MWAMBA HUYU AINGA ANGA ZA JANGWANI

NYOTA Cheickna Diakite anatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Yanga, Nyota huyo anakipiga ndani ya kikosi cha Real Bamako ambacho leo kitatupa kete yake dhidi ya Yanga. Winga huyo ni moja ya wanaofanya vizuri kwenye kikosi hicho ambacho kina maskani yake Mali. Ni miaka 18 anayo kijana huyo akiwa anakipiga ndani ya Real Bamako.

Read More

TATIZO LA BOCCO LIMEPATA DAWA

IWAFIKIE mashabiki wa Simba kwamba tatizo la nahodha wa Simba kuwa kwenye kipindi kigumu cha kushindwa kufunga wala kutoa pasi ya bao kwenye ligi kwa msimu wa 2021/22 limepata dawa baada ya mshikaji wake Clatous Chama kurejea. Chama alikuwa na maelewano mazuri na Bocco kabla ya kusepa msimu wa 2021/22 ambapo kwenye pasi mbili ambazo…

Read More

VIDEO:MAYELE AFUNGUKIA ISHU YA TUZO YA UFUNGAJI BORA

MSHAMBULIAJI namba moja ndani ya kikosi cha Yanga, Fiston Mayele amesema kuwa anaamini anaweza kuwa mfungaji bora ndani ya Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2021/22. Machi 14,2022 Mayele alikabidhiwa zawadi yake ya Ng’ombe na shabiki wa Yanga wa Morogoro baada ya kuifunga Mtibwa Sugar kwenye mchezo wa ligi na kwa sasa tayari amekabidhiwa zawadi…

Read More

40 LUCKY SEVENS CHIMBO JIPYA LA MKWANJA

Machimbo ya kunyakua mkwanja ndani ya Meridianbet yamekua mengi sana kwa muda mrefu, Lakini chimbo jipya la kijanja kabisa la 40 Lucky Sevens mchezo wa Kasino ambao unaweza kukupa fursa ya kushinda kitita cha kutosha. 40 Lucky Sevens ni mchezo wa sloti kutoka kasino ya mtandaoni kutoka kwa mtoa huduma “Game Art“. Utapenda mchezo huu…

Read More

AZAM FC YAIPIGIA HESABU TANZANIA PRISONS

BAADA ya kuvuna pointi tatu kwenye mchezo wao wa ligi dhidi ya Mbeya City kwa ushindi wa bao 1-0, hesabu za Klabu ya Azam FC ni kwenye mchezo wao ujao dhidi ya Tanzania Prisons. Septemba 14, kikosi cha Azam FC kilirejea Dar na Ijumaa kilianza mazoezi kwa ajili ya mchezo wao ujao dhidi ya Prisons…

Read More

MWAMBA HUYU YUPO NYUMA YA MDAKA MISHALE NA WENGINE

UIMARA wa kipa namba moja wa Yanga, Djigui Diarra nyuma yupo mtaalamu wa mbinu anaitwa Milton Nienov. Sio mdaka mishale tu hata Metacha Mnata pia ambaye ni kipa namba mbili kwa sasa ananolewa na kocha huyu. Erick Johora na Aboutwalib Mshery ambaye bado hajwa imara akirejea atakuwa mikononi mwa kocha huyu. Katika upande wa ulinzi…

Read More

VIDEO;YANGA WABAINISHA KUHUSU UBINGWA

HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa kuelekea kwenye mchezo wao wa ligi dhidi ya Mtibwa Sugar unaotarajiwa kuchezwa kesho Februari 23, Uwanja wa Manungu wapo tayari na benchi la ufundi linahitaji ushindi. Manara ameweka wazi kwamba Mtibwa Sugar ilishawahi kuwa bingwa wa ligi mara mbili mfululizo na uzoefu katika kushiriki mashindano makubwa na…

Read More

NYOTA HAWA KUTOLEWA KWA MKOPO YANGA

IKIWA kwa sasa dirisha dogo la usajili limefunguliwa nyota watatu wa Yanga wanatajwa kuwa kwenye hesabu za kutolewa kwa mkopo ili waweze kupata changamoto mpya katika timu nyingine kutokana na kukosa nafasi kikosi cha kwanza. Nyota hao ni pamoja na Abdalah Haji, beki huyu wa kati mzawa kwenye mechi nane za Yanga amecheza mechi moja…

Read More

MAYELE ANA BALAA NA NYAVU HUYO

FISTON Mayele amefikisha jumla ya mabao 50 katika mashindano yote akiwa na kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Timu hiyo yenye maskani yake pale Jangwani inadhamiwa na kampuni ya SportPesa ambayo imeleta mapinduzi makubwa kwenye suala la michezo Bongo kwa kufungua njia kwa wadhamini wengine kuingia kuwekeza kwenye michezo. Ikumbukwe kwamba Mayele…

Read More

AZAM FC WAITULIZA IHEFU

USHINDI wa Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ihefu unawapa pointi tatu mazima huku mwamba Feisal Salum akifikisha mabao 14. Azam FC wameituliza Ihefu kwenye mchezo wa ligi na kusepa na pointi tatu mazima ambazo zinawaongezea kasi kuufukuzia ubingwa wa ligi msimu wa 2023/24. Ni dakika ya 13 alipachika bao hilo…

Read More

SIMBA KUKIPIGA JUMATANO LIGI KUU BARA

BAADA ya kupata ushindi kwenye mchezo uliopita dhidi ya Mashujaa FC katika Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma kituo kinachofuata kwa Simba ni Jumatano dhidi ya KMC. Katika mchezo huo Simba ilipata bao la jioni kupitia kwa mshambuliaji Steven Mukwala ambaye alitumia pasi ya Awesu Awesu katika mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa na bao lilifungwa…

Read More

ANAKUWA MCHEZAJI WA KWANZA KUTAMBULISHWA UNYAMANI

INAELEZWA kuwa Simba ipo kwenye mpango mkubwa wa kufanyia maboresho kikosi hicho ambapo inakwenda kuongeza viungo na washambuliaji.Miongoni mwa nyota ambaye anatajwa kupewa dili la miaka mitatu ni kutoka viunga vya Mtibwa Sugar Chasambi. Ikiwa dili lake litakamilika atakuwa mchezaji wa kwanza kutambulishwa unyamani.

Read More

SIMBA TAMBO TUPU MSIMU MPYA, KOCHA ATAMBA

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbrazili, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amewaondoa presha mashabiki wa timu hiyo kwa kuwaambia muda walioupata katika kambi yao nchini Uturuki, umewasaidia kuwajenga. Ipo wazi kuwa Simba wanatambua kwamba ni Yanga walitwaa taji la ligi msimu wa 222/23 hivyo kocha huyo amewaandaa vizuri wachezaji wa timu huyo kwa ajili ya msimu ujao. Simba…

Read More

MILIONI 10 ZA MAMA KUIBUKIA AFL

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa zawadi ya Tsh. 10 milioni kwa kila bao ambalo litafungwa na Simba. Huo ni mchezo wa African Football League ambao unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Oktoba 20,2023. Samia ameahidi kuwa kwa bao moja ambalo litafungwa katika mchezo wa African Football League dhidi ya…

Read More