Al Hilal walikubali kupoteza kw bao 1-0 Yanga. Ni bao la dakika ya 3 lilitosha kuwapa ushindi Al Hilal wakiwa nyumbani na kutinga hatua ya makundi. Mohamed Abdrahaman…

Read More

YANGA HAWANA HOFU NA KIGOMA

KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu,Nasreddine Nabi mchezo wao dhidi ya Ruvu Shooting unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma. Mara ya mwisho Yanga kucheza Uwanja wa Lake Tanganyika ilikuwa ni Julai 25,2021 ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Simba,FA. Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Yanga,Hassan Bumbuli amesema kuwa wamepata barua kuhusu…

Read More

SIMBA HAO NDANI YA UTURUKI

MSAFARA wa Simba unaonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira leo Julai 11 umeanza safari kueleka Uturuki. Ni maandalizi ya msimu mpya wa 2023/24 unaotarajiwa kuanza Agosti ambapo kwa msimu wa 2022/23 walipishana na ubingwa uliokwenda Yanga. Simba ina kazi ya kuanza kwenye hatua ya nusu fainali ya Ngao ya Jamii dhidi ya Singida Fountain Gate…

Read More

MASTAA YANGA WAKOMBA MABILIONI YA BONASI

USHINDI wa 11 walioupata Yanga, umewapa wachezaji wa timu hiyo bonasi ya Sh 265Mil katika michezo ya Ligi Kuu Bara tangu kuanza kwa msimu huu. Hiyo ikiwa ni siku chache tangu watoke kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Polisi Tanzania, mchezo uliopigwa wikiendi iliyopita kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha. Ushindi huo umewafanya…

Read More

ZAMU YA BRAZIL IMEFIKA

Zamu ya Brazil imefika ndivyo ambavyo unaweza kusema kwani kampuni ya Meridianbet ambayo inajihusisha na michezo ya ubashiri duniani ambayo ni sehemu ya Golden Matrix Group (NASDAQ: GMGI) wamefanikiwa kufungua tawi jipya nchini Brazil ambapo watakua wakiendesha shughuli zao za michezo hiyo kama wanavyofanya sehemu nyingine. Ni furaha kubwa sana kwa mabingwa hao wakongwe wa…

Read More

SOPU APIGIWA HESABU NA VIGOGO VITATU

IMEELEZWA kuwa mabosi wa Simba wapo kwenye hesabu za kuiwania saini ya kiungo mshambuliaji wa Coastal Union,Abdul Suleiman,’Sopu’. Sopu amekuwa kwenye ubora wake msimu huu ambapo anaongoza kwa utupiaji wa mabao akiwa nayo 7 kwenye ligi. Ikumbukwe kwamba kiungo huyo amecheza Simba kisha akaibukia Ndanda kwa mkopo na akaibuka ndani ya Coastal Union inayonolewa na…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA ASEC MIMOSAS

LEO Februari 13 kikosi cha Simba kinartarajiwa kusaka ushindi dhidi ya ASEC Mimosas kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi. Hiki hapa kikosi kitakachoanza:- Aishi Manula Shomari Kapombe Mohmaed Hussein Joash Onyango Henock Inonga Jonas Mkude Peter Banda Sadio Kanoute Meddie Kagere Rally Bwalya Sakho Akiba Ally Israel Gadiel Wawa Nyoni Mzamiru Bocco…

Read More

10BET YAGAWA ZAWADI KWA WASHINDI PROMOSHENI KOMBE LA DUNIA

KAMPUNI ya michezo ya kubahatisha ya 10bet imetangaza kuwazawadia washindi mbalimbali 50 wa promosheni ya kombe la dunia (WC Bonanza Promotion). Michuano ya kombe la dunia ilifanyika nchini Qatar na timu ya Argentina chini ya nahodha wao, Lionel Messi ilitwaa ubingwa. Meneja Masoko wa kampuni10bet Tanzania George Abdulrahman amesema kuwa kati ya washindi hao 50,…

Read More

YANGA YAPIGA HESABU USHINDI WA KISHINDO NAMNA HII

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa hesabu kubwa ni kufanya vizuri kwenye mechi zilizopo mbele yao ikiwa ni pamoja na mchezo wa CRDB Federation Cup ambao dhidi ya Copco. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC Complex Januari 25 2025  ikiwa ni mchezo wa mtoano na Yanga ni mabingwa watetezi wat aji hilo. Ali Kamwe,…

Read More

RASHFORD, OSIMHEN, MBAPPE HAWAZUILIKI

SAPRAIZI za kutosha zilijiri wikiendi iliyopita ndani ya ligi tano bora Ulaya. Hii ni kwa namna mambo yalivyoonekana katika viwanja  tofauti kwenye ligi za Bundesliga, La Liga, Serie A, Premier League na Ligue 1. Huko Ulaya vita ilikuwa kali lakini kuna mastaa walionekana kuendelea kutisha kwa kuzibeba timu zao kama Marcus Rashford, Victor Osimhen, Kylian…

Read More